Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Hapa ndipo Tanzania ina kasoro kubwa sana, na CCM na serikali yake wanatumia mwanya huu kufanya uchafu wowote wautakao wao.
NGOs za hapa nazo zimekuwa kama sehemu ya serikali. Wasomi wenye uelewa, wao wanajisalimisha na kuwa "maprofesa walio okotwa majalalani".
Serikali imehakikisha Mahakama hakuna kitu, hata kama kutakuwepo na mtu au kundi litkalo pinga chochote kinacho fanywa na serikali bila ya taratibu kutimizwa.
Rejea IGA ya DPWorld ilivyo vungwa vungwa hadi Bungeni!

Hii ya hapa, ni tofauti kabisa na kule Kenya. Shuhudia jinsi Adani na uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta ilivyo kaliwa kooni hadi sasa!

CCM na viongozi wake wa serikali wanasubiri tafaruku kubwa, ndipo wajue kuwa hali imekuwa mbaya sana.
Tazama wanayo fanya na uchaguzi wa serikali za mitaa! Hawa watu kweli bado wanazo akili timamu vichwani mwao?
Tatizo kubwa la hii nchi ni mitanzania yenyewe imeamua kuacha tu serikali ya CCM ifanye lolote lile bila bugudha yoyote ile na ndio maana wanaona Haina hata haja kujulisha umma kwenye baadhi ya mambo maana huo umma wenyewe hauwezi kufanya lolote.

Sasa hivi akili za watanzania walio wengi hasa wasomi Wala sio kulisaidia taifa, Bali ni jinsi gani na yeye atapata nafasi ya kuingia kwenye system hili na yeye awe ni sehemu ya wanufaikaji na huu mfumo corrupted. Sasa unapokuwa na taifa ambalo watu tarajiwa wakuletea maendeleo ndio wanakuwa na mawazo haya, basi wewe sahau kabisa kitu kinachoitwa maendeleo.

Nchi imeoza karibu kwenye angle zote muhimu sio mahakamani, sio bungeni Wala sio kwenye muhimili uliojichimbia chini zaidi.

Mahakama na Bunge zimekuwa ni vyombo vya kulinda maamuzi yanayotoka ofisi kuu haijalishi ni maamuzi yanayoashiria matokeo gani huko mbeleni.

Binafsi Mimi naamini hata ikitokea leo hii mwarabu akahitaji kukabidhiwa mkoa mmoja hapa Tanzania mfano kama Tabora, kwa kigezo Cha kwamba anataka kufanya uwekezaji wa asali, Basi chura Kiziwi atawaondoa wakazi wote wa Tabora kwa lazima na kuuacha mkoa mweupe na kisha kumkabidhi mwarabu na Hawa wasomi wetu tulionao wakamsifia kwamba ni uamuzi wa busara.

Huwa sipendi kuilinganisha nchi yetu hii na majirani zetu Kenya, maana kama ni suala la kujitambua kati yetu sisi na wao ni kama mbingu na aridhi.... Hii nchi ni Aibu sana hata kusema wewe unatokea humu.

Binafsi nilisha give up kuwa na matumaini yoyote kwamba Kuna siku hili taifa litasonga mbele na kutoka hapa lililopo, maana kadri siku zinavyozidi kwenda naona tunazidi kwenda shimoni tu..

nchi hailewiki, uchumi wa watu mmbovu, umasikini inaongezeka, haya hata usalama wa watu nao pia siku hizi haupo.... Watu wanatekwa mchana kweupe na watekaji wanajitambulisha kabisa wao ni maaskari bila kuogopa, halafu Kuna wajinga wanataka sijui eti tuwe wazalendo serious?

Nchi imekufa kisiasa na kiuchumi na hakuna Cha kijivunia kwenye hili taifa.... Labda machawa
 
Ona hii kenge kumanina zako, kwamba huyo bibi tozo asiyekuwa na hata chembe ya uzalendo ndio unamuita chagua la Mungu??????????? Una akili kweli we mzee??

Futa hiyo kauli hapo kwenye bold, sema unampigania wewe kwa ajili ya maslahi yako binafsi na familia yako basi.... Yaani nchi anaipeleke shimoni wewe unasema ni chaguo la Mungu? Mungu gani huyo wa huko kwenu ushetanini au?

