Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Kama hatuko tayari tuache.

Tutafute hela, tujenge refinery plant ya mafuta pale Tanga.

Meli zinazokuja kuchukua crude pale Tanga, zije na crude kwa ajili ya refinery yetu pale Tanga.
Uganda na Total lazima lazima watulize boli, share yetu tunatop up hela wanatupa crude ( TUJIFUNZE UMAFIA WA BIASHARA - HIZI NDIO KAZI ZA TISS ebo).

Ukiwa na refinery, unajiunga na Brics, unanunua crude Russia au Iran, unaflood mafuta nchini kwenye mastorage kila mahala, unashusha bei ya mafuta Tanzania, unafungua milango kihuni Kwa smuggler ( kama hujui vile) wahuni border huko wanajaa TZ kuchukua mafuta ya bei rahisi, at the end EA wote wanaanza kununua mafuta TZ baada ya kuimport.

KUNA MBINU NYINGI SANA ZA KUBORESHA UCHUMI NA KUFANYA WANANCHI MATAJIRI UKIZINGATIA TANZANIA NI VERY POTENTIAIL MAENEO MEEENGI.
 
Hio hela nyingi mno, bora waboreshe miundombinu mingine tu.
Mradi wa gesi asilia mchakato wake upo tokea enzi za kikwete

Details za mradi ni ngumu kuzijua sababu kuna usiri mkubwa kwenye mikataba mingi hapa Tanzania ila gharama ya mradi ni usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery

July mwaka huu serikali kupitia mwanasheria mkuu ilisema bado inahitaji majadiliano zaidi juu ya huu uwekezaji wa usd billion 42 habari ipo ila jamii yetu haiipi kipaumbele habari za maana na zenye tija ndo changamoto ya nchi hii
 
Kama hatuko tayari tuache.

Tutafute hela, tujenge refinery plant ya mafuta pale Tanga.

Meli zinazokuja kuchukua crude pale Tanga, zije na crude kwa ajili ya refinery yetu pale Tanga.
Uganda na Total lazima lazima watulize boli, share yetu tunatop up hela wanatupa crude ( TUJIFUNZE UMAFIA WA BIASHARA - HIZI NDIO KAZI ZA TISS ebo).

Ukiwa na refinery, unajiunga na Brics, unanunua crude Russia au Iran, unaflood mafuta nchini kwenye mastorage kila mahala, unashusha bei ya mafuta Tanzania, unafungua milango kihuni Kwa smuggler ( kama hujui vile) wahuni border huko wanajaa TZ kuchukua mafuta ya bei rahisi, at the end EA wote wanaanza kununua mafuta TZ baada ya kuimport.

KUNA MBINU NYINGI SANA ZA KUBORESHA UCHUMI NA KUFANYA WANANCHI MATAJIRI UKIZINGATIA TANZANIA NI VERY POTENTIAIL MAENEO MEEENGI.
Mfano dangote amejenga oil refinery ya usd billion 18

Minaamini oil refinery ni affordable kuliko hata natura gas refinery

Na oil refinery inakupa LPG na pia bomba la mafuta la uganda litaishia Tanga kwa hiyo kupata crude oil itakua ni rahisi
 
Usiwe unapenda kutafuniwa kila jambo yaani acha uvivu
Wewe ni MPUMBAVU, nakuuliza maswali ya msingi kabisa!! Usilete post za kijinga ambazo hazijitoshelezi, unaulizwa ufafanuzi una kuwa mkali kama upo KWENYE SIKU ZAKO au umegombana na MUME WAKO 🤣😀😀
 
Kama hatuko tayari tuache.

Tutafute hela, tujenge refinery plant ya mafuta pale Tanga.

Meli zinazokuja kuchukua crude pale Tanga, zije na crude kwa ajili ya refinery yetu pale Tanga.
Uganda na Total lazima lazima watulize boli, share yetu tunatop up hela wanatupa crude ( TUJIFUNZE UMAFIA WA BIASHARA - HIZI NDIO KAZI ZA TISS ebo).

Ukiwa na refinery, unajiunga na Brics, unanunua crude Russia au Iran, unaflood mafuta nchini kwenye mastorage kila mahala, unashusha bei ya mafuta Tanzania, unafungua milango kihuni Kwa smuggler ( kama hujui vile) wahuni border huko wanajaa TZ kuchukua mafuta ya bei rahisi, at the end EA wote wanaanza kununua mafuta TZ baada ya kuimport.

KUNA MBINU NYINGI SANA ZA KUBORESHA UCHUMI NA KUFANYA WANANCHI MATAJIRI UKIZINGATIA TANZANIA NI VERY POTENTIAIL MAENEO MEEENGI.
Shida ya jambo kama hili wenye mamlaka watataka liwe la Cartel yao tu😀! Kuna namna watu wanafaidika na sisi kuwa masikini
 
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Hiyo miradi uliyotaja inagharimu kiasi gani na payback period ikoje?
 
