Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Dennis R Shughuru

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2024
Posts
267
Reaction score
372
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
 
Tanzania kama nchi viongozi wawe na huruma kidogo ni hatari sana kwa nchi maskini kuingia mikataba mibovu ambayo itaiumiza nchi

Serikali kutaka kuingia mkataba wa usd billion 40 kwa mradi mmoja hio haikubaliki hata kidogo; mwanasheria mkuu alitumia sana akili kuweka mapingamizi kwenye huu mkataba

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Unazijua lakini usd Bilioni 42 wewe, nani atukopeshe hio hela? Toka Nchi ipate Uhuru maraisi wote 6 kwa Ujumla wamekopa $34B usd halafu unasema kuna mkopo wa $42B usd?
 
Kwani hizo pesa si zipo kwenye gesi? Zitarudi kupitia gesi. Na wanaokopa si ni makampuni ya gesi yenyewe.


AGIZA GESI YA KUPIKIA HAPOHAPO ULIPO USIONDOKE KAA HAPOHAPO MTAANI KWAKO:
Gesi zote zipo: Oryx Gas, Taifa Gas, Manjis Gas, O-Gas, Total Gas, Mihan Gas, na Puma Gas: zote zinapatikana hapo
 
Tatizo Kwa Sasa hatuna kiongozi wa maono.Huu mradi wa LNG Kila mbunge haitaki lakini huyu mzanzabara analazimisha
Mimi nadhani kuna watu wanachangia kwa chuki tu, kwanza LNG ni muwekezaji ndiye anajenga kuna kitu kinaitwa PSA ndio serikali inakula pesa, hakuna serikali ikajenga yenyewe eti kwa mkopo. Habari haina mashiko mtu kakurupuka labda kasina gharama ya mradi 42 B kadhani ni mkopo. Japo najuwa sio kweli hakuna gharama ya LNG ikawa 42B. Mtoa taarifa ni vizuri ukatoa habari za uhakika sio kusambaza vitu hujui.

Na wewe unayesema hawataki LNG wabunge fafanua hawataki nini? muwekezaji au? mbona chuki zimewajaa hamjui hata mnataka nini kama nchi. Nchi lazima iwe na uwekezaji Tanzania hawana uwezo wa kuchimba Gas, wala kuchakata Gas uwezo wa kipesa wa utaalamu. Hizi ni private sector, ila ni wajibu wa serikali kupata good deal kwenye PSA hilo ndio jukumu la serikali.
 
Tanzania kama nchi viongozi wawe na huruma kidogo ni hatari sana kwa nchi maskini kuingia mikataba mibovu ambayo itaiumiza nchi

Serikali kutaka kuingia mkataba wa usd billion 40 kwa mradi mmoja hio haikubaliki hata kidogo; mwanasheria mkuu alitumia sana akili kuweka mapingamizi kwenye huu mkataba

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Unajua return on investment yake?

Hatq sgr na stigler mlisema kituko

Mnapenda small talks
 
Unajua return on investment yake?

Hatq sgr na stigler mlisema kituko

Mnapenda small talks
Unajua usd billion 42 uiepeleke kwenye mradi mmoja kwa nchi maskini kama Tanzania

Unafananisha sgr ya usd billion 7 ambazo hata zikiongezeka itafika billion 10 na billion 42

Jiulize kwanini mpaka sahivi serikali inapata kigugumizi kusign huo mkataba wa billion 42
 
Mimi nadhani kuna watu wanachangia kwa chuki tu, kwanza LNG ni muwekezaji ndiye anajenga kuna kitu kinaitwa PSA ndio serikali inakula pesa, hakuna serikali ikajenga yenyewe eti kwa mkopo. Habari haina mashiko mtu kakurupuka labda kasina gharama ya mradi 42 B kadhani ni mkopo. Japo najuwa sio kweli hakuna gharama ya LNG ikawa 42B. Mtoa taarifa ni vizuri ukatoa habari za uhakika sio kusambaza vitu hujui.

