U
Unaujua utajiri wa dangote kiasi gani na una uhakika anaweza kukopeshwa hyoo pesa...ushapitia taasisi wanaotoa mikopo kiasi hiko vigezo vyao??.Mfano dangote amejenga oil refinery ya usd billion 18
Minaamini oil refinery ni affordable kuliko hata natura gas refinery
Na oil refinery inakupa LPG na pia bomba la mafuta la uganda litaishia Tanga kwa hiyo kupata crude oil itakua ni rahisi