Wewe ni MPUMBAVU, nakuuliza maswali ya msingi kabisa!! Usilete post za kijinga ambazo hazijitoshelezi, unaulizwa ufafanuzi una kuwa mkali kama upo KWENYE SIKU ZAKO au umegombana na MUME WAKO 🤣😀😀
Sawa mimi ni mpumbavu ila siwezi kutafunia kila kitu ilihali habari ipo wazi kabisa na inaongelewa kila siku kwenye media

We inamaana hujui gesi asili ipo kwenye pwani ya lindi na mtwara kama ni hili hujui basi hii post imekuzidi uwezo ndo maana umeamua kuporomosha matusi
 
Nchini Kuna kundi la watu wachache ambao ndo wanufaika wa miradi mikubwa na mbaya zaidi hiyo mikataba niya Siri hivyo kuficha ufisadi wa ajabu.

Kwenye jambo hili Kuna nuka rushwa.
 
Hakuna sehemu nimesema umesiniwa tujifunze kusoma uzi na kuelewa

Kama hujui kuna proposal usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery na anayesubiriwa ni serikali kusini pole sana
Kuna shida gani kwenye LNG project ya Lindi? Au nyie ndiyo pinga pinga hadi mnakufa.

Sasa unadhani tuta explore vipi hiyo natural resource yetu bila kushirikisha wadau wenye fedha na teknolojia?

USD 42 Billion ni kubwa kuliko bajeti yote ya Tz kwa mwaka 2020-2025, kwa hiyo ili tu implement kama nchi inahitaji tu suspend miradi ya maendeleo yote including kulipa mishahara ya wafanyakazi ili mradi huo uwe operational
 
Shida ya jambo kama hili wenye mamlaka watataka liwe la Cartel yao tu😀! Kuna namna watu wanafaidika na sisi kuwa masikini

Na hapo ndio shida yetu weusi, ubinafsi hata kama ipo namna ya kuboresha maisha ya wengine na wewe bado ukawa tycoon.

Kwa jinsi ardhi ya Tanzania ilivyobarikiwa, ukiwa kiongozi unaweza kuishi vizuri wewe na vizazi vyako mpaka 20 lakini pia unaweza kuboresha maisha ya watu wako kiasi hata cha kusahau kama kuna uchaguzi, GCC na Saudia wamejaribu kufanya watu wao kuwa na uchumi mzuri kiasi kwamba hawazibughudhi kabisa familia za kifalme.

Kwa resources tulizonazo ukiwa jumba jeupe directly unaweza kuwafanya Watanzania 100 matajiri kila week directly achana na wale indirectly hii inaweza kuwa program ya jumba jeupe na in 20yrs Watanzania 90% wanaweza kuwa na uchumi mkubwa.
 
Unazijua lakini usd Bilioni 42 wewe, nani atukopeshe hio hela? Toka Nchi ipate Uhuru maraisi wote 6 kwa Ujumla wamekopa $34B usd halafu unasema kuna mkopo wa $42B usd?
Nimejaribu kusoma comments nyingi mpaka sasa lakini nahisi wengi hawajui wanachoandika kwenye hii maada..USD 42B kwa uchumi wa nchi yetu nani wa kukupa hizo pesa, wengine wanasema dangote kakopa USD 18B for oil refinery,uyo dangote mwenyewe utajiri wake na mali zake hajafika huo utajiri nani wa kumpa hyoo pesa..tujifunze vitu kabla kucomments au kuchangia
 
Na hapo ndio shida yetu weusi, ubinafsi hata kama ipo namna ya kuboresha maisha ya wengine na wewe bado ukawa tycoon.

Kwa jinsi ardhi ya Tanzania ilivyobarikiwa, ukiwa kiongozi unaweza kuishi vizuri wewe na vizazi vyako mpaka 20 lakini pia unaweza kuboresha maisha ya watu wako kiasi hata cha kusahau kama kuna uchaguzi, GCC na Saudia wamejaribu kufanya watu wao kuwa na uchumi mzuri kiasi kwamba hawazibughudhi kabisa familia za kifalme.

Kwa resources tulizonazo ukiwa jumba jeupe directly unaweza kuwafanya Watanzania 100 matajiri kila week directly achana na wale indirectly hii inaweza kuwa program ya jumba jeupe na in 20yrs Watanzania 90% wanaweza kuwa na uchumi mkubwa.
Na unabakia na Legacy nzuri tu kwa raia wako.
 
Nimejaribu kusoma comments nyingi mpaka sasa lakini nahisi wengi hawajui wanachoandika kwenye hii maada..USD 42B kwa uchumi wa nchi yetu nani wa kukupa hizo pesa, wengine wanasema dangote kakopa USD 18B for oil refinery,uyo dangote mwenyewe utajiri wake na mali zake hajafika huo utajiri nani wa kumpa hyoo pesa..tujifunze vitu kabla kucomments au kuchangia
Kuna kitu ambacho huelewi kinachoigharimu Afrika ni vipaumbele vibovu huwezi kopa usd billion 42 kwa mradi mmoja wewe utakua una-matatizo ya kufikiri
 
Back
Top Bottom