Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Hahaa tatizo MBITIYAZA ana moyo wa kupondeka sanaHahahaaa!! Njoo nikufunze, na team roho mbaya Evelyn Salt na Heaven Sent wapo pia tutakusaidia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa tatizo MBITIYAZA ana moyo wa kupondeka sanaHahahaaa!! Njoo nikufunze, na team roho mbaya Evelyn Salt na Heaven Sent wapo pia tutakusaidia.
njoo nikupe dawa
Huo ndio moyo wa kupondeka unaotakiwa.nifundeni waungwana!mtu naemmpenda akiniambia mbiti sijala mchana sina hela mie huku machozi na huruma juu!likipata hela bas likukumbekege hakuna lipo tu km chatu vile!i hate that aisee
Huo ndio moyo wa kupondeka unaotakiwa.
Mkuu you are so true.A man need space,hili jambo wanawake hawatuelewagi kabisa!!!Welcome to no strings attached relationshipKatika jambo linalonishinda kwenye mahusiano ni hilo,la kupigiana simu kila mara,sms kwa wingi,kila unakokuwa location yako iwe inajulikana,ukowapi,unafanya nini umekula,yaan aisee siwezi kabisa.Napenda kuwa huru,kuwa na my own space,mambo ya kugandana kama luba siyawezi,na ndo maana niko singo[emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahhha eti chura wala konokonoMi udhaifu wangu sijawahi kusamehe yaani Tunaweza kuanza mahusiano Leo kesho nikakupiga chini... kawaida sana kwangu siangalii chura wala konokono mie.
We mwenyewe mgonjwa mwenzangu sema wewe unaficha maradhinjoo nikupe dawa
Haha me nilishapona mbona
Heaven Sent....njoo nikupe dawa
HelloHeaven Sent....
Hey, how are you!Hello
Hongera kwa roho ya kijasiri! Hasa awamu hii ya chattle empire!Uh!!! Nipe hongera tafadhali.
mmh wanaume wengi hii wawawez wako busy.Mawasiliano ndio kila kitu...mm napenda kuchat na mwenzangu muda wowote hata akituma msg au kupiga saa 10 ucku nitajibu
Utakuwa umezaliwa mwezi wa Saba wewWivu kama nkimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Sent using Jamii Forums mobile app