Nyie machawa hasa wazee mnatia hasira sana nyankundo
Hata upasuke mishipa ya fahamu, Samia atabaki ni vchaguo la Mungu. Sina masilahi yeyote zaidi ya Utanzania wangu. Yule Mrundi wa Chato alikuwa anaharibu nchiyetu na Mungu akamuona. Kisha kampeleka jehanam!!
 
Ndio maana nikakwambia huwa sipendagi kabisa kubishana na nyie machawa, maana hamnaga kitu kichwani.

Vizuri umejitanabaisha wewe mwenyewe kwamba wakati Gaddafi anaingia madarakani mwaka 1969 ulikuwa na umri wa miaka 10 so mpaka Sasa hivi hapo ulipo wewe ni mzee wa umri wa miaka 65 na umeshuudia regimes nyingi sana za kisiasa na matukio yake hapa Afrika.

Muammar Gaddafi baada ya kushika madaraka alifuta Kila kitu ambacho kiliachwa na mfalme Idriss akianza na sera zake ambazo zilionekana kuwanufaisha Zaid ma imperialists wa ulaya hasa wabritain, alipunguza kabisa haki za uchimbaji mafuta kwa makampuni ya kingereza na serikali kuwa ndio mwenye miliki nyingi kwenye uchimbaji... Na kama hiyo haitoshi akakataa offer ya $550m kutoka kwa benki ya Uingereza akiwaambia kwamba rasilimali zilizopo Libya zinatosha kuiendesha Libya na ndio kipindi hicho hicho akafanya wide economy diversification ya Hali ya juu... Haya yote yalifanyika 1970s

Katika kipindi chote Cha utawala wa Gaddafi wanainchi wa Libya hawakuwahi kujua bill ya umeme Wala maji, elimu ilikuwa ni Bure kwa level zote, kumiliki makazi ilikuwa ni haki ya msingi ya asili ya Kila mwanainchi(natural human right), wanainchi wa Libya walipata mikopo bila riba kutoka kwenye mabenki,walitibiwa Bure kwenye hospital za pale pale Libya na kama kuna ulazima wa kwenda kutibiwa nje basi serikali ya Libya ndio iligharamikia matibabu yote na yote haya yalifanyika kwa pesa zinazotokana na rasilimali za pale pale Libya na Wala sio mikopo ya kiholela holela.

Chini ya utawala wa Gaddafi Libya haikuwahi kuwa na megenge ya uhalifu au wizi uliokithiri miongoni mwa raia.

Kwa ufupi tu ni kwamba Gaddafi alikuwa ni aina ya kiongozi mwenye akili nyingi aliyefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuifanya Libya kuwa self-sufficient ambapo Kila Mwanainchi alinufaika na rasilimali za taifa effectively..... Haya niambie ni viongozi wangapi wa kiafrika wanaweza kufanya hivyo tukianza na Hawa tulionao hapa wa CCM?????

Viongozi wengi wa kiafrika wanachoweza kufanya ni kushirikiana na ma imperialists wa ulaya na Marekani kuzikomba rasilimali za taifa kupitia mikataba mibovu ambayo inawanufaisha viongozi hao binafs huku wakiwaacha majority ya wanainchi wakiishi kwenye umasikini wa kutisha.

Tunafahamu nyie machawa huwa hamtaki na mnatumia kuona viongozi mahiri na wazalendo wakipewa maua yao, na badala yake mnapenda sifa kama hizi ziende kwa viongozi dhaifu na wajinga wajinga wasiokuwa na hata chembe ya uzalendo wanaouza rasilimali za taifa ovyo ovyo kama Samia a.k.a Chura Kiziwi.

Na Cha mwisho licha ya uzee wako lakini unaonekana Bado una akili changa sana, nani amekwambia kuwa Gaddafi aliliuliwa na watu wake? Kwamba licha ya kuishi miaka mingi ila mpaka leo hujui kabisa mikakati ya kumuua Gaddafi ilipangwa na akina nani na ilitekelezwa vipi?? Kweli wewe ndio maana ni chawa maana hata akili ya kudadisi tu hili kujua ukweli wa mambo huna.

