Umbea hadi nchi za uamerika na ulaya zipo sana,Ha ha ha...mkuu kuna Jamaa jirani na ofisi yangu kanunua nyumba hizi za Kiswahili 250m kapiga chini ndani ya wiki mbili hivi anapiga slab ghorofa ya kwanza! Ilibidi nifuatilie,nikamuuliza kijana wa mtaani huyu ni Nani na anajenga nini? Lengo kama anajenga offices na vitu kama hivyo naweza kufanya booking kabisa.
Kwahio sometimes kufuatilia is inevitable labda uwe unaishi kisiwani Peke yako!
Kuuza ngada siyo ujanja wala kua na akili nyingi. Kuiga watu wa namna hiyo siyo vema. Mkumbuke Msembo na mkewe1. Kapanga kwenye nyumba yangu.
2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe
Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.
3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.
# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
Kama unaweza kumpangisha mtu nyumba ya 2.5 M kwa mwezi ,
Huwezi kuandika upupu
Bro nisamehe Kwa kukustress . Ni nyumba ya urithi. Tuna I co-own me and my three brothers and five sisters.Kama unaweza kumpangisha mtu nyumba ya 2.5 M kwa mwezi ,
Huwezi kuandika upupu kama huu.
NakaziaJamaa tafuta kazi...achana na maisha ya watu.
Iyo no 1 ina onesha jinsi gani wewe ni bogus1. Kapanga kwenye nyumba yangu.
2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe
Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.
3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.
# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
Unajua kwasababu gani inakuwa hivyo?Nope bro. There is a positive thing in every negative thing.
The guy has money and the money has changed the way he thinks about money.
Matendo yake Yana tafsiri Kile anacho waza kuhusu Pesa.
Ukiwa Na Pesa lazima ikubadilishe Na lazima ibadilishe jinsi unavyo waza kuhusu Pesa.
50 cents when his net-worth was 300 million USD aliwahi kunukuliwa akisema " WHOEVER SAY MONEY HAS NOT CHANGED THEM, HAVE NEVER GOT ENOUGH OF IT" Akimaanisha yoyote asemae kwamba Pesa haijambadilisha basi Jua MTU huyo hajapata Pesa ZA kutosha.
Unayo haki ya kumuita lofa Kwa Sababu hujapata kumiliki Pesa anazo miliki yeye. .
Nilicho jifunza kuhusu Pesa Ni kwamba Kila kitu kinacho semwa kuhusu tabia ZA Pesa Na nguvu ya Pesa is nothing but truth
1. Kapanga kwenye nyumba yangu.
2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe
Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.
3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.
# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..
Umeenda off topic mkuu. Mada Ni Jambo ulilo lishuhudia mtu akifanya ukasema bongo Kuna watu Wana Hela. Na Huo nimetoa kama mfano. Ilitakiwa uje Na experience yako ukoment Jambo ambalo umewahi kuliona MTU akifanya ukasema bongo watu Wana Hela.Mada ni kumpangia 'mchepuko' nyumba ya milioni mbili na nusu au kupanga nyumba ya milioni mbili na nusu wakati tayari ameshamjengea ya kwake na wanashindwa kuhamia sababu watoto wanasoma shule ya karibu???
Kama ishu ni kumpangia 'Mchepuko wake' mimi sioni kama ni ishu sababu mchepuko ni majina tu jamii inajiwekea ili wengine wajione bora, huyo ni mwanamke wake na zaidi ni mama wa watoto wake, anafanya hayo kwa ajili ya familia yake nyingine aliyoianzisha kwa furaha zake, nampa pongezi sana huyo mpangaji wako kwa kupenda familia yake,
Na kama ishu ni kuendelea kupanga wakati tayari ana nyumba hapo natofautiana nae, unless wawe wana mkakati mwingine, lakini sababu ya ukaribu wa shule kwa watoto sio sababu ukizingatia shule zilizojaa.
