Dr Akili
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 5,119
- 4,569
Zamu hii itakuwa kule vijiji vya wilaya ya Hai.Mbona alishawahi kuingia na vifaru clouds TV ? Hatutashangaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamu hii itakuwa kule vijiji vya wilaya ya Hai.Mbona alishawahi kuingia na vifaru clouds TV ? Hatutashangaa
Keki ya TaifaIkiwa kama Jeshi la Wananchi wa Tanzania linakataza kabisa Raia wa Nchi hiyo kuvaa nguo zinazofanana na sare zake , huku likichukua hatua kadhaa za kuwadhalilisha waliozivaa kwa kuwavua nguo hizo hadharani na kuwaacha uchi wa mnyama , Inawezekanaje Jeshi hilo hilo likamwazima Ndege halisi ya kijeshi ( siyo inayofana ) Raia ?
Sijui kama naeleweka , Ni hivi , inakuwaje Raia aliyekatazwa kuvaa fulana ya Jeshi la Marekani aliyoinunua kwenye mitumba , kama zile walizozivaa Wenge Musica kwenye Album ya Pentagon , lakini aruhusiwe kutumia vifaa halisi vya kijeshi ikiwemo Ndege ( hatujui kama kwenye ndege ile mlikuwa na makombora yaliyobebwa au la )
Naomba Majibu .
View attachment 2810972
========
Hapo awali jeshi la wananchi liliwahi kutoa waraka huu hapa
View attachment 2811662
Huyu wa sasa ni raisi wa mabunge yote duniani. Hivyo jeshi letu la JWT lazima limulinde kwa namna yo yote ile. Sugu kama bado munampenda, mutafutieni jimbo lingine la kugombea ubunge mbali na raisi wa mabunge duniani.Kwamba kabla ya Tulia hakukuwa na maspika waliomtangulia ?
Ujinga mtupu !Huyu wa sasa ni raisi wa mabunge yote duniani. Hivyo jeshi letu la JWT lazima limulinde kwa namna yo yote ile. Sugu kama bado munampenda, mutafutieni jimbo lingine la kugombea ubunge mbali na raisi wa mabunge duniani.