Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Wanaongeza number ili wavune kwenye cost recovery. Hapa ngoja niweke mfano mwepesi ili atayepita anaweza kuelewa. Mfano una kiwanja Kariakoo lakini uwezo huna wa kujenga, anakuja mwekezaji mimi nitajenga gharama nitakata kwenye kodi nikimaliza gharama zangu miaka 10 ya faida unasema deal. Anajenga nyumba kwa Bil 1 akimaliza anakuja anakwambia nimetumia Bil 3, msimamizi wako kapewa chake anasema kweli Bil 3 hapo imekula kwako matokeo utalipa mara 3 bila kujuwa. Mwekezaji anapokuja na gharama kubwa ni kwa maslahi yake maana cost recovery ni 100% hapo serikali ni kuwa on top kuhakikisha gharama ni sahihi ukipata wapiga ma deal wanasema wewe andika tu 42 sisi tuna approve nani analipa hizo gharama? serikali.....
Kiongozi ‘if you know, you know’.

Soma post yangu #90 jinsi nilivyowanga michango yao hadi hapo.

Wewe ni mchangiaji wa muda mrefu humu; na sio mara ya kwanza kusema unajua haya mambo.

Taaluma zina lines of reasoning ni rahisi kusoma michango ya mtu na kuona huyu ana abc ya haya mambo na huyu hana. Ni wazi una uelewa wa uwekezaji hasa kwenye oil and gas contracts.

Ndio maana, uwa tunawaambia wengine hakuna analytics inayo ruhusu kutoa mambo kutoka vichwani mwao.

Wenye kuelewa topic wanajua wanaona kwanini wajinga-wajinga uwa nawapa mapande yao (japo hawajazoea).

But then JF kuna wengint ni wasomaji tu, Iła ni watu wenye ya maamuzi ya Nchi. Ni watu ambao kwa michango yako ya akili ushawapa somo.

Shida ipo kwenye national debt, hawawezi dengua tena kwenye huo mkataba wa hovyo, washawekwa kona sana na (WB). Ipe muda,
wataachia tu sio kwakupenda ila kwa madeni waliyo nayo, hawa watu ni easily predictable.
 
Tanzania umeikuta utaiacha
Hata ikija kuwa nzuri
Utaiacha tena
Pambana kusurvive
Kama kunawatu wanaifaidi jiunge nao.
Ayo madini na mali za duniani ziliwekwa wenye nguvu wazifaidi,
Haki dunia hii hutakaa uipate
Unajipotezea muda
Pambana wewe na familia yako muishi vizuri kwishaa.

Hio Tanzania unayoiwaza nakuitaka haipo,nahaitakaa iwepo maisha yako yote
 
You
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
You mean more than Tshs 100T!?
Can't be....
 
Sio 42B bali ni dola Bilioni 42 yaani zaidi ya Trilioni 100 za kitanzania. Hatuna uwezo wa kufanya huo mradi hata kwa kukopa,
Hivi ile habari ya kuwa Kikwete alishauza gas yetu na hii binafsi sijaielewa naomba kuelimishwa
 
Kama hatuko tayari tuache.

Tutafute hela, tujenge refinery plant ya mafuta pale Tanga.

Meli zinazokuja kuchukua crude pale Tanga, zije na crude kwa ajili ya refinery yetu pale Tanga.
Uganda na Total lazima lazima watulize boli, share yetu tunatop up hela wanatupa crude ( TUJIFUNZE UMAFIA WA BIASHARA - HIZI NDIO KAZI ZA TISS ebo).

Ukiwa na refinery, unajiunga na Brics, unanunua crude Russia au Iran, unaflood mafuta nchini kwenye mastorage kila mahala, unashusha bei ya mafuta Tanzania, unafungua milango kihuni Kwa smuggler ( kama hujui vile) wahuni border huko wanajaa TZ kuchukua mafuta ya bei rahisi, at the end EA wote wanaanza kununua mafuta TZ baada ya kuimport.

KUNA MBINU NYINGI SANA ZA KUBORESHA UCHUMI NA KUFANYA WANANCHI MATAJIRI UKIZINGATIA TANZANIA NI VERY POTENTIAIL MAENEO MEEENGI.
Sijui kama Hawa watu wanaona haya na kuwaingia akilini. Mafuta crude ya Hawa jamaa tunaweza kabisa tukajenga refinery hapo Tanga, tukasafisha haya mafuta ya Waganda tukayauza hapa nchini na hata kwa majirani pia. Lakini Hawa "wajinga" tunaowaita viongozi wanayo haya maono!?
 
Hawawezi fanya hivyo kwani profit sharing inakuwa based na hiyo 42b usd.
Hiyo Liquified natural gas Tanzania ingeharakisha tu ichimbwe kwani kadiri muda unavyozidi kwenda ndio thamani yake inazidi kushuka, kwani sasa hivi dunia inaenda kuachana na nishati chafu mafuta, gases na makaa ya mawe.
Tunaelekea kwenye solar power, batter, wind etc
Cost recovery based on CAPEX, kama 42 Billion imetumika kwenye mradi hiyo pesa inarudi yote kwa mwekezaji kupitia mgawanyo wa faida. ndio business.
 
Miradi mikubwa duniani inafanywa na mikopo ya bank na sehemu nyingine kama ulikua hulijui ni michache sana inafanywa bila mkopo

Utajiri wa dangote hata hujafika usd billion 18 hizo fedha anazitolea wapi kama sio mkopo mambo mengine yanahitaji matumizi ya akili tu
Aisee ni kweli. Nimeona ni 20 billion za USD
 
For your information, dangote amekopa pesa isiyozidi USD 5.5B...hizo pesa ulizosema wametoa/wamekopa shareholders wengine.. hawezi kopeshwa hyo pesa yote dangote kwa uwezo wake.. taratibu za mikopo taasisi kubwa zina mengi na utaratibu wake,kajifunze boss
Sasa hapa umeandika nini!? Umerudi kule kule kuwa huo mradi ni mkopo.
 
