Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Mimi mwenzenu nikiyaona huwa yananivutia sana. Ila sasa kuyavaa ndo siwezi. Yani hata kutoa pesa yangu kununua kijora siwezi. Ninayo mawili nimenunuliwa na ndugu Yana muda lakini siyavai Mara kwa mara, yako mapyaa vile vile. Ila ni mazuri kweli yani kwa kuyatazama. Wengine mpaka wanayashape. Lakini mie siwezi kabisa.
Me ndio vazi langu kubwa kwenye mitoko toko isiyo maalum
 
Ila kiukweli hii tabia ya kuanzia kudate na Mtu unamkuta Hana misuli unaanza force awe na misuli Kwa kweli siyo ya kuiendekeza kabisaa!ikemewe!Kwani alivyoanza kudate na usie na misuli mabaunsa hakuwaona?huko ni kuchoshana akili
Yani hapo anakuonesha dhahiri kuwa yeye anawapenda wa aina hiyo
 
Kwenye mapenz kuna vitu sio vya kufanya kabisa maama mapenz hayanaga adabu hasa yakishafubaa, kuisha au ukishachokwa. Hutoamini kama ni yule, narudia hutoamini walahi 😔
Kweli kabisa! akili muhimu japo penzi likikolea akili inarukaga kidogo
 
Kweli kabisa! akili muhimu japo penzi likikolea akili inarukaga kidogo
Akili ni muhimu sana, ukikubali hisia zikuendeshe umekwisha na nyie Ke mkishajua mwamba hana ujanja mnamkomesha kweli kweli.
 
Back
Top Bottom