Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Ni kituko kuingia mkataba wa USD billion 42 za mkopo kwa ajili ya mradi mmoja tu wa kutengeneza natural gas refinery

Usipotumia akili yako kisawasawa utapitwa na fursa na utaishia kuwa Mr Malalamiko huku wenzio wanapiga hatua.

Hata Wamalawi wasio na kisomo wameona Tanzania fursa lakini bado wewe unajadili maono ya Rais.
Wewe unajuwa fursa niliyo pewa na taifa hili hadi niwe hapa niipofikia sasa? Wewe unadhani nipo hapa kulamba miguu ya mtu yeyote?
Fursa niliyo pewa na nchi hii, ndiyo ninayo tegemea waTanzania wengine, hasa hiki kizazi kinachoingia wakati mgumu wa uongozi kama huu tulio nao sasa. Itaniumiza sana kuona kizazi hiki kinaishia kuwa watwana tu wa watu wengine.
Hizo unazo ziita wewe fursa wanazopata waMalawi, ndizo Samia anazo watafutia waTanzania sasa hivi! Inanisikitisha sana na kunifadhaisha kwamba hata huoni uchungu au hata aibu kuyaandika haya unayo andika.
 
Hilo "lizee" unalo lizungumzia, ni mtu mzima kabisa, tena mwenye uelewa mzuri kabisa wa mambo muhimu ya nchi yetu. Nasema hivi kwa sababu tokea huko nyuma siku nyingi nime badilishana naye mawazo humu humu JF.

Sasa ngoja nikwambie tatizo la baadhi ya hawa watu. Hizi imani tulizo nazo; ambazo kwa kweli ni tamaduni tu za kigeni zinawachukua akili baadhi ya watu kupita kiasi. Mtu wa imani yao tu akiwa madarakani, anachukuliwa kuwa mtu huyo hawezi kufanya makosa. Kiongozi huyo akisemwa kwa kushindwa uongozi, inaonekana kuwa ni imani yake na wao ndio wanao shambuliwa.
Watu wa aina hii wapo pande zote, lakini ni wazi kuwa hawa wa dini ya huyu mama wako mbele sana kumkingia kifua, hata aharibu kiasi gani.
Wao imani ni zaidi ya nchi, ambayo ni huyo huyo Mungu ndiye mlezi wa nchi yenyewe, bila kujali kiongozi mmoja tu.
Kwa hiyo, msukumo wa huyo, unaye muita. "lizee" nimejiridhisha kuwa anasumbuliwa na imani anayo changia na huyu mama kiongozi. Hakuna jingine zaidi ya hapo.
Tusipangiane nani wa kumunga mkono, ninawajibika na maoni yangu.
 
Tanzania hatuna tatizo zaidi ya hili ulilo litaja kwenye hii mistari miwili ya mwisho.
Korea Kusini, wana kitu gani zaidi cha kuishinda Tanzania? Hivyo hivyo na mifano mingi sana mingine, kama Taiwan; Israel wana nini? Vietnam, Thailand, wana nini cha ziada? Hivi vi-inchi vyote vya Ulaya vilivyo kuwemo kwenye Himaya ya ki-Soviet, ambavyo sasa ndio wanaotuamrisha na uana chama wao wa 'European Union' na EPA yao, wana kitu gani cha ziada kuliko tulicho nacho sisi Tanzania?
Na wao walihangaika sana kama anavyo hangaika kiongozi wetu kwenda kutafuta watu/makampuni ya kutumia raslimali zao kama anavyo fanya Samia, ndipo wakapata maendeleo waliyo nayo leo?
Na wao waliambiwa na viongozi wao wakuu kuwa ni wavivu, wezi,n.k. kuwa ni kazi bure kuwategemea wao kuziletea nchi zao mabadiliko?

