Nimetaja Germany, Italy ,Russia na Arabs nikizungumzia ubaguzi kiujumla, ila wewe umeona uniulize kuhusu waarabu tu?Waarabu walikubaguwa nini?
Kwani Yanga toka inaanzishwa wafadhili ni waarabu? Hakuna weusi waliokwisha weka pesa hapo mara kibao? We jamaa unaongea nini?Kwanini nyie msiweke pesa??
Wabaguzi sana hao jamaa bila kusahau Waisrael na Wakorea.Germany umemsingizia. Hakuna hizo mambo kabisa.
Hao wengine sifahamu mambo yao, lakini Waarabu tupo nao kutwa kucha.Nimetaja Germany, Italy ,Russia na Arabs nikizungumzia ubaguzi kiujumla, ila wewe umeona uniulize kuhusu waarabu tu?
Ninauhakika pamoja na kuwaiga dini bado wewe huwezi kukaa na mwarabu akakupa thamani ileile anayowapa waarabu wenzie wakiwa nacho au wasipokuwa nacho, unless uwe na kitu anachokitaka kutoka kwako. NINAWAJUA VIZURI kwakua nimekutana nao sana kwenye Engineering activities.
Mweusi ni mbwa tu mbele ya Mwarabu.
Taja majina ya weusi walioifadhili Yanga.Nikukumbushe kidogo Shiraz Sharif,Abas Gulamali,Yusuf Manji,Ghulam Said Mohamed(GSM).Hao wafadhili wako walinunua mabox ya maji???Kwani Yanga toka inaanzishwa wafadhili ni waarabu? Hakuna weusi waliokwisha weka pesa hapo mara kibao? We jamaa unaongea nini?
Ni muda wake, itafika muda watakuja wengine.
Zenji na chogoless wanatolewa nje?Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.
Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.
Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Chuki yako ungepeleka kwa viongozi wako na sio Waarabu, mmezidi ujinga ndio maana mnapelekwa kama NyumbuWenye akili na elimu niambie wa Iran ambao sio arabs, elimu ya uwekezaji hujui lolote, kwani Musk ana elimu gani kuwa na shares kubwa kwenye spaceX na EVs za Tesla? Kina Jay Z kununua hisa Uber ana elimu gani? Kina Dre kuingia mikataba na kampuni za simu na products zake dre beats, kina Kanye West kuongia mikataba ya mabilioni na kampuni za viatu na nguo.. hao ni wahuni wa kitaa na hustlers.
Acha uzwazwa elimu ya uwekezaji unaweza usiwe nayo na ukapata ushauri toka kwa wataalamu ukawaajiri wakasimamia biashara zako,
Watu wenye asili ya ukatili mnawajua.Adolf Hitler aliua watu milioni 10 chini ya uongozi wake,King Leopold aliua wakongo milioni 10.KIHISTORIA & KIIMANI.
HAO NI JAMII YA WATU KATILI, WATU WA VISASI NA UMWAGAJI WA DAMU.
NI UZAO WA KINA ISHAMAEL..
HATA IMANI YAO NI YA VISASI NA VITISHO TU.
Unajua historia ya Yanga? Toka 1935? Tuanze hapo..Taja majina ya weusi walioifadhili Yanga.Nikukumbushe kidogo Shiraz Sharif,Abas Gulamali,Yusuf Manji,Ghulam Said Mohamed(GSM).Hao wafadhili wako walinunua mabox ya maji???
Tupe ushahidi kama u mkweli.KIHISTORIA & KIIMANI.
HAO NI JAMII YA WATU KATILI, WATU WA VISASI NA UMWAGAJI WA DAMU.
NI UZAO WA KINA ISHAMAEL..
HATA IMANI YAO NI YA VISASI NA VITISHO TU.
Mi mtoto wa kiume siwezi kuwa na chuki, mi nna hasira tu, chuki mnazo wanawake, kama tunapelekeshwa kama nyumbu na wewe si miongoni mwetu au kisa we mwarabu koko..Chuki yako ungepeleka kwa viongozi wako na sio Waarabu, mmezidi ujinga ndio maana mnapelekwa kama Nyumbu
hiyo ni inferiority complex ya watu weusi. Mbona na makabila mengi tu yako na ubaguzi wa kutisha?Kwa nini mnawaendekeza hivyo? Wachaneni! (katika maana zake zote tanzu!)
Tupe ushahidi kama u mkweli.
Timu zilianza kupata lini wafadhili?Wacha enzi za mpira wa kucheza kwa ridhaa.Wachezaji walikuwa wana kazi za kuajiriwa -Bandari,Urafiki,Bima na mashirika mengine ya umma.Unajua historia ya Yanga? Toka 1935? Tuanze hapo..
Yanga imeanza 1910 ikaja tambulika kama club 1935, Club gani haina mfadhili? Tanzania Premier League 1968 mara ya kwanza wanachukua, unafahamu kulikuwa na Nyerere cup? Toka hio miaka wafadhili ni wa arab? Umekariri kina GSM, rudi google kasome..Timu zilianza kupata lini wafadhili?Wacha enzi za mpira wa kucheza kwa ridhaa.Wachezaji walikuwa wana kazi za kuajiriwa -Bandari,Urafiki,Bima na mashirika mengine ya umma.
Karume aliwafadhiki jengo wanalotunia mpaka leo na uwanja na mengi mengine.Yanga imeanza 1910 ikaja tambulika kama club 1935, Club gani haina mfadhili? Tanzania Premier League 1968 mara ya kwanza wanachukua, unafahamu kulikuwa na Nyerere cup? Toka hio miaka wafadhili ni wa arab? Umekariri kina GSM, rudi google kasome..
Ni sawa, Yanga hao ilikuwa timu ya Freedom Fighters, Karume ni mmoja wapo sasa ulitaka wakatae?Karume aliwafadhiki jengo wanalotunia mpaka leo na uwanja na mengi mengine.
Karume ni Mzanzibari kama mama Samia.
Ndio mnaitana "ndugu zangu katika imaaan" 🤣Hao wengine sifahamu mambo yao, lakini Waarabu tupo nao kutwa kucha.