Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Ni kitu gani ulishawahi kukatazwa na mpenzi wako hadi ukajiuliza hivi huyu ananichukuliaje?

Hao watakuwa walikuwa wanatoka Rongoni😂😂😂😂Maana ndio chimbo lao watoto wambagala....halafu wapiga goma lao linaitwa" safari ya beach''
😅 nawewe ni member nini? Na ilikua rongoni kweli siku hiyo ilikua fujo tupu barabarani
 
Maumivu yanakomaza nafsi!hapo hata ukutane na Delillah wa Samson unamzoom tu,ukiona kaanza drama wewe unatia breki ghafla yaani bado ana wenge unamwambia shuka chini🤣
😂 sema nimekua mkaksi sana mtu unaweza sema sinaga hisia kumbe ni niliyoyapitia yamenifanya kuwa hvi
 
Back
Top Bottom