Kiongozi Kama Gaddafi suala la kufa lilikuwa ni given, na ilikuwa afe tangu miaka ya 1980s huko kipindi kile anapambania movement ya Pan-Arabism, lakini amewakwepa mpaka ilipofika mwaka 2011 baada ya marekani kutengeneza kundi la wapenda demokrasia feki.

Hao ma imperialists huwa wanapenda afrika iwe na viongozi dhaifu ambao watakuwa ni madalali wazuri wa rasilimali zetu na Kila wanachoambiwa wanakubali, mfano kama mama yenu ambayo wewe na machawa wenzio Kila siku huwa mnamtetea na kumpamba kwa sifa ambazo Hana.

Umewahi kujiuliza hata siku moja ni kwanini viongozi mahiri wenye elements za kizalendo huwa hawakai sana Wala kuishi muda mrefu kulinganisha na Hawa viongozi walafi na wezi kama akina mzee Kikwete na wengineo??

Tanzania kwa huge potential iliyonayo endapo kama tungekuwa na watu makini kwenye key positions za kuamua mustakabali mzima wa taifa letu, basi walau wanainchi wake tungeweza kuishi hata nusu tu ya aina ya maisha walioishi walibya kipindi Cha Gaddafi....umetolewa mfano wa Saud Arabia hapo kwamba familia ya kifalme imejitahidi sana kufanya maisha ya wanainchi wa Saud yawe Bora kiasi kwamba hawatamani hata kuwabugudhi watawala wa taifa Hilo kama ambavyo sisi Kila siku tunashinda mitandaoni humu kuwasema na kuwalaani viongozi muda mwingine mpaka kuwaombea vifo.
Mwaka 1979 huyo rafiki yako Muammar Qaddafi alipomsaidia Nduli Idd Amin askari pamoja na silaha za kivita kuipiga Tanzania nina imani ulikuwa haujazaliwa. Gaddafi alikuwa kiongozi mbaya. The worst despotic leader in history of Africa.

Zaidi ya hapo ni muhimu ukajenga utamaduni wa kusoma historia na kupitia taarifa za vyanzo mbalimbali ili kupanua uelewa. Libya chini Muamar Gadafi ilitunza magaidi, wateka nyara au hukumbuki Lockerbie bombing ya 1988 kwa flight namba 103 ya Pan Am

Gaddaf wala siyo shujaa huwa namuona ni mpuuz mmoja tu kama akina Mobutu au Nguema au Bokassa.
Kiongoz shujaa lazima usikilize wananchi wanasema nini. Kwanini asingewaachia nchi wananchi? Aliifanya Libya kuwa ni ya kwake na familia yake, huyo ndiyo umamsifia. Alikosa nini mpaka ang'ang'anie madarakani?
 
Hiyo kauli yake imenikera sana, nimepoteza na hamu ya kula kabisa, na huyo ni mzee wa miaka 65.

Halafu nimekuja kubain Hawa machawa ni hatari kwa ustawi wa taifa kuliko hata Samia mwenyewe, maana wao kadri anavyozidi ndio wanavy msifia tu wajinga Hawa.
Katika maisha kama kupishana maono ni uchawa basi hata wewe ni chawa wa unayemtetea.
 
Hata upasuke mishipa ya fahamu, Samia atabaki ni vchaguo la Mungu. Sina masilahi yeyote zaidi ya Utanzania wangu. Yule Mrundi wa Chato alikuwa anaharibu nchiyetu na Mungu akamuona. Kisha kampeleka jehanam!!
Haya sikatai kwamba huyo Samia ni chaguo la mungu wa huko kwenu, maana Mungu wenu huyo anayeabudiwa na nyie machawa na mafisadi alishirikiana na nyie kumfanya akae hapo kwenye hicho kiti.

Kuhusu mrundi Mimi sijui kama taifa lenu hili limewahi kutawaliwa na mrundi, hiki nacho ni kiashiria kingine Cha udumavu wa akili kuongea vitu ambavyo huna uthibitisho.

