witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Mapungufu yapi mkuu?...nitajie yale ya haraka harakaKujenga bila kupumzka.. nyumba inakua na mapungufu mengi sana
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapungufu yapi mkuu?...nitajie yale ya haraka harakaKujenga bila kupumzka.. nyumba inakua na mapungufu mengi sana
Tatizo lako una wivu...we endelea kukaa kwenye kiota chako banaNimegundua watu wengi wanajenga ili wasifiwe na walala hoi bila kujali hasa mtu anahitaji nini hasa!,nasema ni ushamba na ulimbukeni ndio unasumbua raia wengi!
Jenga nyumba ndogo nzuri mambo ya kujenga sqm 200 tuwaachie serikali wajenge shule sio nyumba za kuishi
Analazimisha kila mtu akae kwenye kiotaWewe ndo mshamba kwa kuona uchaguzi wa wenzako wa kishamba wako ndo bora zaidi.
Wewe kama unapenda ndogo ni wewe. Waache wanaopenda kubwa wafanye wakipendacho.
Waende hapo Upanga kwenye zile flats waone interior ilivyoBora umenisaidia kusema. Yaani watanzania wananishangaza sana when it comes to Interior design.
Ni mwendo wa kujaza Ma-gypsum yenye konakona na Mataa taa ya rangi rangi. And they do the same thing kwenye panel ya tv (showcase)... Na wao ndio wanaona wamepatia yani!!!
Sebule/nyumba inakuwa "very busy" unnecessarily....
Open kitchen kwa wabongo haifai, uchafu mwingi sana. Unaweza jaza moshi na harufu za samaki nyumba nzima
Hata ukiiweka bado vyakula vyetu vinakuwa haviandaliwi vizuri hivyo harufu nyingi sana.Kwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
Pia wanawake wa tz wengi wachafuKwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
Kila mtu na design yakeBora umenisaidia kusema. Yaani watanzania wananishangaza sana when it comes to Interior design.
Ni mwendo wa kujaza Ma-gypsum yenye konakona na Mataa taa ya rangi rangi. And they do the same thing kwenye panel ya tv (showcase)... Na wao ndio wanaona wamepatia yani!!!
Sebule/nyumba inakuwa "very busy" unnecessarily....
Hata ukiiweka bado vyakula vyetu vinakuwa haviandaliwi vizuri hivyo harufu nyingi sana.
Watz mafuta twayatumia hadi yawe meusi
Pia wanawake wa tz wengi wachafu
Wachache mno ambao hata mi nawazidiHuhuuu jamen tupo wasafi
Ukitaka jua Watz wachafu angalia freezer na fridge zaoNi kweli
Ndio maana nyumba za wabongo hazipendezi kwa sababu ya hiyo mentality ya "kila mtu na design yake".Kila mtu na design yake
hii ni mbaya sana nyumba sii yako hapoKujenga kwenye kiwanja nilichonunua kwa jina la mwanamke
ChimneyKwa sababu majiko yetu hawaweki ile ya kutolea mosh sijui inaitwaje
Hakuna haja ya kuwa na wiring system mbili. Unatakiwa kuwa na ChangerOver Switch ambayo utaweza kubadili mfumo wa umeme kutoka wa TANESCO kwenda Sola au Genereta na Viseversa.Kutoweka wiring system ya solar! Mnaojenga saivi hili nalo mlitizame..
Labda huyo fundi alimaanisha utatumia vifaa vya DC ukiwa unatumia solar mfano taa, tv na vingine.Aisee mimi sijui, ila fundi aliniambia tulisahau wiring ya solar, sasa alichomaanisha ni nini hapo?
Kulitokea nn Mkuu, tupatie shule...Kujenga kwenye kiwanja nilichonunua kwa jina la mwanamke
Watakuua Kwa presha ya Kodi.Mkuu hakijaribika kitu watoto wakihama napangisha mabinti wazuri wapate kunifanyia masaji