Leo hii, hata mambo madogo kabisa tunayo weza kuyafanya sisi, inalazimu tukatafute watu nje? Viongozi hawana muda wa kufanya kazi na watu wao hapa hapa nyumbani; hata kuchimba vyoo vya mashimo,; kutunza mapori yetu na kupanda miti na kuitunza, hatuwezi?
Ndiyo, sasa furaha yetu angalau ni kuwaona wenzetu akina Mo, akina Roast; akina Abdallah Nahdi na pengine akina Abdul wakisahamiri; wakati wengi wetu tunaandaliwa kuwa watwana tu, wa kuwatumikia hao wanao leta mitaji yao hapa kuvuna na siyo kutunyanyua kama taifa!

Nina imani tutaachana na upumbavu huu hivi karibuni.
Man, hii inchi isingekuwa huku kwa wapumbavuu yaani ingekuwa hata Bara la Asia, leo hii inafukuzana na mataifa kama France,Japan,Uk na mengine makubwa unayoyajua wewe kiuchumi na global influence.

Tunaambiwa kilimo ndio backbone ya uchumi wa nchi hii, lakini tangu tumepata uhuru miaka 63 iliyopita ni 15% ya arable land ambayo ndio watanzania wanaitumia kwa kufanyia kilimo na hapo hapo Bado tuna import zaidi mazao ya chakula kuliko hata ya biashara.... Yaani tunaagiza Michele kutoka kwa vinchi kama Thailand? Na watu tunaowaita watunga sera hapa nchini wapo tu wanakula mishaara na posho????

Nchi ndogo kama Estonia Ina wawekezaji wengi kuliko Tanzania ilihali population yao haizidi hata 2m na rasilimali tumewazidi, mind you Hawa Estonia walikuwa kwenye USSR, Kuna mambo ukiwaza mpaka unajiuliza watunga sera wetu huwa wanawaza nini...

The fact that nchi hii haijawahi kuvurugwa na vita vya aina yoyote ile zaidi ya ile ya Kagera lakini mpaka leo hii zaidi ya 70% ya wanainchi wake hawana stable accessibility ya maji safi na salama majumbani mwao licha ya kuzungukwa na Maziwa pamoja na bahari ni Moja ya maajabu ya dunia...!! Yaani Kuna vitu ambavyo haviitaji kabisa kutumia nguvu Wala akili nyingi ni commitment tu basi, lakini sisi tumeshindwa.

Nchi za kiarabu(Middle Eastern countries)hazina wataalamu kulinganisha na nchi za magharibi, ila wao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kutumia rasilimali zao(Mafuta) kupunguza umasikini kulinganisha na sisi.

Na waarabu waliweza kufanya hilo kwa kuwa na sera thabiti tu basi, mtu anakuja kuchimba mafuta ila mnufaika mkubwa ni serikali, ambapo serikali inatumia fedha hizo kuboresha maisha ya jamii kwa ujumla(general wellbeing of the society) kwa maana ya kuhakikisha huduma zote muhimu zinapatikana kwa usahihi kabisa.

Njoo kwetu sisi hapa, ku utilize hizo rasilimali lukuki tulizonazo hatuwezi, sera zenyewe tulizonazo ni za kipuuzi na kinyoji na wanyonywaji ni sisi wenyewe... Pesa tunazopata kwenye rasilimali zetu ni kidogo sana na Bado hizo hizo kidogo zinaishia kwenye matumbo ya watu wachache, Sasa hapo kwanini tusiwe na idadi kubwa ya watwana?

Viongozi wetu wanachoweza kufanya ni kutunga ineffective policies pasipo kuangalia mustakabali mzima wa taifa hasa vizazi vya mbeleni, mathalani tu hizo sera zinawanufaisha wawekezaji na wao wenyewe binafsi baasi na ukihoji unatukanwa au kupotezwa kabisa.

