Ni Kosa gani la ovyo ulilowahi kufanya tangu uanze kuendesha gari?

Ni Kosa gani la ovyo ulilowahi kufanya tangu uanze kuendesha gari?

Daaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat.

Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu.

Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe.

Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
 
Daaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Duh kamanda Mungu ashukuriwe, ungekuwa marehemu ... Acha kabisa
 
Me mwaka 2020 hapo nipo na gari jipya (kwangu jipya), sasa nikaona ngoja nilionje maana speed 260 wapi hapa Dar nitaitest, nikaenda Tanga kupitia Bagamoyo.

Baada ya siku mbili nikarudi. Sasa njiani nikasema ngoja nijaribu kupiga kibati hadi mwisho. Mvua ilikua imetoka kunyesha barabara ina madimbwi dimbwi ya maji.

Nikatafuta mahali njia imenyooka. Bwana nikakoleza kibati hadi 200 hivi. Kwa bahati mbaya nikapishana na Roli kubwa sasa ile likarusha maji yakajaa kwenye kioo cha mbele.

Ile kupanic nikataka kuwasha wiper zipunguze maji, sasa hapo nimetoka kutumia gari la Toyota nimehamia Mjerumani, aisee Toyota wipers zipo kushoto hafu taa kulia, mjerumani kinyume chake, dah aisee nilipanic sioni kitu mbele hafu nipo kibati mbaya.

Nashukuru Mungu njia ilikua imenyooka na haina magari zaidi ya ilo roli tuliopishana. Ilipokuja kukubali wipers nilirudisha speed maximum 80 aisee.
 
Daaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Nimeogopa aisee...dah
..Mungu yupo jaman
 
Pale studio kinondoni nikaunga kumbe taa zimeruhusu magari yanayonyoosha likiwemo mwendokasi. Pale kwenye ile njia ya kwenda mwananyamala.

Nilikanyaga mafuta sana sasa kumbe bodaboda kachomoka. Alijibamiza kwenye gari akaenda chini na mimi nikaunganisha spidi. Ilinitoka hela ya maana kurekebisha mlango uliopondwa.
 
Daaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Ungefia hapo
 
Pale studio kinondoni nikaunga kumbe taa zimeruhusu magari yanayonyoosha likiwemo mwendokasi. Pale kwenye ile njia ya kwenda mwananyamala.

Nilikanyaga mafuta sana sasa kumbe bodaboda kachomoka. Alijibamiza kwenye gari akaenda chini na mimi nikaunganisha spidi. Ilinitoka hela ya maana kurekebisha mlango uliopondwa.
Boda alikufa ?
 
Kulazimisha vuka maji 2016 pale njia ya Bagamoyo road/Goba (Massana) kilichonikuta ni gari kubebwa....

Kulazimisha overtake semi, si akaleta body zima zima ikabidi nijisalimishe kwenye daraja, boot ya Brevis ikaliwa 2016, Dar Same usiku wa saa 3
 
Nilikua kijijini huko maporini nafukuza mishe zangu niko na hardtop. Sasa nimetoka centre fulani. Nimeanza kuzipanga gia chuma imeiva. Mbele nisikute kidaraja uchwara kimevunjika na sikusoma tahadhari ile kuhama ni mazima. Na mbavu za mbwa ukilala vibaya inakukataa

Nilifakamia matuta ya viazi, ni kuruka kushushwa hadi chuma ikapoa kwanza.
 
Nilikua kijijini huko maporini nafukuza mishe zangu niko hardtop. Sasa nimetoka centre fulani. Nimeanza kuzipanga gia chuma imeiva. Mbele nisikute kidaraja uchwara kimevunjika na sikusoma tahadhari. Na mbavu za mbwa ukilala vibaya inakukataa

Nikifakamia matuta ya viazi, ni kuruka kushushwa hadi chuma ikapoa kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ebana mm siku moja nikiwa fuel station si nikakosea njia ya kutokea bana , nika pita katikati ya zile pipe /mashine zile za kiwekea mafuta ...ebana eh kitu kikachubuka chubuka japo body haiku bonyea bonyea ....
Ku over take kwenye mteremko barabara ya vumbi.
Kokoto zilinivuta pembeni nolishtukia niko porini.
 

Namfukuza Ranger.. Ameshaingia kwenye radar yangu.. Kumbe kuna Lorry mbili kati.. Nikahisi ninaweza kuzimaliza.. Aisee Lorry la kwanza limeisha naona TD42 Civilian inapanda.. Breki nimeshachelewa nitagusa Lorry.. Ikabidi nidownshift gear niingie pembeni..!uzembe..
MUNGU ni mwema..!
 
Back
Top Bottom