luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
Duh kamanda Mungu ashukuriwe, ungekuwa marehemu ... Acha kabisaDaaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Hukuachia stering kusubiri kifo chako kweliDaaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat...
Nimeogopa aisee...dahDaaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Bora wanalo hata hilo mkuuMuwe mnataja na aina ya gari..mana utakuta mwenye ki baby Walker naye anajitutumua.
#MaendeleoHayanaChama
Ungefia hapoDaaaah acha kabisa kuna siku nimetoka dar saa 12 jion kuja mwanza niko peke yangu kwenye gari, basi nikafika moro nikaona isiwe shida acha nitafte abiria, bahati nzuri nikapata wa mwanza na shy gari ikakaa level seat. Mida ya saa tisa usiku nlikuwa singida sehem reli inapishana na barabara, and kabla ya hapo huwa kuna kona ya mushoto sasa nlikuwa nimetanguliza semi nikaona inanichelewesha, usiku nikitaka kuovertake kwenye zero visibility huwa naangalia taa za gari inayokuja mbele yangu nikiona kimya huwa nachomoa tu. Bwana eeeeh ila nimetokeza tu hivi nipo ubavuni mwa semi katikati gjafla naona semitrail ingine inapandisha ipo speed, jamaa ilibidi tu awe mstaarabu akaitoa nje ila nlikuwa nishakubali yaishe. Abiria wangu hakuna alojua kitu walikuwa wamelala wote
Boda alikufa ?Pale studio kinondoni nikaunga kumbe taa zimeruhusu magari yanayonyoosha likiwemo mwendokasi. Pale kwenye ile njia ya kwenda mwananyamala.
Nilikanyaga mafuta sana sasa kumbe bodaboda kachomoka. Alijibamiza kwenye gari akaenda chini na mimi nikaunganisha spidi. Ilinitoka hela ya maana kurekebisha mlango uliopondwa.
Mimi niliunga kama naenda mwananyamala ile barabara ya mwinjuma. Hata sijui hatma yake japo siku kadhaa niliulizia pale hakuna anayekumbuka hilo tukio so nadhani hakufa.Boda alikufa ?
[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikua kijijini huko maporini nafukuza mishe zangu niko hardtop. Sasa nimetoka centre fulani. Nimeanza kuzipanga gia chuma imeiva. Mbele nisikute kidaraja uchwara kimevunjika na sikusoma tahadhari. Na mbavu za mbwa ukilala vibaya inakukataa
Nikifakamia matuta ya viazi, ni kuruka kushushwa hadi chuma ikapoa kwanza.
Ku over take kwenye mteremko barabara ya vumbi.Ebana mm siku moja nikiwa fuel station si nikakosea njia ya kutokea bana , nika pita katikati ya zile pipe /mashine zile za kiwekea mafuta ...ebana eh kitu kikachubuka chubuka japo body haiku bonyea bonyea ....