Leo tunatamani kuwakabidhi Kila kitu wageni ndio watuendeshe kisa na mkasa eti sisi hatuwezi na tunaendekeza sana wizi na hivyo kupeleka ufanisi kukosekana..... Sasa kama tumeshindwa kuzuia huo wizi sisi kwa sisi ndio hao wageni watashindwa vipi kutuibia??? Kuna maswali huwa najiulizaga kuhusu mambo yanayoendelea kwenye hii awamu nnabaki kuuma meno tu.

Kuhusu kwamba eti sijui Kuna siku tutatoka kwenye huu ujinga tulionao sio leo Wala kesho kaka, hiyo kitu sahau.. sana sana tu tutazidi kudumbukia shimo zaidi hapa... Sasa hivi sio vijana Wala wazee wameamua kudadecate kwenye uchawa hili wale kirahisi na watawala kama hili lisen.ge tunalobishana nalo hapa
 
Tusipangiane nani wa kumunga mkono, ninawajibika na maoni yangu.
Kama ninavyo "wajibika na maoni yangu", au siyo!

Mkuu 'Stuxnet', naona hatuna la ziada la kujadili kati yetu tunaloweza kubadilishana maoni kwa manufaa ya taifa letu, Tanzania.
Tuyaache haya kabla hatujaanza kutumia lugha kama hiyo ninayo iona hapo juu kati yetu.
 
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Hapa kipara ndio akitaka kutumaliza apate fedha ya kuhonga kununua urais. Mama naona kashtukia. Wapigaji wasiyokua na uzalendo ndio wanatukwamisha kama nchi watu wetu kupata maendeleo. Badala yake wabinafsi hawa wanatafuta maendekeo yao binafsi.
 
Leo tunatamani kuwakabidhi Kila kitu wageni ndio watuendeshe kisa na mkasa eti sisi hatuwezi na tunaendekeza sana wizi na hivyo kupeleka ufanisi kukosekana..... Sasa kama tumeshindwa kuzuia huo wizi sisi kwa sisi ndio hao wageni watashindwa vipi kutuibia??? Kuna maswali huwa najiulizaga kuhusu mambo yanayoendelea kwenye hii awamu nnabaki kuuma meno tu.
Mkuu 'Muhimbu', nimesoma andiko lako lote ulilo weka hapo, na kujiridhisha kabisa kuwa mawazo yako na yangu hayatofautiani kabisa.
Nimeamua kunyanyua aya hiyo hapo juu, kwa sababu umeiweka vizuri sana kuhusu maamuzi ya hawa viongozi wetu.

Kama wanashindwa kufanya mipango ya kuhakikisha kuwa kazi zetu sisi wenyewe zinakuwa na ufanisi kwetu; je, watahakikisha vipi kuwa hao wanaokuja hapa ufanisi wa kazi zao utakuwa kwa manufaa kwetu na wao?

Ni wazi kabisa, kwa hali tuliyo waandalia hawa tunao wategemea watusaidie; sisi wenyewe hatukuandaa chochote kunufaika na ujio wao huo. Tunaendela kujiweka katika hali ya utegemezi milele.
 
Kuuma la bb yako mssenge wewe nenda katombbwe na machawa wenzio... Zee Zima linaishi kwa kujipendekeza pendekeza na kukumbatia maovu.

Unaleta upumbavuu wa kuzaliwa nao unafikiri mimi ntakulazia Damu pimbi wewe??

Kwanza inaoneka kabla ya hicho kibibi Cha kizanzibar hamjakirithisha huo uraisi ulikuwa na maisha magumu sana mtoto wa kahaba wa zamani wewe.
Nenda ukapumuliwe kisogoni na mabasha wako, hicho ndicho wakijua.
 
Mkuu 'Muhimbu', nimesoma andiko lako lote ulilo weka hapo, na kujiridhisha kabisa kuwa mawazo yako na yangu hayatofautiani kabisa.
Nimeamua kunyanyua aya hiyo hapo juu, kwa sababu umeiweka vizuri sana kuhusu maamuzi ya hawa viongozi wetu.

