Idadi ya watu inaongezeka, shughuli za kiuchumi, mahitaji ya huduma, nguvu kazi, uvunaji wa maliasili na hata wageni vivyo hivyo.Afya
Vituo vya Afya 354
Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450
Mapato 1.5 T Kwa mwezi
Samia 2.2 T Kwa mwezi
Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.
Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.
Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Kwanza kabisa neno "hovyo" sio tusi wala nini....Ni neno linalotumika kueleza jambo au mtu ambaye hafanyi sawaSikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.
1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024
2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.
3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.
4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.
5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.
6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi
7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.
CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda.
Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku .
Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Shughuli za kiuchumi zinaongezeka kutokana na mazingira Bora ya biashara.Idadi ya watu inaongezeka, shughuli za kiuchumi, mahitaji ya huduma, nguvu kazi, uvunaji wa maliasili na hata wageni vivyo hivyo.
Mapato huongezeka sambamba na muda tangu zamani.
Alifanya kiasi tofauti na sifa mnazompa.Kumbe Magu hakufanya lolote? Huo ndio uelewa wako mkuu!!! Kazi kweli kweli!!
Hakuna binadamu wanaolingana,umetumia falsafa gani hadi kusubutu kusema sote ni sawa????π£Binadamu wote ni sawaππ½
Jibu hoja wewe,kama Dola zimeadimika ,madukani hakuna bidhaa au wewe umekosa bidhaa au Huduma gani Kwa sababu hakuna Dola?Arguments zako ni za kichawa chawa too much. Bidhaa kuwepo dukani kwa bei isiyoshikika ndiyo mafanikio ya kujivunia?
Barabara za kijiji kipi jamaaa?Alifanya kiasi tofauti na sifa mnazompa.
Pia mnaposema Samia hajafanya lolote wakati amefanya kuzidi Mwendazake mnakuwa na maana gani?
Hapo Juu nimetoa mifano michache sana lakini Kila sekta Samia amefanya kumzidi Mwendazake zikiwemo Barabara za Vijijini.
Acheni uzushi,ujinga,fitina na chuki kisa Mzanzibari
Vyuo vikuu vinakusaidia nini kama hata hai wasomi wanap maliza wanafanana na akinananiliii tu.Jibu hoja wewe ,kama Dola zimeadimika ,madukani hakuna bidhaa au wewe umekosa bidhaa au Huduma gani Kwa sababu hakuna Dola?
Mwisho unajua kwamba Samia anajenga Vyuo Vikuu au katawi ya Vyuo Vikuu Mikoa yote ya Tanzania?
Je unajua kwmba Samia amejenga Vyuo vya Veta Wilaya zote za Tanzania?
Hizo ni rekodi hakuna Rais aliwahi fikia except Samia.
Na lazima mtoto wangu mmjawapo nimpe jina la Samia Kwa heshima ya kazi kubwa ya kuifungua Nchi aliyofanya ambayo Mwendazake na ujamaa wake aliharibu.
Rudia kusoma na kama wewe ndio unategemewa kuja kujadili hoja na Mimi basi waambieni waliokutuma kwmaba mmefeliKwa mfano inflation imetokea kwa sababu sera za Exportations hazi favor exportation,Kama taifa tunafanya zaidi importation, hivyo wanauchumi kwa kuangalia trend , wanaona wazi by 2025 tutakuwa na hali ya Zimbabwe ya mugabe
Wewe endelea kutembea na vipicha vyako visivyokuwa na impact yoyote kwa taifa
Usisahau pia kuwa Magufuli alikuwa-Sikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.
1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024
2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.
3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.
4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.
5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.
6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi
7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.
CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda.
Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku .
Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Shujaa alikuwa mwiz wa kuraSikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.
1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024
2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.
3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.
4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.
5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.
6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi
7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.
CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda.
Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku .
Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Hoja yangu siyo ulinganifu wa Samia na Magufuli, ni matumizi ya akili ya kawaida kujadili mambo.Shughuli za kiuchumi zinaongezeka kutokana na mazingira Bora ya biashara.
