Me sina hile caring yani me kumbembeleza nashindwa
Power of forgiveness
Duh jitahid tu coz wanawake wanapenda kubembelezwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me sina hile caring yani me kumbembeleza nashindwa
Power of forgiveness
Siamini mkuu, na yale majibu yako ya kishujaaover trusting kwa mtu ninaekua nae,nadhani ni udhaifu wangu mkubwa
Upo sawa...safii!KWa kweli udhaifu wangu upo kwenye kujali na kutokujali i.e nikipenda huwa najali sana na nikipigwa kibuti huwa sijali kabsa
Pole sana mkuuPesa, yaani naomba pesa aubuhi,mchana na jioni. Hiyo ndio salamu.
Sasa ndio shida kubwa mkuu, huwez jizuia kupenda ila mtu apendeke basi,yakizidi anaanza kukufanya cartoon!Hilo ndo tatizo kubwa kwa wadada wa kiafrika. Unavyoonesha upendo zaidi kwao wao wanadhani wamekushika .Poor Africans.
ukikua utaelewa tu,haya mambo ya mahusiano Hayanaga cha ushujaaSiamini mkuu, na yale majibu yako ya kishujaa
Uh!!! Nipe hongera tafadhali.Pole sana mkuu
Ninapenda kukumbatiwa jamani ... Yaani hata kama umeniudhije ila ukishanikumbatia tu nayeyukaga kama asali ... Napenda mikumbato basi tu ....
huwa sijali chochote kwenye mahusiano, sina hasira wala kumgombeza mtu. kuna ga aliwahi chepuka na jamaa yangu na nkafahamu nikamwambia huku full tabasamu.
akajua ntampiga/kumgombeza walaaa niko na habari zangu. mwezi mmoja aliomba tuachane et mtu gani hujali lolote. sasa nikawaza alikuwa ananikosea kuona reaction yangu ama.
mwingine msg iliingia wana bebika na x wake nkaisoma ile ananiaga nikamwambia amsalimie jamaa (maaa nilisoma conv. yao yote) kaishiwa ozi nae wimbo wake ni why sijali
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]mie napenda( Kifala)! nataman kuacha lakini najikuta nashindwa... namjali sana mwenzangu kuliko mie mwenyewe!
kwa waafrica ni uzwazwa tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Nahonga sana mie ndio udhaifu wangu
Aaah lakini huwa tunaachana hivyo hivyo kiainaSo unatimu ya mpira
Naomba unihonge na mimi.Nahonga sana mie ndio udhaifu wangu
Naomba unihonge na mimi.
Hahahaaa!! Njoo nikufunze, na team roho mbaya Evelyn Salt na Heaven Sent wapo pia tutakusaidia.dont lafu my friend!asbh nimesema kwenye uzi mmoja nikipata kacollege kakujifunza roho mbya na ubinafsi naenda fanya certificate my dear!
Ukiona mwenzio anaona usumbufu kuwasiliana nawew ujue hamna mapenz hapo,yuko nawe kwasabab fulan tuuWivu kama nkimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa!! Njoo nikufunze, na team roho mbaya Evelyn Salt na Heaven Sent wapo pia tutakusaidia.