Kama wanashindwa kufanya mipango ya kuhakikisha kuwa kazi zetu sisi wenyewe zinakuwa na ufanisi kwetu; je, watahakikisha vipi kuwa hao wanaokuja hapa ufanisi wa kazi zao utakuwa kwa manufaa kwetu na wao?

Ni wazi kabisa, kwa hali tuliyo waandalia hawa tunao wategemea watusaidie; sisi wenyewe hatukuandaa chochote kunufaika na ujio wao huo. Tunaendela kujiweka katika hali ya utegemezi milele.
Ndugu hiyo haya ya pili niliyoibold hapo inafikirisha mno na inahitaji mjadala mpana sana ambao washirika wake sio Mimi na wewe tu, Bali mpaka mtoa maamuzi wa mwisho kabisa wa nchi hii hili atupe majibu ya maswali yanayozunguka vichwani mwetu.

Kutoka kwenye hiyo hiyo haya na Mimi nimepata maswali machache yafuatayo;

1.Kama sababu kuu ya ujio wa DP world ni Kutokuwepo kwa ufanisi pamoja na ubadhirifu usiozuilika, na vipi kwenye sekta zingine muhimu kama TRA na TANAPA ambazo tunazoziendesha sisi wenyewe kwa 100% je, nazo pia tuzitafutie wageni wa kuja kuziendesha? Maana ni dhairi matatizo yaliyoko bandarini ndio yako hata kwenye hizo sekta zingine.

2.Na tumejipanga vipi kupokea matokeo ya utendaji wao wa kazi endapo kama yakiwa tofauti na matarajio yetu? Yaani ikitokea final output yao ikawa chini au sawa na ya kwetu ni hatua gani hasa tutazichukua au ndio itabidi tuwe wavumilivu na kusikiliza sababu zao endapo kama Zina mashiko.

3.Wakati tunawakabidhi hao wageni watuendeshe sekta muhimu za kiuchumi kwa sababu tajwa hapo, je sisi wenyewe wenye Mali tuna mikakati gani ya kuzuia huo ubadhirifu na kuongeza ufanisi hili tusiwe dependent maisha yetu yote???

Hivi kwanza tunawezaje kuwasimamia wao wasituletee huo ubadhirifu au aina yoyote ya ujanja ilihali wao wenyewe wanatambua sababu Moja ya wao kuwakaribisha ni sisi kushindwa kuzuia huo ubadhirifu?? Yaani wewe umechoka kuibiwa na mtoto wako ndani, halafu unaamua eti kumkabidhi mtu Baki ndio aendeshe mji wako ukitegemea kwamba pengine yeye atakuwa mstaarabu na hatakufanyia wizi wa aina yoyote ile... Si uwemdowazimu huo?

Hakuna namna Samia anaweza akatuconvice kwamba yeye Hana maslahi binafsi kwenye maamuzi alivyofanya hasa kwenye hili la DP WORLD.
 
Nenda ukapumuliwe kisogoni na mabasha wako, hicho ndicho wakijua.
Wakati wenzako wanautumia ujana wao vizuri kujiandalia maisha yao ya baadae, wewe ulikuwa unamsaidia mama yako kufanya biashara ya ukahaba, yeye anatoumbwa na wanywa gongo wewe unafiriwa na wala urojo wenzio.

Sasa hivi umri umeenda huna lolote la maana Zaid ya mkund mpana tu hapo nyuma yako, umeona njia pekee ya kukufanya wewe uishi ni kuwa chawa na miaka yako 65 pumbavuu kabisa..... Si ajabu hapo ulipo eti wewe Kuna watu wanakuita baba na wengine Babu na wakati ni jinga limoja tu hivi.
 
Kuuma la bb yako mssenge wewe nenda katombbwe na machawa wenzio... Zee Zima linaishi kwa kujipendekeza pendekeza na kukumbatia maovu.

Unaleta upumbavuu wa kuzaliwa nao unafikiri mimi ntakulazia Damu pimbi wewe??