Kwani awamu ya 5 idadi ya watu ilikuwa haiongezeki Hadi Ikahiraji miaka 5 Kuzalisha Bilioni 700 vs miaka 3 ya Samia?
Na Kwa taarifa Yako tuu mwaka 2025 ,makusanyo yatakuwa 2.5T Kwa mwezi yaani Samia atakuwa ameongeza Trilioni 1 Kwa miaka 4?5 tuu.
Mwisho acheni kulinganisha Samia na mkome kabisa.
Vyuo vikuu vinakusaidia nini kama hata hai wasomi wanap maliza wanafanana na akinananiliii tu.
Sisi tunataka Maendeleo au mageozi ya kimtaala ili tulipuke kama China mambo yawe bam bam.
Acha kukasirika kuna mengi unatakiwa ujifunze kutoka kwa Magufuli fans so chukua kiti ukae kitako nikupe facto.
Kwa hiyo hapo ndio umeongea nini? Mada inasemaje? Mbona unahamisha magoli?Hoja yangu siyo ulinganifu wa Samia na Magufuli, ni matumizi ya akili ya kawaida kujadili mambo.
Kwa mtu mwenye akili nzuri, anaweka mbele jamii yake na taifa kwa ujumla katika kujadili haya.
Nchi na watu wake vilikuwepo, vipo na vitaendelea kuwepo hata kama Magufuli na Samia wasingekuwepo.
Hizi ndizo fikra tunazohitaji watu wetu wawe nazo na warithishe vizazi vijavyo.
Lazima wananchi wajue kwamba wana uwezo wa kujipanga na kufanya Mambo kurekebishana hali zao badala ya kulalamika na kutegemea mtu mmoja au kikundi kidogo (fikra za kitumwa).
Baba yenu mdogo? π€£π€£π€£π€£Barabara za kijiji kipi jamaaa?
Acheni kumfananisha Baba yetu mdogo wa taifa la Tanzania na raisi Samia.
Haifiki hata nusu page, unless iandikwe na lucas mshamba!.Mwenye Cv ya samia please
No more comments, these are fact. Halafu kuna mtu utasikia umetumwa kumchafua. Ningependa hoja zijikite kunarrate kwa nini hoja zako sio sahihi kama ni suala la kukataa hojaSikuwahi kukubali baadhi ya matukio chini ya utawala wa Hayati Magufuli, lakini kwa pamoja tukubali Magufuli had what it takes to be the president of URT, alikuwa na sera thabiti za kiuchumi na alikuwa MZALENDO wa kweli as compared to Samia.
Samia aliingia kwa mbwembwe na vigelegele pamoja na kundi lake kuonesha utawala wa Hayati Magufuli ulikuwa mmbovu, miaka 2.5 tu Samia has proven failures kwenye strategies za kustabilize uchumi, pumzi imeshakata na ameingia kwenye complicate life za kupiga na kuondoka.
1. Samia alikuta Petrol kwa lita ni 1880 , kwa sasa Lita moja ni 3300 na trends inaonesha itapiga hadi 4000 by December 2024
2. Samia alikuta dollar ni sawa na 2100 to 2200, kwa sasa dola moja ni 2800 for purchasing , na availability yake ni ngumu sana. Kama hujatumia njia za panya basi hupati, risk ya kuuziwa dola fake ni more than 50% kwenye njia za panya.
3. Samia anakopa kuliko utawala wowote kuwahi kutokea, Kama fedha hizo zingekuwa na usimamizi sahihi na matumizi sahihi basi tayari tungekuwa ni South ya pili ; chini ya Samia TRA inavuka target ya makusanyo, chini ya Samia mikopo ni mingi na chini ya Samia Miradi yote imestuck. Barabara ya Mbagala, Airport na magomeni kote zilianza two years ago , just few kilometers, mpaka sasa ni blah bhah huku nchi inaingia kwenye madeni makubwa . SGR ndio another scam under Samia leadership, mmesikia tumekopa Exim ya china for the project, and verily , that is not going to work.
4. Vyeti fake na watumishi hewa pamoja na mishahara hewa ni another scandal under samia leadership, badala ya kupungua, hawajamaa wamerudi than ever before.
