Ni kwa namna gani Raia anaweza kutumia Ndege ya Kijeshi kwa Shughuli binafsi ?

Ni raia akiwa kwake ila huyo ni kiongozi wa muhimili mkubwa kabisa nakushangaa unaposema raia wakati pale ni kiongozi. Unasumbuliwa na ugonjwa wa wivu alafu hayo madude ya jeshi mbona tunayachezea sana ww tu na ushamba wako unaona wajeda kama mungu vile kumbe ni masela na lifti wanatoa kw araia ije kua maagizo kutoka kwa amir mkuu wa jeshi.
 
Shujaa alianzaga hivi, akanza kuvaa kijeshi, Mungu akaamulia, haya hapa sisemi kitu.
 
Haya mambo mbona hatukuyaona enzi za akina Amir Kificho na Pius Msekwa , kwamba wale wazee walikuwa Wajinga ?
Unazungumzia watu wenye weledi uliopitiliza, Kificho na Msekwa ni distinguishable leaders.
Nafikiri haya madaraja na Viwanja vya mpira CCM itakapo virudisha vipewe majina ya hii miamba.
 
Pius Msekwa na Ndugai au Makinda hawakuwa maspika ? uliona wakifanya huu ujinga ?
 
Pius Msekwa na Ndugai au Makinda hawakuwa maspika ? uliona wakifanya huu ujinga ?
Kwani spika kapanda hiyo ndege kwa sababu zipi tuanzie hapo maana ukute ni agizo kulingana na sehemu alipotoka ambapo huwezi linganisha na hao kina pius wala job
 
Ila wewe jamaa una lQ ndogo sana!
Raia hapigiwi salute na jeshi lakini mheahimiwa Tulia anapigwa.
Katika viongozi wakubwa kabisa 3 Tulia ni mmoja wao. Kwa maana ya Jaji Mkuu, Rais na Spika.
Wote hao watatu hata kushitakiwa mahakamani hakuna/hapana
 
Ila wewe jamaa una lQ ndogo sana!
Raia hapigiwi salute na jeshi lakini mheahimiwa Tulia anapigwa.
Katika viongozi wakubwa kabisa 3 Tulia ni mmoja wao. Kwa maana ya Jaji Mkuu, Rais na Spika.
Wote hao watatu hata kushitakiwa mahakamani hakuna/hapana
soma post #66 upuuzi wako wote umejibiwa humo
 
Haya mambo mbona hatukuyaona enzi za akina Amir Kificho na Pius Msekwa , kwamba wale wazee walikuwa Wajinga ?
sure,
Hata wenye IQ finyu na legevu kama hii nadhani hawakuepo kabisa, au walikua bado wajinga?
 
Spika wa Bunge ni mtu mkubwa sana kwenye katiba yetu hii
 
Sheria mara nyingi ni kwa ajili ya watu masikini na wasio na vyeo.
 
Na bado, mtasema. Mumeshikwa pabaya. Mtazimia mtakapomwona Makonda atakapotinga akiwa kwenye kifaru cha jeshi. Kwani jeshi si letu sisi wananchi chini ya utawala wa ccm. Iko mbaya gani wananchi huko vijijini nao wakapata fursa ya kuona vifaru vyao vilivyoimara, vilivyonunuliwa kwa pesa yao ya kodi na tozo?
 
Kama wanajeshi wanampigia salite basi nadhani ana hadhi ya kutumia hilo chopa. Nachotaka tu kujua spika anapokuwa ndani ya chopa ya jeshi, inaitwaje kwa code zao
 
Mbona alishawahi kuingia na vifaru clouds TV ? Hatutashangaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…