Ni kwa namna gani Raia anaweza kutumia Ndege ya Kijeshi kwa Shughuli binafsi ?

Ni kwa namna gani Raia anaweza kutumia Ndege ya Kijeshi kwa Shughuli binafsi ?

yaan speaker ambae pia anaweza kuwa Rais au kukaimu urais ikiwa Rais hayupo nchini unahoji kutumia dege la Jeshi?

au hukusoma uraia,ikiwa Rais hayupo nani na nani wanaweza kukalia kiti kwa Mujibu wa katriba..
Hujajibu
 
Halafu wanakuja kusema nyenyenye mambo ya kijeshi hajadiliwi hadharani. Wanatuona washenzi sana hawa viongozi na wenye power by law nchi hii.
 
Umesema ni Jeshi la Wananchi! Yule ni mkuu wa kati ya mihimili 3 nchini hivyo hakuna ajabu hapo!
 
Kuna mtu kutoka Executive, Mwingine kutoka Judiciary na Mwingine kutoka Legislative wanaweza tumia midege ya Jeshi kwasabb wanastahili kuwa marais at any time kulingana na katiba na hivyo wako privileged....

Waziri wa ulinzi na hata wa mambo ya ndani wanaweza kutumia midege ya Jeshi pia....

haina maana mawaziri wengine hawaruhusiwi la hashaa wanaruhusiwa.

Zingatia pia, ni wakati gani unaweza tenganisha urais na mambo yake binafsi? hilo haliwezekani na halitakuepo
 
ndio maana Elimu ya Katiba inatakiwa kutolewa miaka mitano safi,
kama mtu haelewi nani ni nani baada ya nani kutoka muhimili gani na ana sifa ya nini na wap
Kwamba ukiwa Spika tayari umekuwa kaimu Rais ? labda uwadanganye wajinga wenzio
 
Kwamba ukiwa Spika tayari umekuwa kaimu Rais ? labda uwadanganye wajinga wenzio
elewa kwamba Makamu wa Rais, Speaker wa Bunge au Jaji Mkuu wanaweza kuongoza nchi endapo Rais hayupo kwasabb yeyeote ile.....

so wako entitled na privileged kutumia resources ikiwa ni pamoja na midege ya Jeshi hada dege la Rais kwasabb yeyeote ile.
Ndio maana siku zingine huko nyuma mlisema dege la Rais sijui limeonekana nchi gani huko, that was speaker looking for endorsement and IPU votes
 
Ikiwa kama Jeshi la Wananchi wa Tanzania linakataza kabisa Raia wa Nchi hiyo kuvaa nguo zinazofanana na sare zake , huku likichukua hatua kadhaa za kuwadhalilisha waliozivaa kwa kuwavua nguo hizo hadharani na kuwaacha uchi wa mnyama , Inawezekanaje Jeshi hilo hilo likamwazima Ndege halisi ya kijeshi ( siyo inayofana ) Raia ?

Sijui kama naeleweka , Ni hivi , inakuwaje Raia aliyekatazwa kuvaa fulana ya Jeshi la Marekani aliyoinunua kwenye mitumba , kama zile walizozivaa Wenge Musica kwenye Album ya Pentagon , lakini aruhusiwe kutumia vifaa halisi vya kijeshi ikiwemo Ndege ( hatujui kama kwenye ndege ile mlikuwa na makombora yaliyobebwa au la )

Naomba Majibu .

View attachment 2810972
Speaker yupo katika mihimili mi3 mikuu ya serikali.. udimchukulie poa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Au ukisikia MTU Ni yupo usalama WA taifa huwa unawaza huyo MTU yupoje?
 
Hata wewe kwenye Mafuriko unapanda.

Huyo amekuja kama shujaa akitoka kuiwakilisha Taifa, Hiyo Jesgi la wananchi wamempa heshima(hajaomba) ya kumsafirisha mpaka jimboni kwake.

Kumbuka huyu ni Kiomgozi wa Mhimili mzee, Anayeweza kushika madaraka ya kuongoza nchi.

Yanga walialikwa Ikulu na mkuu wa nchi, sasa kama amiri jeshi mkuu aliagiza apewe hiyo heshima kuna shida.

Yanga wakichukua Champions League Africa, wakirudi wakapokelewa na kupelekwa dodoma kwa ndege ya jeshi kama heshima ni vibaya.?

Mbona tunapandaga Defender kama lift?

Vipi pale Mwenge , hujawagi ona Raia wamepewa lift kwenye Karandinga au Bus ya JWTZ?

Tuache ujinga , hilo ni jeshi la Wananchi wa Tanzania, lipo kwa ajili yetu.
Haya nenda kapande na mumeo kama ni rahisi
 
Speaker yupo katika mihimili mi3 mikuu ya serikali.. udimchukulie poa mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Au ukisikia MTU Ni yupo usalama WA taifa huwa unawaza huyo MTU yupoje?
Ndugai kabla ya kutimuliwa alikuwa Mhimili gani ?
 
Ikiwa kama Jeshi la Wananchi wa Tanzania linakataza kabisa Raia wa Nchi hiyo kuvaa nguo zinazofanana na sare zake , huku likichukua hatua kadhaa za kuwadhalilisha waliozivaa kwa kuwavua nguo hizo hadharani na kuwaacha uchi wa mnyama , Inawezekanaje Jeshi hilo hilo likamwazima Ndege halisi ya kijeshi ( siyo inayofana ) Raia ?

Sijui kama naeleweka , Ni hivi , inakuwaje Raia aliyekatazwa kuvaa fulana ya Jeshi la Marekani aliyoinunua kwenye mitumba , kama zile walizozivaa Wenge Musica kwenye Album ya Pentagon , lakini aruhusiwe kutumia vifaa halisi vya kijeshi ikiwemo Ndege ( hatujui kama kwenye ndege ile mlikuwa na makombora yaliyobebwa au la )

Naomba Majibu .

View attachment 2810972
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
elewa kwamba Makamu wa Rais, Speaker wa Bunge au Jaji Mkuu wanaweza kuongoza nchi endapo Rais hayupo kwasabb yeyeote ile.....

so wako entitled na privileged kutumia resources ikiwa ni pamoja na midege ya Jeshi hada dege la Rais kwasabb yeyeote ile.
Ndio maana siku zingine huko nyuma mlisema dege la Rais sijui limeonekana nchi gani huko, that was speaker looking for endorsement and IPU votes
Kama ni hivyo ni kipi kilifanya Ndugai atimuliwe mithili ya nyau aliyekunywa maziwa ya mtoto njiti ?
 
Back
Top Bottom