5. Under Samia, Resources za nchi zinapewa wageni bila ya kujali masilahi mapana ya Taifa, tuna appreciate uwekezaji lakini uwekezaji unapaswa kuwa ni kwa maslahi mapana ya raia na sio maslahi binafsi; kama uwekezaji upo clear, hatuhitaji promo na ushawishi, ukiona promo ujue huo ni WIZI mwingine, and for sure mikataba yote aliyosaini Samia akija Rais Mzalendo, ataivunja mikataba yote hata kwa kuvunja Sheria, and that is another loss for the country. Tutakwenda mbele na kurudi nyuma, kuna haja ya kushitaki hawa marais kwa kutia taifa hasara.
6 . Ishu ya Umeme bado ni tatizo, under Samia umeme umekuwa ni wa ma Shaka na anytime unakatika. Japo tunaambiwa umeme upo wa kutosha, kama umeme ni wa kutosha why ukatike mara kwa mara. All of sudden shida ya umeme ni baada ya Samia kupewa nchi
7. Under Samia, gharama za vyakula vipo juu kuliko miaka yoyote, huduma za Afya zimedorota. NHIF imekosa tija kwenye taifa.
CCM mpo huru kumsimamisha Mama yetu 2025, lakini muelewe kwa miaka 2 tumefika hapa, for the next 5 years tunakwenda kuwa Zimbabwe ya Mugabe ni suala la muda.
Chawa wote, kama mnaamini tunaponda tu au tunaandika kwa chuki, ni suala la muda, mtakula sasa hivi lakini generation yenu itakuwa kwenye shida kama watanzania wengine. Uzuri na nyie mpo kwenye nyumba inayoharibiwa siku hadi siku .
Wapinzani kazi kwenu, ni kipindi kizuri cha kuitikisa CCM na kuunda Serikali ya Mseto pamoja na kuitoa madarakani
Sijaandika ili kubishana. Watu wengi hutumia akili zao na muda wao vibaya wakielekeza lawama nyingi au nyimbo za sifa kwa Rais badala ya kuongeza tija kwenye uzalishaji ili jamii na taifa lipate maendeleo.Kwa hiyo hapo ndio umeongea nini? Mada inasemaje? Mbona unahamisha magoli?
Kuweka maslahi ya Nchi mbele si ndio kazi ya Rais au? Kwani wewe unaona maslahi ya nani Yako mbele?ππ
View: https://www.instagram.com/reel/C8AVx4LI3j7/?igsh=MTgzZWl3NDgwMTdkeA==
Toa reliable sources kwani hizi takwimu zako hazimake sense.Hivi kuna kiongozi yeyote hapa tangia walioanza na watakaoanza anaweza kuzidi performance ya ujenzi wa vituo vya afya, hospitalai za wilaya na mikoa na rufaa. Huyu bwana alifunga kazi. Ila inategemea unamaanisha nini. Angalau mimi niko upande huu na nilikuwa sehemu ya kuona mafanikio yake na ya mama yetu.Afya
Vituo vya Afya 354
Samia Vituo vya Afya zaidi ya 450
Mapato 1.5 T Kwa mwezi
Samia 2.2 T Kwa mwezi
Samia maelfu ya Ajira Kila mwaka,yule mwingine alishindwa kabisa.
Kama tuu Mapato yameongezeka kiasi Hivyo nani automatic Kila sekta utoaji Huduma umeongezeka kuanzia maji Hadi NIDA ilivyokuwa imeshindikana.
Huyo mtu wako zaidi ya kufoka hakuna jipya lolote kwenye uchumi.
Taja Uliko ambako unasema hujaona mafanikio Mimi nikuoneshe.Toa reliable sources kwani hizi takwimu zako hazimake sense.Hivi kuna kiongozi yeyote hapa tangia walioanza na watakaoanza anaweza kuzidi performance ya ujenzi wa vituo vya afya, hospitalai za wilaya na mikoa na rufaa. Huyu bwana alifunga kazi. Ila inategemea unamaanisha nini. Angalau mimi niko upande huu na nilikuwa sehemu ya kuona mafanikio yake na ya mama yetu.