Dollar bilioni 42 si masikhara ninyi ,hiyo ni entire GDP ya baadhi ya mataifa kadhaa ya Afrika combined kabisa ,let alone hapo risk ya uzoefu wa operations kama hizi za drilling, extraction na processing ya gesi ili kupata refined products .
Tpdc hawana ubavu huo , hapa cha kufanya ifanyike partnership tu kama hivyo , hayo makampuni matajiri na makongwe tu kama Exxon ,Shell wapo dunia nzima ,kwanini hamjuulizi hawakuamini kuingia wao wazima tu pekee yao bila kufanya partnership ?
Acheni masikhara
Daladala tu za Mwendokasi tu hawa wapuuzi zinawashinda waje watolee wapi ethics ,utashi na mitaji ya kufanya serious operations kama hizo ?
Cha muhimu ni ethics za representative WA serikali kusimamia agreements Kwa weledi na uaminifu mkubwa kwa maslahi ya taifa , biashara zifanywe na private sector ,hii ya kutaka kuenvolve serikali katika kila biashara ni upuuzi na ndio maana Madudu hayaishi , serikali ibaki kwenye regulations na kutoa huduma muhimu na miundombinu ya kussupport basi na si full involvment , serikali kufanya biashara ndio hutumika kama kichaka cha upigaji kwa washenzi flani humo serikalini miaka yote .
Zifanyike public private partnership kama hivyo ,maana kwenye partnership watu wanaweka fedha zao na hawako tayari kuona upuuzi unafanyika , wako serious .
 
Ni wapi ulipo soma nikihitaji hayo unayo nipakazia mimi?
Kutaka taratibu za uwazi zifanyike kwenye mikataba hiyo ni "wivu"?

Hao hao ulio wataja, sasa wanajulikana kuwa ni vikaratasi vya chooni tu; baada ya sakata la DP World. Siwezi hata siku moja kutamani kuwa kwenye nafasi waliyopo wakitumika kulihujumu taifa.
DP WORLD ndiyo imetoka hiyo subiri tu mapato kuongezeka in terms of port operations.
 
Kiongozi ‘if you know, you know’.

Soma post yangu #90 jinsi nilivyowanga michango yao hadi hapo.

Wewe ni mchangiaji wa muda mrefu humu; na sio mara ya kwanza kusema unajua haya mambo.

Taaluma zina lines of reasoning ni rahisi kusoma michango ya mtu na kuona huyu ana abc ya haya mambo na huyu hana. Ni wazi una uelewa wa uwekezaji hasa kwenye oil and gas contracts.

Ndio maana, uwa tunawaambia wengine hakuna analytics inayo ruhusu kutoa mambo kutoka vichwani mwao.

Wenye kuelewa topic wanajua wanaona kwanini wajinga-wajinga uwa nawapa mapande yao (japo hawajazoea).

But then JF kuna wengint ni wasomaji tu, Iła ni watu wenye ya maamuzi ya Nchi. Ni watu ambao kwa michango yako ya akili ushawapa somo.

Shida ipo kwenye national debt, hawawezi dengua tena kwenye huo mkataba wa hovyo, washawekwa kona sana na (WB). Ipe muda,
wataachia tu sio kwakupenda ila kwa madeni waliyo nayo, hawa watu ni easily predictable.
Kinachoshangaza ni kutoka usd billion 30 mpaka billion 43 hapo hawajaanza kazi waje tena na stori zao za gharama kuongezeka usipokua makini watafika usd billion 50 kwa mradi mmoja tu

Afrika kuendelea ni ngumu sana hapohapo kule geita kuna watu tuliwapa migodi ni zaidi ya miaka 25 ukienda geita kuna umaskini wa kutisha
 
Sijui kama Hawa watu wanaona haya na kuwaingia akilini. Mafuta crude ya Hawa jamaa tunaweza kabisa tukajenga refinery hapo Tanga, tukasafisha haya mafuta ya Waganda tukayauza hapa nchini na hata kwa majirani pia. Lakini Hawa "wajinga" tunaowaita viongozi wanayo haya maono!?
Alafu oil refinery inakupa bidhaa nyingi sana kuliko hata natural gas refinery
 
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Una point usipuuzwee
 
Yani huwa nashangaa the way Rais SAMIA anavyokomaa na nishati safi.nchi 70% ni wakulima na wanaoishi kwa chini ya USD 1 kwa siku,middle class wanaojiweza kama Wafanyakazi na wafanyabishara wachache bado nao kutumia gas majumbani ni kwa machale sababu ya gharama-bado kila siku majukwaani ni mwendo wa nishati safi.
Sasa hiyo nishati safi atatumia nani kwa statistics kama hizo.
Tuboreshe uchumi wa watu,hayo mambo ya nishati safi yatakuja yenyewe

Tanzania umeikuta utaiacha
Hata ikija kuwa nzuri
Utaiacha tena
Pambana kusurvive
Kama kunawatu wanaifaidi jiunge nao.
Ayo madini na mali za duniani ziliwekwa wenye nguvu wazifaidi,
Haki dunia hii hutakaa uipate
Unajipotezea muda
Pambana wewe na familia yako muishi vizuri kwishaa.

Hio Tanzania unayoiwaza nakuitaka haipo,nahaitakaa iwepo maisha yako yote
#Period
 
Back
Top Bottom