Moronight walker
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 3,103
- 4,704
Jamani mama edinaUsije ukatumia pesa yooote kwenye ujenzi ukakaa usubiri muijiza.
Kwa mfano una 2mil unataka uingiize kwenye ujenzi. Tumia 1.5 tu 500k iweke pembeni.
Au una 20 Mil. Weka 15mil kwenye jengo 5mil iweke pembeni. Utanielewa baadae