Powell Gonzalez
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 843
- 1,630
- Thread starter
-
- #161
earphone muhimu bwanaaChaja ya simu aisee nikikuazima afu ukakausha kunirudishia afu niisahau nikija kukumbuka lazima niifate tu, au nikiisahau maskani ntairudia japokua simu yangu inakaa na chaji more than 10hrs ila najihisi amani kua na chaja karibu... Another thing though might be something stupid kwa baadhi ya watu but for me naona nikisahau ni jau ni earphones 🎧 😂
kwanini mkuuNimesoma comments zote, leo ndo nimegundua mimi sio binadamu wa kawaida haki ya Mungu🤔🤔😂😂
Si ndiyo 😅😅😅Hutaki kumlisha mirangirangi😁
Me hua naachaga sirudi,,, sometimes hua nasahau simu watu wananiambiaga nafanya makusudi....k
kwanini mkuu
Simu weeehMoja kwa moja kwenye mada salamu kesho!
Hivi ukiwa unatoka kwenda harakati kitu gani ukiwa umekisahau lazima tu ukirudie hata kama umeshadandia boda, umeshawasha gari au kuingia kwenye daladala.
Mimi; miwani, aaah glasses lazime nirudi tu aisee.
ukisahau miwani hata kama umefika mbali kiasi gani utarudi tu...1.Miwani
2.Simu
Sidhani kama nitaweza bila no.1
Simu weeeh
Basi ujue haina umuhimu kwako ungekuwa unashau vitu kama miwani, funguo za ofisi, nk hapo hata uwe umetembea na umbaligani utarudi tuMe hua naachaga sirudi,,, sometimes hua nasahau simu watu wananiambiaga nafanya makusudi....
Inabidi nianze kujichunguza kwa ukaribu sikuizi
Yani acha kabisaaddicted toyour mobile hahaaa
poleeYani acha kabisa
Asante sanapolee
ooookkkkkaaaayyyAsante sana
jesus...hirizi
Kinauzwaje hiki afsa?Kifeni.
Yaani kuliko sasa hivi nikatoka bila kifeni changu bora nisiende sio kwa joto hiliView attachment 2913853
mwanaume ukitembea na hico kifeni inakuwa vichekeshoKinauzwaje hiki afsa?
Upo out of question afsa