baby success
JF-Expert Member
- Jul 14, 2022
- 548
- 1,799
Alinikataza kuvaa vijora [emoji849][emoji849][emoji849]weee nilimzoom tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eenhe ikawaje 😅🤗🙌Alinikataza kuvaa vijora [emoji849][emoji849][emoji849]weee nilimzoom tu
Sikuacha akagomba mpaka akachoka sahiv maisha yanaenda tueenhe ikawaje
yeah, huo ndo msimamo sasa🤓Sikuacha akagomba mpaka akachoka sahiv maisha yanaenda tu
Si mnapenda kusifiwa nilimsifia na alikua amependeza kweli ila alikua ashanichoka maana alishaanza kuniambia ninyanyue vyuma niwe na misuli na mkifua. Nikamwambia hiyo hapanavizuri, sasa ndo adi kusuka jamani 😅
Famchezo nn na vijora pambe 👌😂Alinikataza kuvaa vijora [emoji849][emoji849][emoji849]weee nilimzoom tu
🤣🤣🤣ndio hivyo "shit happen sometime!!unastukia tu umeachwa yaaniMbona nilikua nahudumia vizuri tu kila wiki nampa ya saluni ila ghafla akanyoa nikamsifia na kweli alipendeza sana sikuwa na maana nyingine
Raha ya kijora ni kwamba habar za joto joto kwishinei[emoji1787][emoji1787]barabaran ukiwa unatembea kinapepea chenyewe tu ndio maana napendaFamchezo nn na vijora pambe [emoji108][emoji23]
Ila wavaa vijora 89% ni washari na mnatembeaga kwa speed mno sijawai ona 😂Raha ya kijora ni kwamba habar za joto joto kwishinei[emoji1787][emoji1787]barabaran ukiwa unatembea kinapepea chenyewe tu ndio maana napenda
Yule alikua keshanichoka alinitaftia sababu tu. Alitaka nianze nyanyua vyuma. Yanini sasa na bado angeniacha tu🤣🤣🤣ndio hivyo "shit happen sometime!!unastukia tu umeachwa yaani
😅 nimewavulia kofiaFamasihara
Ni kweli hata me siku nikivaa wee asipite mtu hovyo hovyo mbele yangu maana chupa huwa inaamka na chai ukikinga niko I umekwisha [emoji1787]Ila wavaa vijora 89% ni washari na mnatembeaga kwa speed mno sijawai ona [emoji23]
Nilikitafuna kabisaHuku nyonya kidudu chake [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi mwenzenu nikiyaona huwa yananivutia sana. Ila sasa kuyavaa ndo siwezi. Yani hata kutoa pesa yangu kununua kijora siwezi. Ninayo mawili nimenunuliwa na ndugu Yana muda lakini siyavai Mara kwa mara, yako mapyaa vile vile. Ila ni mazuri kweli yani kwa kuyatazama. Wengine mpaka wanayashape. Lakini mie siwezi kabisa.Raha ya kijora ni kwamba habar za joto joto kwishinei[emoji1787][emoji1787]barabaran ukiwa unatembea kinapepea chenyewe tu ndio maana napenda
Ila siku ya kwanza kukutana nae nilivaa kijora[emoji28] nimewavulia kofia