Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
Kinyaa kuwa na msambwanda au kinyaa kuwa kubwa jinga?.Ugonjwa wa akili ni janga. Hasa kwenu wenye misambwanda ndo kabisa! Nimesikia hadi kinyaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinyaa kuwa na msambwanda au kinyaa kuwa kubwa jinga?.Ugonjwa wa akili ni janga. Hasa kwenu wenye misambwanda ndo kabisa! Nimesikia hadi kinyaa.
Wapo hao, na wengi ni pisi kwelikweli kwa bedi marks 100 ila kichwani ni sifuri.
Ni wazuri kama umeshajimake, ni wazuri kukutengenezea furaha hata za mchongo ila kama bado unajitafuta utapiga uue maana hutawezana nae.
😬😬😬😬ila kama bado unajitafuta utapiga uue maana hutawezana nae
Story familiar youtu.be😬😬😬😬
Money Penny, 🤝🤝🤝Story familiar youtu.be
tiGo ni mk*****************Tigo ndio nini
Ana line ya voda
🤣🤣🤣🤣 khaaaa!!priorities za wanawake kwenye mahusiano zinachekesha sana, na hapo mdada anaweza kumuacha au kumkataa mwanaume mwenye malengo akachagua hilo kubwa jinga stering la kitandani
Part B imeshuka
AiseeUnamfanya kua mchepuko!
Formula ni Moja: Oa mwenye akili afu unapiga miti hawa wa mtaani
KirutiGo ni mk*****************
SijuiKWANI UNATOMBANA NA AKILI?
Iko wapi, endeleza kwenye uzi huu huuPart B imeshuka
Kenge wewe kila Uzi unajiliza Liza tu kama pisi kali.mkuu hadi nimelia aisee umenikumbusha mbali[emoji24][emoji24]
Hivi ushawahi kuwa na mpenzi kubwa jinga akili haimo kichwani?
Lakini kitandani yuko vizuri balaa?
Niambie uliendelea nae kimahusiano au ulimbwaga?
ni huzuni mkuu kwanini nisilieKenge wewe kila Uzi unajiliza Liza tu kama pisi kali.
KinyeoTigo ndio nini
Ana line ya voda