Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo ndo tatizo kubwa kwa wadada wa kiafrika. Unavyoonesha upendo zaidi kwao wao wanadhani wamekushika .Poor Africans.Nahisi weakness yangu kubwa huwa siwezi ukicheche kabisa, nikimpenda mmoja ndio basi nashindwa ile tabia ya ki ngedere kuhama hama miti hali inayopelekea usumbufu mtu akishajua nampenda kweli na kumjali sana.
kwanini? lol
Watch out, not to that extent!! Hupendi mipira ??? Usimuamini sana mwenzio HIV kills.Yeah kwa kweli kwa uaminifu najikubali ata wife atainjoy sana maana sipendi mpira na sifagili ukicheche..
Now i see!!!
Hahahahah nafatilia nikitaka kubet ila sio mpenzi wa kuangalia kwenye tv. So siwezi kaa nikaangalia mechi kabisaWatch out, not to that extent!! Hupendi mipira ??? Usimuamini sana mwenzio HIV kills.
Duuh.!!Hasira sana. Niliwahi kumuacha girlfriend wangu bus stand baada ya kuniudhi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha mi simoo[emoji126] [emoji126][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Imebidi niifikirie penseli alafu niifananishe na miguu yangu, utani sa kweli sipendagi mwenza[emoji57] [emoji57]
Mimi nashindwaga kuwaacha ninaowapenda japo naona kabisa tunakoelekea ni kubaya.
Sukari Yenu
Nikila mzigo tu sirud tena..... Kuna wakat inaniumiza sana but I just can't handle it
Sent using Jamii Forums mobile app