Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Hasira za mithili ya moto wa kifuu...ni Hatari sana mana naweza ropoka lolote baadae ndo naanza jutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good..Mawasiliano ndio kila kitu...mm napenda kuchat na mwenzangu muda wowote hata akituma msg au kupiga saa 10 ucku nitajibu
Safi sana. ..Nahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.
Unaweza kuua mtu mkuu...huwa sijali chochote kwenye mahusiano, sina hasira wala kumgombeza mtu. kuna ga aliwahi chepuka na jamaa yangu na nkafahamu nikamwambia huku full tabasamu.
akajua ntampiga/kumgombeza walaaa niko na habari zangu. mwezi mmoja aliomba tuachane et mtu gani hujali lolote. sasa nikawaza alikuwa ananikosea kuona reaction yangu ama.
mwingine msg iliingia wana bebika na x wake nkaisoma ile ananiaga nikamwambia amsalimie jamaa (maaa nilisoma conv. yao yote) kaishiwa ozi nae wimbo wake ni why sijali
Hongera zake mtarajiwa...Yeah kwa kweli kwa uaminifu najikubali ata wife atainjoy sana maana sipendi mpira na sifagili ukicheche..
Hapana alafu huwa hata kumpiga kofi mtu siwezi huwa naawaacha wajifie kwa mawazoUnaweza kuua mtu mkuu...
Upo kama Mimi. Muda mwingi nakuwa busy na vikao vya hapa na pale. Halafu mwenzako anataka kuchat, huwa sijibu hizo txt hadi jioni ninapokuwa nimetuliaImagine unafanya kazi inayohitajibu makini,au una movement nyingi kila siku,huo muda wa kuanza kuchat siku nzima unaupata wapi?.sisemi msichati kabisa lakini kuna ile ya kistaarabu,mnachat jioni,mkiwa mshamaliza majukumu na mumetulia,mchana inakuwa kujuliana hali na mesej mbili tatu za kupeana motivation,na asubuhi vivyohivyo.Lakini sio kila dakika baby ivi,baby vile khaah,utafikiri wanafunzi,au ndo kwanza mnajifunza mapenzi bana,ndo maana mie napenda niwe na mwenza anayejishuhulisha, kuepuka hizo bugdha
Ipo mkuu njoo nikupe
Mgonjwa msumbufu sana yaani hataki dawa ugonjwa utapona vip
Nitapona tu ngoja nikafanyiwe maombiMgonjwa msumbufu sana yaani hataki dawa ugonjwa utapona vip
2logM@km
Dawa inaambatana na maombi njoo upone kabsa
Basi wacha niendelee kuuguaDawa inaambatana na maombi njoo upone kabsa
2logM@km
Hakuna dhambi mbaya kama kumuacha binadam mwenzako Anateseka wakati unaweza kumsadia njoo usaidiwe tatzo liishe