Kwanza inaoneka kabla ya hicho kibibi Cha kizanzibar hamjakirithisha huo uraisi ulikuwa na maisha magumu sana mtoto wa kahaba wa zamani wewe.
Nenda ukapumuliwe kisogoni na mabasha wako, hicho ndicho wakijua.
Wakati wenzako wanautumia ujana wao vizuri kujiandalia maisha yao ya baadae, wewe ulikuwa unamsaidia mama yako kufanya biashara ya ukahaba, yeye anatoumbwa na wanywa gongo wewe unafiriwa na wala urojo wenzio.

Sasa hivi umri umeenda huna lolote la maana Zaid ya mkund mpana tu hapo nyuma yako, umeona njia pekee ya kukufanya wewe uishi ni kuwa chawa na miaka yako 65 pumbavuu kabisa..... Si ajabu hapo ulipo eti wewe Kuna watu wanakuita baba na wengine Babu na wakati ni jinga limoja tu hivi.
Sasa hivi umri umeenda huna lolote la maana Zaid ya mkund mpana tu hapo nyuma yako, umeona njia pekee ya kukufanya wewe uishi ni kuwa chawa na pumbavuu kabisa..... Si ajabu hapo ulipo eti wewe Kuna watu wanakuita baba na wengine Babu na wakati ni jinga limoja tu hivi.
 
Tanzania bado haija-sini mkataba wa kujenga natural gas refinery ila uko mezani mpaka sahivi

Mwanasheria wa serikali alitaka mazungumzo zaidi juu ya mkataba kwa sababu kuna mambo bado kama serikali hajaridhika nayo

Wito ni huu tunaomba serikali isi-sini huo mkataba iangalie option nyingine billion 42 ni nyingi sana kwa mradi mmoja tu na kwa nchi maskini kama Tanzania

Mfano usd billion 42 unaweza tengeneza miradi ifuatayo na itakua na faida kubwa sana
  • Aluminium smelter
  • Copper smelter
  • Pig iron smelter
  • Glass smelter
  • Spinning
  • Paper pulp
  • Oil refinery
  • Petrochemical plant
Umelurupuka nani mjinga ataingia mkataba na serikali ya Tanzania wakati gas nyingi sio yetu tena😴
 
Mbona hawapigi kura ya kutokuwa na imani naye kama hawalitaki
Huyu bibi sijui kwanini haipendi Tanganyika,hivi kweli unaweza kuwakaba watumishi wafanye kazi za shida Bure bila malipo,just like that,flip flick all opportunity to Zanzibar,this is sad moment
 
Kama hatuko tayari tuache.

Tutafute hela, tujenge refinery plant ya mafuta pale Tanga.

Meli zinazokuja kuchukua crude pale Tanga, zije na crude kwa ajili ya refinery yetu pale Tanga.
Uganda na Total lazima lazima watulize boli, share yetu tunatop up hela wanatupa crude ( TUJIFUNZE UMAFIA WA BIASHARA - HIZI NDIO KAZI ZA TISS ebo).

Ukiwa na refinery, unajiunga na Brics, unanunua crude Russia au Iran, unaflood mafuta nchini kwenye mastorage kila mahala, unashusha bei ya mafuta Tanzania, unafungua milango kihuni Kwa smuggler ( kama hujui vile) wahuni border huko wanajaa TZ kuchukua mafuta ya bei rahisi, at the end EA wote wanaanza kununua mafuta TZ baada ya kuimport.

KUNA MBINU NYINGI SANA ZA KUBORESHA UCHUMI NA KUFANYA WANANCHI MATAJIRI UKIZINGATIA TANZANIA NI VERY POTENTIAIL MAENEO MEEENGI.
Tatizo ccm wamezoea kukaba bangi na ufisadi tuu,naomba chonde chonde tujifunze umafia wa KIUCHUMI ni wachache wanajua Mexican wanavyopambania maisha USA
 
Back
Top Bottom