Na kama huyo mrundi aliiharibu hii nchi yenu, basi hichi kibibi Cha kizanzibar ndio kinaenda kuizika kabisa huku waking kama wewe mkimpigia makofi sababu ya vijisent mnavyonufaika navyo ambavyo ni matokeo ya udhaifu alionao!

Anyway, kupitia comment zako nazidi kuamini ule msemo wa kwamba hata nyie wapumbavuu uzeeka.
 
Katika maisha kama kupishana maono ni uchawa basi hata wewe ni chawa wa unayemtetea.
Siwezi kuwa chawa kwenye maisha yangu hata iwe vipi...!! Hiyo kazi ntawaachia binadamu mliokosa thamani ndani ya nafasi zetu kama wewe.

Yaani unajua kabisa hii sio sahihi, ila unajikaza na kutoa povu kwamba ni sahihi.... Upumbavuu huo mtafanya nyie na wenzako wenye akili kama zako
 
Haya sikatai kwamba huyo Samia ni chaguo la mungu wa huko kwenu, maana Mungu wenu huyo anayeabudiwa na nyie machawa na mafisadi alishirikiana na nyie kumfanya akae hapo kwenye hicho kiti.

Kuhusu mrundi Mimi sijui kama taifa lenu hili limewahi kutawaliwa na mrundi, hiki nacho ni kiashiria kingine Cha udumavu wa akili kuongea vitu ambavyo huna uthibitisho.

Na kama huyo mrundi aliiharibu hii nchi yenu, basi hichi kibibi Cha kizanzibar ndio kinaenda kuizika kabisa huku waking kama wewe mkimpigia makofi sababu ya vijisent mnavyonufaika navyo ambavyo ni matokeo ya udhaifu alionao!

Anyway, kupitia comment zako nazidi kuamini ule msemo wa kwamba hata nyie wapumbavuu uzeeka.
Zanzibar ni sehemu ya Muungano wa JMT wewe pimbi. Mnakula makande na kuvuta bangi chooni na haya ndiyo matokeo yake. Mnaandika vitu vya HOVYO
 
Hiyo kauli yake imenikera sana, nimepoteza na hamu ya kula kabisa, na huyo ni mzee wa miaka 65.

Halafu nimekuja kubain Hawa machawa ni hatari kwa ustawi wa taifa kuliko hata Samia mwenyewe, maana wao kadri anavyozidi ndio wanavy msifia tu wajinga Hawa.
Watekelezaji wa maovu anayo panga Samia ni hao hao "machawa", kwa hiyo chawa ni hatari kubwa kwa taifa letu.
 
Huwa sipendi kuilinganisha nchi yetu hii na majirani zetu Kenya, maana kama ni suala la kujitambua kati yetu sisi na wao ni kama mbingu na aridhi.... Hii nchi ni Aibu sana hata kusema wewe unatokea humu.
Sijui wewe ni mtu wa umri gani mkuu 'Muhimbu', lakini kuna nyakati za huko nyuma ilikuwa ni heshima kubwa sana kwa mtu kujitambulisha kuwa yeye ni mTanzania, popote duniani. Sisemi haya kwa kuambiwa, nayasema kwa kutambua na kujuwa heshima kubwa iliyo kuwa nayo nchi hii.
Sasa hivi ni aibu kubwa kujitambulisha kwa jina hilo; kwanza hata ni nani anajuwa hiyo nchi ilipo sasa hivi. Sana sana utaulizwa habari za Taiwan au Tasmania!

Nchi hii ina kila kitu cha kuipa heshima, lakini kwa jinsi viongozi hawa wanavyo tupeleka, miaka mingine mtano ya aina hii, hatutakuwa tofauti sana na Haiti. Siwezi kushangaa Kenya wakileta olisi kusaidia raia wanaotekwa na kuuawa hovyo na magenge ya wana CCM.
 
Mwaka 1979 huyo rafiki yako Muammar Qaddafi alipomsaidia Nduli Idd Amin askari pamoja na silaha za kivita kuipiga Tanzania nina imani ulikuwa haujazaliwa. Gaddafi alikuwa kiongozi mbaya. The worst despotic leader in history of Africa.

