Inaitwa range hood au kitchen hood au vent hood.Kwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa range hood au kitchen hood au vent hood.Kwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
Kwanin hawaweki?Inaitwa range hood au kitchen hood au vent hood.
Ushamba (kutojua) na fedhaKwanin hawaweki?
Ushamba (kutojua) na fedha
Unajua kuna watu hapa Tz wanashika pesa lakini sio wajanja yaani hawajui vitu modern
Sahihi kabisaUnakuta bonge la nyumba lakin haijaweka hiyo kitu
Kujenga chumba cha wageni jilani n'a changu sikujua kama ntakosa hela ya singboard
Sahihi kabisa
Au unakuta bonge la jumba lakini chumba cha baba tu ndio master bedroom. Vingine wanashare public toilet
Nimekuelewa sana mkuu hii hali imenikuta piaTunajenga hizi nyumba ila mtu unatamani ubakie pekee yako saa zingine ili ufurahie uzuri wa nyumba yako.
🤣🤣🤣 pesa za mshindo hizo akidelay zinakata kabla ujenzi haujaisha lazima akimbizane na mudaKujenga bila kupumzka.. nyumba inakua na mapungufu mengi sana
Nadhani niKwanin hawaweki?
Jf kila mtu ana gorofa. Acha niingie zangu sabasaba nikahemee nirudi zangu chinangali.Tofauti Elfu 11700 ni uwanja wa mpira wa miguu ulikuwa unajenga?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kujenga chumba cha wageni jilani n'a changu sikujua kama ntakosa hela ya singboard
Bwana anitie nguvuHuhu hupigi mizagamuano kwa raha
Fungulia booferBwana anitie nguvu
Mkuu mm ni mkulya nikiliamsha sabufa inaweza lalamika inapigiwa keleleFungulia boofer
Kujenga chumba cha wageni jilani n'a changu sikujua kama ntakosa hela ya singboard