Dennis R Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 267
- 372
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi
Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo
Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania
Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo
Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania
Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
- Aluminium smelter
- Copper smelter
- Pig iron smelter
- Glass smelter
- Spinning
- Paper pulp
- Oil refinery
- Petrochemical plant