Super Charged
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 947
- 1,710
Mbona Matajiri Wengi Afya Hawana.Maradhi Ndo Yamewaandama,Wako Banned Kula Vyakula Flani Hata licha Ya Pesa zao Wameshindwa Kupata Afya Bado Wanasumbuka Na Maradhi.Afya Ni Zawadi Kutoka Kwa Mungukama huna hela huwezi kuwa na afya