Zaidi ya hapo ni muhimu ukajenga utamaduni wa kusoma historia na kupitia taarifa za vyanzo mbalimbali ili kupanua uelewa. Libya chini Muamar Gadafi ilitunza magaidi, wateka nyara au hukumbuki Lockerbie bombing ya 1988 kwa flight namba 103 ya Pan Am

Gaddaf wala siyo shujaa huwa namuona ni mpuuz mmoja tu kama akina Mobutu au Nguema au Bokassa.
Kiongoz shujaa lazima usikilize wananchi wanasema nini. Kwanini asingewaachia nchi wananchi? Aliifanya Libya kuwa ni ya kwake na familia yake, huyo ndiyo umamsifia. Alikosa nini mpaka ang'ang'anie madarakani?
Huna Cha kuniambia kuhusu historia ya watu viongozi mahiri kama Gaddafi, najua ukweli ni upi na propaganda na zipi, viongozi kama wale lazima ziwepo propaganda za kuwachafua maana hawakukubali kuwa wajinga.

Viongozi kama Gaddafi anachukiwa na majitu yenye mindset za kifisadi au watetezi wa majizi kama wewe... Kwa ufupi tu watu wenye akili dumavu na ambao hata shule hamjaenda ndio mtamchukia Gaddafi.

Haya Muammar Gaddafi alikuwa anatunza magaidi kama ulivyoaminishwa, lakini sijaona ukikanusha hayo mazuri aliyoyafanya kwa wanainchi wake?? Je, hayakuwepo???

Ni heri uishi chini ya utawala wa kiongozi mzalendo shupavu kama Gaddafi ambaye anajua taifa lake na wanainchi wake linataka nini, kuliko kuishi kwenye utawala dhaifu unaojinasibu ni wa kidemokrasia unaolea mafisadi na rushwa ikitamalaki.

Ni uwendowazimu kujisifu eti una demokrasia wakati serikali yako inafuga wezi, majizi na Wala rushwa na usalama wa raia ukiwa hatarini Kila leo.

Serikali yenu ya Samia ni Moja ya serikali za kipuuzi kuwahi kutokea hapa Afrika kwa yeyote mwenye akili timamu anajionea ni jinsi gani alivyoshindwa na nchi inaelekea korongoni. Na pia vile vile amonesha muda wa wanawake kuongoza taifa changa kama hili Bado sana na kitu kizuri wanaosema hii kauli mara kwa mara ni wanawake.

Ni nyie machawa,watumishi wazembe na majizi ndio mnaona Kuna la maana analofanya, na Kuna uwekano mkubwa huu ukawa ndio mwaka wa mwisho wa yeye kuitwa raisi wa JMT.
 
Sijui wewe ni mtu wa umri gani mkuu 'Muhimbu', lakini kuna nyakati za huko nyuma ilikuwa ni heshima kubwa sana kwa mtu kujitambulisha kuwa yeye ni mTanzania, popote duniani. Sisemi haya kwa kuambiwa, nayasema kwa kutambua na kujuwa heshima kubwa iliyo kuwa nayo nchi hii.
Sasa hivi ni aibu kubwa kujitambulisha kwa jina hilo; kwanza hata ni nani anajuwa hiyo nchi ilipo sasa hivi. Sana sana utaulizwa habari za Taiwan au Tasmania!

Nchi hii ina kila kitu cha kuipa heshima, lakini kwa jinsi viongozi hawa wanavyo tupeleka, miaka mingine mtano ya aina hii, hatutakuwa tofauti sana na Haiti. Siwezi kushangaa Kenya wakileta olisi kusaidia raia wanaotekwa na kuuawa hovyo na magenge ya wana CCM.
Kaka Mimi ni mtu mzima ambaye Mpaka kufikia hapa nimeshuudia awamu nne nikiwa na akili zangu timamu, hivyo mambo Mengi kuhusu taifa hili ninayajua hata kama sio kwa upana sana.

Yes, miaka Fulani ya nyuma kipindi Bado viongozi na jamii yetu kwa ujumla Ina hofu ya Mungu na inatambua nini maana ya uadilifu, ilikuwa ni heshima kubwa sana mtu kuwa na passport ya kitanzania...!!

