Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Mikoani vijora sio sana. Hawavielewi kabisa.Pole,mikoani wanaona kijora Kama ushangingi🤣🤣
Hicho kijora Cha chui sikipendi !!yaani siku hiyo nakata zangu kko nikakiona wacha Moyo upasuke nikasema yes bonge swaga,nikanunua fastaaa jamani wiki iliyofuata Dar nzima wamekivaa wale wavaa vijora wasiojipenda na kisigino kichafu wote wamevaa jamani 🙄🙄🙄🙄🙄,,nilikuwa Singida vijijijni juzi nimekikuta kimezidi nichosha
Nipo nakatia vitunguu nyumbani
Huko Dar hakuna ua la peke yako. Lazima ukute na mwenzako mko sare sare