Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

🤣🤣
 
Kuna ndugu yangu alikuwa anajenga kwa simu.. Kila akiambiwa tuma hela anatumaaa ilaa anaandika.. nyumba ya vyumba viwili na sebule kuja kupiga tu idadiya tofali alizonunua ni 5000 sasa picha la cement na mabati ndo utaliaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa waswahili wenzangu wakiona umeandika nyumba ya billion moja wanaogopa. wengi watasema hii ni chai. YET KIUHALISIA kwa mtu anayekaa Europe au North America, hiyo ni pesa inayofikika kabisa kiutafutaji. Hapa bongo hizo nyumba zipo nyingi tuu ila zinajengwa na watu ambao (wengi wao) ni wezi wa pesa za serikali.

Bottomline, watanzania wengi tumejifungia sana. Hata ukienda hapo Nairobi au Cape Town, utajifunza mengi.
 
nishapambana vya kutosha na naamini sijapigwa sana kwenye ujenzi....sasa niko kwenye hatua ya kuweka tiles, wajuzi naomba kujua tiles gani ni bora kwa livingi room, dining room, na bed room, ikiwapendeza chooni pia na zile za jikoni....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…