Kwa raia yoyote wa kigeni aliyewahi kuishi Tanzania miaka ya 1990s leo hii Akija Tena Tanzania halafu akakuta eti Bado tuna shida ya umeme na maji lazima atudharau sana, na atakuwa sahihi kutudharau.

Yaani nchi potential kama hii ambayo haina historia yoyote ya civil wars tangu imepata Uhuru miaka zaidi ya 60 iliyopita, eti Bado mpaka leo hii hatuna umeme wa uhakika na karibu 75% ya barabara zetu hazina Rami na kama hiyo haitoshi Bado tunategemea wahisani kukamilisha miradi Mingi ya maendeleo.

Nchi ambayo wanainchi wake wengi wanaingia kwenye system ya Ajira za serikali sio kwa ajili ya kulitumikia taifa lipate maendeleo, Bali ni kwa ajili ya kujipatia pesa za haraka kwa njia za ubadhirifu.... Taifa kama hili ni halali kabisa mtu akilidharau.

Binafsi Mimi huwa naamini kwa huu uelekeo alionao Samia kama atapewa miaka mingine 5 basi hili nchi tayari itakuwa ni ya walowezi na kama kuna kitu ambacho watanzania watabaki wanamiliki basi ni ndala zao tu... Na kwa miaka 10 ijaiyo kama itabaki mikononi mwa CCM naiona ikidumbukia kwenye uharifu uliokithiri na umasikini wa kutisha na hapo tutaanza kuona idadi kubwa sana ya watanzania wakitamani kuikimbia kabisa nchi yao kuhamia kwenye mataifa mengine kama wanavyofanya wanaijeria.

Kiufupi tu kukosekana kwa viongozi wenye maono na badala yake tukapata walafi na majizi wakilindwa na machawa wao kumefanya tiafa liendelee kubaki hapa hapa lililopo miaka nenda miaka Rudi.
 
Mradi wa gesi asilia mchakato wake upo tokea enzi za kikwete

Details za mradi ni ngumu kuzijua sababu kuna usiri mkubwa kwenye mikataba mingi hapa Tanzania ila gharama ya mradi ni usd billion 42 kwa ajili ya kujenga natural gas refinery

July mwaka huu serikali kupitia mwanasheria mkuu ilisema bado inahitaji majadiliano zaidi juu ya huu uwekezaji wa usd billion 42 habari ipo ila jamii yetu haiipi kipaumbele habari za maana na zenye tija ndo changamoto ya nchi hii
Pesa iwe kubwa ama kidogo,hakuna mabadiliko chanya atakayopata mtanzania aliye nje ya mfumo wa ulaji.Hapo wanachodiscuss si nchi itafaidika nini bali nini individuals walio kwenye mfumo wataifaidi
 
Kaka Mimi ni mtu mzima ambaye Mpaka kufikia hapa nimeshuudia awamu nne nikiwa na akili zangu timamu, hivyo mambo Mengi kuhusu taifa hili ninayajua hata kama sio kwa upana sana.

Yes, miaka Fulani ya nyuma kipindi Bado viongozi na jamii yetu kwa ujumla Ina hofu ya Mungu na inatambua nini maana ya uadilifu, ilikuwa ni heshima kubwa sana mtu kuwa na passport ya kitanzania...!!

Kwa raia yoyote wa kigeni aliyewahi kuishi Tanzania miaka ya 1990s leo hii Akija Tena Tanzania halafu akakuta eti Bado tuna shida ya umeme na maji lazima atudharau sana, na atakuwa sahihi kutudharau.

Yaani nchi potential kama hii ambayo haina historia yoyote ya civil wars tangu imepata Uhuru miaka zaidi ya 60 iliyopita, eti Bado mpaka leo hii hatuna umeme wa uhakika na karibu 75% ya barabara zetu hazina Rami na kama hiyo haitoshi Bado tunategemea wahisani kukamilisha miradi Mingi ya maendeleo.

Nchi ambayo wanainchi wake wengi wanaingia kwenye system ya Ajira za serikali sio kwa ajili ya kulitumikia taifa lipate maendeleo, Bali ni kwa ajili ya kujipatia pesa za haraka kwa njia za ubadhirifu.... Taifa kama hili ni halali kabisa mtu akilidharau.

