Yesu alipaa...hakufa
Unaongelea viumbe gani?,kuna aina kuu mbili za viumbe (1)Viumbe hai sifa kuu ya viumbe hawa ni uwezo wa kufa na (2)viumbe visivyo hai,sifa kuu ya viumbe hawa ni kutokufa.kwiyo swali lako jibu lake la weza kuwa JIWE ambacho ni kiumbe ambacho hakikufi.
huyu huwa hafi atadunda tu mpaka siku ya kiama.
kama yule jamaa anayetangatanga ulimwenguni kwa kujificha kila akijaribu kujiuwa inashindikana kwa sasa ana umri wa miaka 2014 na miezi 9/
alimdhihaki nabii fulani akaambiwa hata kufa mpaka siku ya hukumu.
mwingine ni farao yeye mwili wake hautaharibika mpaka siku ya hukumu,mwili wake upo tangu enzi za musa.
KirusiWakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyeweWakuu,
Nina kahoja hapa, ni hivi kuna tetesi kuwa kuna kiumbe hapa duniani ambacho kinaishi milele pasipo kufa.
Je, ni kiumbe gani hicho?
Mnaokijua tuambieni
Kumbe hadi israel naye ataonja mauti?... nilikuwa sijui hilo...sisi kwa mafundisho ya kiislamu tunaamini viumbe vyote vitakufa ili mradi vimeumbwa na M/Mungu iwe milima mawe na binadamu hakuna kitakachobak.i siku ya mwisho litapigwa parapanda ambalo sauti yake tu jinsi ilivyo kali kama kuna kiumbe yeyote atabakia kwa ukali wa sauti hiyo kitatoka uhai kwa mshutuko na baada ya hapo M/Mungu atamtuma israel atafute dunia nzima kama kuna yeyote aliebaki israel atatafuta asione kiumbe yeyote M/Mungu atamtuma zaidi ya mara moja atafute na asione chochote na mwisho atagundua hakuna aliebaki isipokuwa yeye israel na M/Mungu ndipo M/Mungu atamuuliza israel hukumbuki ile kauli yangu ''kila nafsi itaonja mauti'' na atamuamlisha israel ajitoe roho mwenyewe naye atajitoa roho huku akiumia kwa maumivu na baada ya hapo atabakia mwenyewe M/Mungu mmoja tu dunia siku yasemakana itakuwa flat hakuna milima hakuna chochote. na atajitapa kwani M/Mungu ndiye anayestahiki kujisifu na atasema MIMI NDIYE MFALME WAKO WAPI HAO WAFALME WA ULIMWENGU,kwa hiyo atakaebaki ni Mungu tu na amehahidi hivyo Mungu mweneyewe
Alionja umauti..Yesu alipaa...hakufa
Kama Yesu alionja umauti hakufa,basi na binadamu nao wanaonja tu, hawafi...maana tendo lililofanywa na Yesu, ndilo hilo wanalifanya binaadamAlionja umauti..
Nyau. Yesu alikufa akafufuka. Nasi pia tutakufa na tutafufuka. Tofauti yetu na yake ni kwamba; yeye alionja mauti ndani ya muda mchache (siku 3) akarudishiwa uhai. Hii ni kwa mujibu wa Biblia kwa wale wanaoamini!
Therefore, Kila nafsi itaonja Mauti!