Ni kitu gani unakiona kama udhaifu wako mkubwa hasa kwenye mahusiano?

Unaweza kuua mtu mkuu...
 
Upo kama Mimi. Muda mwingi nakuwa busy na vikao vya hapa na pale. Halafu mwenzako anataka kuchat, huwa sijibu hizo txt hadi jioni ninapokuwa nimetulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Udhaifu wangu kupenda kucontrol mwanaume ninaokuwa nao kwenye uhusiano, Nikiwaa na mwanaume natka kadi zake za benki niwe nazo mimi kila kitu chake kiwe chini yanguuu, uzuri naokutana nao hawana shida ju ya hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…