Binafsi Mimi huwa naamini kwa huu uelekeo alionao Samia kama atapewa miaka mingine 5 basi hili nchi tayari itakuwa ni ya walowezi na kama kuna kitu ambacho watanzania watabaki wanamiliki basi ni ndala zao tu... Na kwa miaka 10 ijaiyo kama itabaki mikononi mwa CCM naiona ikidumbukia kwenye uharifu uliokithiri na umasikini wa kutisha na hapo tutaanza kuona idadi kubwa sana ya watanzania wakitamani kuikimbia kabisa nchi yao kuhamia kwenye mataifa mengine kama wanavyofanya wanaijeria.

Kiufupi tu kukosekana kwa viongozi wenye maono na badala yake tukapata walafi na majizi wakilindwa na machawa wao kumefanya tiafa liendelee kubaki hapa hapa lililopo miaka nenda miaka Rudi.
Maona siyo ya kiongozi bali ni ya Taifa. Na kwa Tanzania tuna Vision 2025. Sasa wewe unasema eti kukosekana kwa kiongozi mwenye maono. Huijui Tanzania wewe bado mtoto mdogo
 
Kiufupi tu kukosekana kwa viongozi wenye maono na badala yake tukapata walafi na majizi wakilindwa na machawa wao kumefanya tiafa liendelee kubaki hapa hapa lililopo miaka nenda miaka Rudi.
Tanzania hatuna tatizo zaidi ya hili ulilo litaja kwenye hii mistari miwili ya mwisho.
Korea Kusini, wana kitu gani zaidi cha kuishinda Tanzania? Hivyo hivyo na mifano mingi sana mingine, kama Taiwan; Israel wana nini? Vietnam, Thailand, wana nini cha ziada? Hivi vi-inchi vyote vya Ulaya vilivyo kuwemo kwenye Himaya ya ki-Soviet, ambavyo sasa ndio wanaotuamrisha na uana chama wao wa 'European Union' na EPA yao, wana kitu gani cha ziada kuliko tulicho nacho sisi Tanzania?
Na wao walihangaika sana kama anavyo hangaika kiongozi wetu kwenda kutafuta watu/makampuni ya kutumia raslimali zao kama anavyo fanya Samia, ndipo wakapata maendeleo waliyo nayo leo?
Na wao waliambiwa na viongozi wao wakuu kuwa ni wavivu, wezi,n.k. kuwa ni kazi bure kuwategemea wao kuziletea nchi zao mabadiliko?

Leo hii, hata mambo madogo kabisa tunayo weza kuyafanya sisi, inalazimu tukatafute watu nje? Viongozi hawana muda wa kufanya kazi na watu wao hapa hapa nyumbani; hata kuchimba vyoo vya mashimo,; kutunza mapori yetu na kupanda miti na kuitunza, hatuwezi?
Ndiyo, sasa furaha yetu angalau ni kuwaona wenzetu akina Mo, akina Roast; akina Abdallah Nahdi na pengine akina Abdul wakisahamiri; wakati wengi wetu tunaandaliwa kuwa watwana tu, wa kuwatumikia hao wanao leta mitaji yao hapa kuvuna na siyo kutunyanyua kama taifa!

Nina imani tutaachana na upumbavu huu hivi karibuni.
 
Maona siyo ya kiongozi bali ni ya Taifa. Na kwa Tanzania tuna Vision 2025. Sasa wewe unasema eti kukosekana kwa kiongozi mwenye maono. Huijui Tanzania wewe bado mtoto mdogo
Sasa wewe ni kipi usicho elewa hapa. Huyo kiongozi na serikali siyo wahusika wa kutunga sera za waTanzania kutekeleza na kunufaika na maono hayo?
Badala ya kufanya hivyo, kiongozi yeye anatumia nafasi hiyo kutumia maono hayo kwa kunufaisha wengine zaidi ya wananchi wake!
Kiongozi anaamini nafasi ya waTanzania katika maono hayo ni kuwa watwana wa kuwatumikia hao anao walinda kunufaika na maono! Hili hulioni!
 
