Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Aaah wengine tuwabishi ukitukataza ndio kama umetuambia tufanye.

Aliniambia nisiwe navaa tshirt msenge yule[emoji1]
eti sipendezi..body builder tangu lini hapendezi tshirt kumbe bana alikuwa anachukua tahadhari
Utakuwa umetuna Kama John bravo sema alikuwa anakuonea aibu kukupa.makavu live
 
Alinambia niuze gari yangu il nipate mahari nimuoe(in my mind nkasema hiv huyu mse**) mimi gari ndy my fav nikiwa na stress na drive mbali zinaisha, so kila akiwa anauliza umefikia wapi lile swala namzuga kuwa wateja wote hawafiki bei nayotaka, it was 2017/8
Mahari yake ilikuwa kubwa mpaka kukwambia uuze gari.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Siku mmoja nilijichanganya nikampigia simu ile mida ambayo alinionya nisiwe nampigia,Simu ikapokelewa na njemba fulani ikanikoromea Sana mixer kunichimbia mikwara ya aina yake.

Jamaa alijiapiza kwamba hiyo wiki haitapita Kama hajafanikiwa kutenganisha kichwa changu na kiwiliwili.Nikaogopaa!!
 
nmechekaa jamani 😂😂😂😂, eti hujui ulikosea wapi dah🙈
😅 unajua mimi napenda sana wale wa kienyeji(natural). Yani mwanamke akiwa na uzuri wake wa asili bila kuongeza maurembo kwangu ndio sifurukuti, alafu awe mpole.

Kuna mwanamke mzuri alafu kuna mwanamke mrembo.

Mzuri ni mzuri tu bila kujiremba ila mrembo ni yule anaeonekana mzuri baada ya kuapply urembo.
 
😅 unajua mimi napenda sana wale wa kienyeji(natural). Yani mwanamke akiwa na uzuri wake wa asili bila kuongeza maurembo kwangu ndio sifurukuti, alafu awe mpole.

Kuna mwanamke mzuri alafu kuna mwanamke mrembo.

Mzuri ni mzuri tu bila kujiremba ila mrembo ni yule anaeonekana mzuri baada ya kuapply urembo.
vizuri, sasa ndo adi kusuka jamani 😅
 
Back
Top Bottom