I agree with youMimi nina jamaa yangu anakunywa sana pombe mara nyingi hua nakua nae lakini huwa na mkimbia huyu jamaa yangu ni msiri sana katika mambo yake sasa kuna siku moja kuna jamaa alinionq nae,,siku iliofatia jamaa alinifata ofisini kwangu akasema yule jamaa uliekua nae ni nani yako na unamjua mi nikamjibu ndio ni jamaa yangu wa siku nyingi tu basi jamaa kusikia vile akaanza kusema aisee basi we upo vizuri kama jamaa yako mi nikaguna kivipi ndugu yangu we si unaona ofisi yangu ndo hii sasa hzo hela nyingi natoa wapi basi jamaa kusikia namwambia mi nipo kawaida tu ndo akaanza kumwaga siri za huyu jamaa yangu kwanza akanambia huyu jamaa yako unajua kua anasimamisha hotel mbili za gorofa tano kwa pamoja zote nikasema sijui akasema unajua sehemu fulani anajenga tena hotel nikasema sijui akasema kwake unapajua nikasema ndio napajua akasema ile nyumba anayokaa we unafikiri ni ya kawaida nikamwambia hapana ni nyumba nzur basi akasema huyu mwenzio ana hela sana apa mjini jifunze kitu toka kwake basi ikabidi nianze kumdadisi kidogo namna ta kufanikiwa aisee jamaa hua ananiambia tu saving ndo inayofanya mambo yote dah aisee kweli nilichoka mana kwa hesabu za haraka haraka saving alionayo yeye basi sio ya kawaida kweli mafanikio ni siri sana watu waliofanikiwa huwa hawasemi mafanikio yao ila mjini humu watu wana hela sana kiasi kwamba ukiwa nao karibu unaweza kujifunza ama kujiongezea stres tu
Unaweza kukuta ame pangisha nyumba yake kwa bei Mala mbili na anayo Lipa kwa jamaa kwaiyo Hana hasara ni faida tuuMada ni kumpangia 'mchepuko' nyumba ya milioni mbili na nusu au kupanga nyumba ya milioni mbili na nusu wakati tayari ameshamjengea ya kwake na wanashindwa kuhamia sababu watoto wanasoma shule ya karibu???
Kama ishu ni kumpangia 'Mchepuko wake' mimi sioni kama ni ishu sababu mchepuko ni majina tu jamii inajiwekea ili wengine wajione bora, huyo ni mwanamke wake na zaidi ni mama wa watoto wake, anafanya hayo kwa ajili ya familia yake nyingine aliyoianzisha kwa furaha zake, nampa pongezi sana huyo mpangaji wako kwa kupenda familia yake,
Na kama ishu ni kuendelea kupanga wakati tayari ana nyumba hapo natofautiana nae, unless wawe wana mkakati mwingine, lakini sababu ya ukaribu wa shule kwa watoto sio sababu ukizingatia shule zilizojaa.
Na ndio inavyokuaUnaweza kukuta ame pangisha nyumba yake kwa bei Mala mbili na anayo Lipa kwa jamaa kwaiyo Hana hasara ni faida tuu
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Off topic tena, daah asa itakuaje [emoji3][emoji3]Umeenda off topic mkuu. Mada Ni Jambo ulilo lishuhudia mtu akifanya ukasema bongo Kuna watu Wana Hela. Na Huo nimetoa kama mfano. Ilitakiwa uje Na experience yako ukoment Jambo ambalo umewahi kuliona MTU akifanya ukasema bongo watu Wana Hela.
Ningeweza kutumia mfano kama vile " NILIKUWA POSTA MJINI DASLAMU KUNA BANGO LIMEANDIKWA USIKOJOE HAPA FAINI SH LAKI TANO. THEN AKATOKEA JAMAA MMOJA AKATAKA KUANZA KUKOJOA MGAMBO AKAMWAMBIA KAKA KAMA UNATAKA KUKOJOA NENDA HAPO KUNA CHOO CHA KULIPIA BUT JAMAA AKASEMA KWANI NIKIKOJOA HAPA KUNA SHIDA GANI MGAMBO AKAMWAMBIA UKIKOJOA HAPO FAINI YAKE LAKI TANO, JAMAA AKAMJIBU MGAMBO BASI USIOGOPE. JAMAA AKAKOJOA AKAMALIZA AKAMPA MGAMBO LAKI TANO AKASEPA ZAKE.
Dont get it out of context
Kuuza ngada siyo ujanja wala kua na akili nyingi. Kuiga watu wa namna hiyo siyo vema. Mkumbuke Msembo na mkewe
Siyo kweli kwamba mwenye hela nyingi kuliko mimi ana akili nyingi kuliko mimi1. Kapanga kwenye nyumba yangu.
2. Ukitaka kufanikiwa jifunze Kwa walio fanikiwa Zaidi. Ukitaka kuwa Na Hela nyingi jifunze kutoka Kwa walio Na Hela nyingi Zaidi yako Kwa Sababu torati ya mtaani inasema ukiona mtu ana tengeneza Pesa nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe
Ukitaka kuwa una spend Hela nyingi kwenye petty issues basi jifunze kutoka Kwa watu wanao spend Hela ndefu kwenye petty issues. I LOVE TO SPEND!! Ooh yes nilifuatilia habari zake Kwa Sababu nilikuwa inspired Na the way he spent his money and guess what I discovered what he is doing and I am doing the same thing now and it pays me alot.
3. Mimi sio mfungwa WA fikra kama wewe. My soul is free like Nelson Mandela. Siogopi kufanya Jambo Kwa Sababu eti watu walio fungwa fikra kama wewe watasema.
# hapa mjini ukiona mtu ana Hela nyingi kuliko wewe tafsiri yake Ni kwamba MTU huyo ana akili nyingi kuliko wewe, ana maujanja mengi ya kutafuta Hela kuliko wewe Na probably ana connection nyingi kuliko wewe so kutaka kujua habari ZA MTU huyo Ni faida kwako..