Sasa wewe ni kipi usicho elewa hapa. Huyo kiongozi na serikali siyo wahusika wa kutunga sera za waTanzania kutekeleza na kunufaika na maono hayo?
Badala ya kufanya hivyo, kiongozi yeye anatumia nafasi hiyo kutumia maono hayo kwa kunufaisha wengine zaidi ya wananchi wake!
Kiongozi anaamini nafasi ya waTanzania katika maono hayo ni kuwa watwana wa kuwatumikia hao anao walinda kunufaika na maono! Hili hulioni!
Usipotumia akili yako kisawasawa utapitwa na fursa na utaishia kuwa Mr Malalamiko huku wenzio wanapiga hatua.

Hata Wamalawi wasio na kisomo wameona Tanzania fursa lakini bado wewe unajadili maono ya Rais.
 
Watekelezaji wa maovu anayo panga Samia ni hao hao "machawa", kwa hiyo chawa ni hatari kubwa kwa taifa letu.
Adui namba Moja wa hili taifa kwa Sasa ni Hawa machawa, maana Hawa ni mashetani wanaojifanya ni malaika.

Haya ni majitu ambayo hata nchi ikuzwa yatatetea tu mathalan kuna fungu yanapata. Na hawaangalii kabisa kesho ya taifa na mbaya zaidi Kuna mengine ni masomi kabisa humo humo!

Mfano kama hili lizee tunalobishana nalo hapa, watu kama yeye walipaswa wawe mstari wa mbele kabisa kukemea kabisa utawala wowote unaendekeza ufisadi na wizi maana wanazijua changamoto za hili taifa kiundani kuliko sisi, lakini lenyewe ndio kwanza linakwambia eti Samia ni chaguo la Mungu... Jinga kabisa hili
 
Usipotumia akili yako kisawasawa utapitwa na fursa na utaishia kuwa Mr Malalamiko huku wenzio wanapiga hatua.

Hata Wamalawi wasio na kisomo wameona Tanzania fursa lakini bado wewe unajadili maono ya Rais.
We mzee una laana mpaka matakoni kwako!

Hivi kwenye awamu Kuna yeyote kati yenu wanufaika wa hii serikali dhaifu anayetumia akili hata kidogo zaidi ya kujipendekeza pendekeza ovyo tu?
 
Mfano kama hili lizee tunalobishana nalo hapa, watu kama yeye walipaswa wawe mstari wa mbele kabisa kukemea kabisa utawala wowote unaendekeza ufisadi na wizi maana wanazijua changamoto za hili taifa kiundani kuliko sisi, lakini lenyewe ndio kwanza linakwambia eti Samia ni chaguo la Mungu... Jinga kabisa hili
Hilo "lizee" unalo lizungumzia, ni mtu mzima kabisa, tena mwenye uelewa mzuri kabisa wa mambo muhimu ya nchi yetu. Nasema hivi kwa sababu tokea huko nyuma siku nyingi nime badilishana naye mawazo humu humu JF.

Sasa ngoja nikwambie tatizo la baadhi ya hawa watu. Hizi imani tulizo nazo; ambazo kwa kweli ni tamaduni tu za kigeni zinawachukua akili baadhi ya watu kupita kiasi. Mtu wa imani yao tu akiwa madarakani, anachukuliwa kuwa mtu huyo hawezi kufanya makosa. Kiongozi huyo akisemwa kwa kushindwa uongozi, inaonekana kuwa ni imani yake na wao ndio wanao shambuliwa.
Watu wa aina hii wapo pande zote, lakini ni wazi kuwa hawa wa dini ya huyu mama wako mbele sana kumkingia kifua, hata aharibu kiasi gani.
Wao imani ni zaidi ya nchi, ambayo ni huyo huyo Mungu ndiye mlezi wa nchi yenyewe, bila kujali kiongozi mmoja tu.
Kwa hiyo, msukumo wa huyo, unaye muita. "lizee" nimejiridhisha kuwa anasumbuliwa na imani anayo changia na huyu mama kiongozi. Hakuna jingine zaidi ya hapo.
 
Back
Top Bottom