Na wewe unayesema hawataki LNG wabunge fafanua hawataki nini? muwekezaji au? mbona chuki zimewajaa hamjui hata mnataka nini kama nchi. Nchi lazima iwe na uwekezaji Tanzania hawana uwezo wa kuchimba Gas, wala kuchakata Gas uwezo wa kipesa wa utaalamu. Hizi ni private sector, ila ni wajibu wa serikali kupata good deal kwenye PSA hilo ndio jukumu la serikali.
LNP hapo hujaongelea mabomba ya kusafirishia hiyo gesi tuacheni utani ni gharama kubwa sana
 
Tanzania kama nchi viongozi wawe na huruma kidogo ni hatari sana kwa nchi maskini kuingia mikataba mibovu ambayo itaiumiza nchi

Serikali kutaka kuingia mkataba wa usd billion 40 kwa mradi mmoja hio haikubaliki hata kidogo; mwanasheria mkuu alitumia sana akili kuweka mapingamizi kwenye huu mkataba

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Leta habari kamili. Yaani jina la huo mkataba, unazalisha nini, umesainiwa lini na kama una ushahidi wa document au hata kipande cha gazeti.

Kinyume cha hapo ni kutupigia kelele kama nzi wa chooni
 
Leta habari kamili. Yaani jina la huo mkataba, unazalisha nini, umesainiwa lini na kama una ushahidi wa document au hata kipande cha gazeti.

Kinyume cha hapo ni kutupigia kelele kama nzi wa chooni
Hakuna sehemu nimesema umesiniwa tujifunze kusoma uzi na kuelewa

Kama hujui kuna proposal usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery na anayesubiriwa ni serikali kusini pole sana
 
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Mkuu pole sana kwa kusoma masomo ya sayansi!!

Umekuja na mada nzuri sana, but maelezo hayajitoshelezi.

Umeandika as if kila mtu anaelewa kwamba Kuna mradi umekwama.
Usipofanya hivyo utapata wachangiaji wachache.


Jazia nyama.

1.Mradi tarajali uko mkoa Gani, na una ujazo cubic meter milioni ngapi, or trion ngapi.

2.Mradi uko mezani Toka lini??
Nini sababu za kukwama kutosainiwa.

3.Ni taifa gani na Kampuni ambayo inataka kutekeleza mradi???

4.Miradi mbadala uwekezaji wake shilingi ngapi?? na tija yake ikoje??

Aksante 🙏🙏
 
Mkuu pole sana kwa kusoma masomo ya sayansi!!

Umekuja na mada nzuri sana, but maelezo hayajitoshelezi.

Umeandika as if kila mtu anaelewa kwamba Kuna mradi umekwama.
Usipofanya hivyo utapata wachangiaji wachache.


Jazia nyama.

1.Mradi tarajali uko mkoa Gani, na una ujazo cubic meter milioni ngapi, or trion ngapi.

2.Mradi uko mezani Toka lini??
Nini sababu za kukwama kutosainiwa.

3.Ni taifa gani na Kampuni ambayo inataka kutekeleza mradi???

4.Miradi mbadala uwekezaji wake shilingi ngapi?? na tija yake ikoje??

Aksante 🙏🙏
Mradi wa gesi asilia mchakato wake upo tokea enzi za kikwete

Details za mradi ni ngumu kuzijua sababu kuna usiri mkubwa kwenye mikataba mingi hapa Tanzania ila gharama ya mradi ni usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery

July mwaka huu serikali kupitia mwanasheria mkuu ilisema bado inahitaji majadiliano zaidi juu ya huu uwekezaji wa usd billion 42 habari ipo ila jamii yetu haiipi kipaumbele habari za maana na zenye tija ndo changamoto ya nchi hii
 
Mradi wa gesi asilia mchakato wake upo tokea enzi za kikwete

Details za mradi ni ngumu kuzijua sababu kuna usiri mkubwa kwenye mikataba mingi hapa Tanzania ila gharama ya mradi ni usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery

July mwaka huu serikali kupitia mwanasheria mkuu ilisema bado inahitaji majadiliano zaidi juu ya huu uwekezaji wa usd billion 42 habari ipo ila jamii yetu haiipi kipaumbele habari za maana na zenye tija ndo changamoto ya nchi hii
Kwahiyo hujui hiyo gas ipo location ,mkoa gani!!??

Nikushukuru angalau bkwa jibu hilo!!
🙏🙏
 
Back
Top Bottom