Ni kosa kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli

Dodoma imejengwa na Magufuli ndugu
 
We ni chawa
 
Mi nadhani muwe mnafunika tu ukweli ni kwamba mama anayo yafanya ni kumalizia tu ya yale ambayo aliyaacha Baba na kama ameongeza ni kuongeza gharama za maisha na kuondoa usimamizi dhabiti zidi ya wafanyakazi hewa .
Mfano unasema eti kaongeza vitanda vya wagonjwa mahututi ,hivi unaakiri kweli unamsifu anayeongeza urembo wa nyumba na unaacha kumsifu aliye ijenga unaakili kweli wewe au unashikiwa ????
💥Eti kajenga barabara !!!!
Unatakiwa useme" anajenga "maana hata moja aliyoianza hajaimaliza .Ila kipindi cha Babà yangu wa Africa yeye alianzisha na kaliza na hata alizoziacha Mh.Kikwete ákazimalizia .
💥 pia unatakwimu za urudishwaji wa fedha zilizoazimwa Serikalini ukoje????
Kwa sasa umeshukwa kwa angharabu ya 3 to 5 lBl
Kama huaminig sema kitu nikiongezee
 
Wekeni electronic polling tupige popote
hawatathubutu hapa. Mama samia alipata kura 3 mpaka mwinyi vijana wa 2003 wakampgia kura wakati hawakuwahi hata kujua utawala wake. KUIONDOA CCM KWA SANDUKU LA KURA NI KAMA KUMSUKUMA MLEVI TATIZO NI WIZI WALIONAO.
 
N
Hivi vyoote bado vipo kwa makaratasi ya maccm
 
HAKUNA KOSA WOTE NI WALE WALE UKITAKA WAWE TOFAUTI SAMIA ARUHUSU MCHAKATO WA KATIBA MPYA
 
Unaongea.n na msomi na sio mbumbumbu mshmba wewe,.
Sikiliza nikwambie jambo la kubadili mtaala ndo laumhimu sana kuliko kuamini kwamba hiii elimu inatufaa mimi nimeisoma nimeiona inavyonizibia riziki
 
Hata namba awamu ya mamaenu samia hamna mpo mpo tu
Weka namba wewe msukule wa Mwendazake,unaogopa nini?

Moja ya sekta ambayo ilijifia awamu ya yule mtu asiyejua Uchumi ilikuwa ni sekta ya nyumba na Ardhi(real estates).

Posta majengo yalikuwa magogu,miradi ya Majumba ilisimama na mingine Kufa kama Kawe na Dege nk.

Ila mama amefungua upya na Sasa ni booming business 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C4ktYpktkEU/?igsh=MXMxd3lzZjQyZnRlcQ==
My Take: Samia sio level za wale mbumbumbu wenu.
 
Samia ndiye aliyejilinganisha na Magufuli, kamfungulie kesi.
 
Chawa wenye uwezo mdogo wa kuchambua mambo kama wewe mnamwangusha sana Rais Samia. Nimekuuliza unipe logic ya kuwa na bidhaa madukani ambazo bei haikamatiki, wewe unadandia kuniambia Samia anajenga veta kila wilaya. Bei za bidhaa na veta wapi na wapi ?!?
 
Kill one thousand to fear hii ndo italeta maendeleo ya jamii na taifa maana makubaliano yashapitwa na wakati maana sioni maendeleo kabisa kwa makubaliano
 
Sadly , hujawahi kuwa na Akili. Baki hivo hivo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…