Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

Nimegundua watu wengi wanajenga ili wasifiwe na walala hoi bila kujali hasa mtu anahitaji nini hasa!,nasema ni ushamba na ulimbukeni ndio unasumbua raia wengi!
Jenga nyumba ndogo nzuri mambo ya kujenga sqm 200 tuwaachie serikali wajenge shule sio nyumba za kuishi
Tatizo lako una wivu...we endelea kukaa kwenye kiota chako bana

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Bora umenisaidia kusema. Yaani watanzania wananishangaza sana when it comes to Interior design.

Ni mwendo wa kujaza Ma-gypsum yenye konakona na Mataa taa ya rangi rangi. And they do the same thing kwenye panel ya tv (showcase)... Na wao ndio wanaona wamepatia yani!!!

Sebule/nyumba inakuwa "very busy" unnecessarily....
Waende hapo Upanga kwenye zile flats waone interior ilivyo
 
Open kitchen kwa wabongo haifai, uchafu mwingi sana. Unaweza jaza moshi na harufu za samaki nyumba nzima

Kwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
 
Bora umenisaidia kusema. Yaani watanzania wananishangaza sana when it comes to Interior design.

Ni mwendo wa kujaza Ma-gypsum yenye konakona na Mataa taa ya rangi rangi. And they do the same thing kwenye panel ya tv (showcase)... Na wao ndio wanaona wamepatia yani!!!

Sebule/nyumba inakuwa "very busy" unnecessarily....
Kila mtu na design yake
 
Aisee mimi sijui, ila fundi aliniambia tulisahau wiring ya solar, sasa alichomaanisha ni nini hapo?
Labda huyo fundi alimaanisha utatumia vifaa vya DC ukiwa unatumia solar mfano taa, tv na vingine.
Lakini unaweza kubadili DC kwenda AC na ukatumia vifaa vyako vyote kama una umeme wa TANESCO. Kujenga wiring mbili ni kuongeza gharama zisizo za lazima
 
Back
Top Bottom