Stella Njimbwi
JF-Expert Member
- Aug 5, 2016
- 882
- 575
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama yeye ndo hataki kupona utamlazimisha?Hakuna dhambi mbaya kama kumuacha binadam mwenzako Anateseka wakati unaweza kumsadia njoo usaidiwe tatzo liishe
2logM@km
Ndio nilichomaanisha....kwamba mawazo yatawaua....mana inanoga umfanyie mtu kosa akuseme...akasirike kidogohapana alafu huwa hata kumpiga kofi mtu siwezi huwa naawaacha wajifie kwa mawazo
Sio kila mgonjwa anapenda dawa Lakin Kwa kuwa dawa ni muhimu inabid apewe
[emoji52][emoji52]Nikila mzigo tu sirud tena..... Kuna wakat inaniumiza sana but I just can't handle it
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhmm sipendi kuchat kila mda kibaya zaidi eti mpenzi, Mtu anipigie cm nimeshalala duh ase hapo atatafuta maneno na mm ukweli namwambia hapo hapo mchana kwote umeshida wapi.Haha sio mtu mzima wala bas tu watu wengne hawapend communication
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah! Weee kaa mbali na mmUdhaifu wangu kupenda kucontrol mwanaume ninaokuwa nao kwenye uhusiano, Nikiwaa na mwanaume natka kadi zake za benki niwe nazo mimi kila kitu chake kiwe chini yanguuu, uzuri naokutana nao hawana shida ju ya hilo.
Sijali pia asee naona kama sipotezi kitu ata tukiachana hii inanifanya nisisettle kabisa.huwa sijali chochote kwenye mahusiano, sina hasira wala kumgombeza mtu. kuna ga aliwahi chepuka na jamaa yangu na nkafahamu nikamwambia huku full tabasamu.
akajua ntampiga/kumgombeza walaaa niko na habari zangu. mwezi mmoja aliomba tuachane et mtu gani hujali lolote. sasa nikawaza alikuwa ananikosea kuona reaction yangu ama.
mwingine msg iliingia wana bebika na x wake nkaisoma ile ananiaga nikamwambia amsalimie jamaa (maaa nilisoma conv. yao yote) kaishiwa ozi nae wimbo wake ni why sijali
Najiona mimi aisee....ila huwa narudi after two weeks au mwezi hiviNikila mzigo tu sirud tena..... Kuna wakat inaniumiza sana but I just can't handle it
Sent using Jamii Forums mobile app
yaani hii ya kutojali mkuu naambiwa kila siku mwanaume gani sina wivu maana wivu ndo mapenzi..mara simpendi yaani ful kujishtukiaSijali pia asee naona kama sipotezi kitu ata tukiachana hii inanifanya nisisettle kabisa.
Asant kwako X for this cold heart.
Sent using Jamii Forums mobile app
Itakucost usipojirekebisha. Wanawake wa kiafrika ukiwa gentleman sana inakula kwako,ugentleman waachie wahindi na wazungu. Huku kwetu watasema amekukamata.Wakuu habari.
Kuna huu msemo kua hakuna aliekamilika chini ya jua. Hivyo kila mtu ana madhaifu yake, unaweza kua unaujua udhaifu wako au huujui lakini bado utakua na mapungufu flani kadha wa kadha.
Mimi udhaifu wangu mkubwa ni u laissez faire na kua too gentleman. Mimi hua sio mtu wa kutake things serious sana, lakini pia mimi ni mnyenyekevu au mpole sana hasa kwenye mahusiano.
Hadi mama yangu aliwahi kuniambia kua wanawake watakua wananiendesha sana. Mimi hua siwezi kumgombeza mwanamke au kumkemea hata akinikosea,.
Binafsi naona udhaifu wangu kwa wanawake umepitiliza kikomo ila sina jinsi ya kufanya, niko mpole sana.
Hayo ndio madhaifu yangu, wewe nini udhaifu wako hasa kwenye mahusiano.
Ahsante.
Pole sana. U need to change ili kuendana na kizazi hiki. Don't expect too much from a human being.Mimi wivu,kupenda kupita kiasi mpaka kufikia upofu,unyenyekevu na over expectation
Sent using Jamii Forums mobile app
Naboreka sana na mtu anayetaka kuchat kila wakati ,hasa mida ya kazi au bize na mambo mengine.Wivu kama nkimpenda mtu alaf nakua too caring ile kutaka kuchat kila saa kutaka kuwasiliana kila mda inakua kama ni usumbufu kwa mwingne
Sent using Jamii Forums mobile app