Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Ni kwanini bado Waarabu wanatubagua, hata Mwafrika anapokuwa Muislam wanamkatalia kumuoa binti yao?

Waarabu walikubaguwa nini?
Nimetaja Germany, Italy ,Russia na Arabs nikizungumzia ubaguzi kiujumla, ila wewe umeona uniulize kuhusu waarabu tu?

Ninauhakika pamoja na kuwaiga dini bado wewe huwezi kukaa na mwarabu akakupa thamani ileile anayowapa waarabu wenzie wakiwa nacho au wasipokuwa nacho, unless uwe na kitu anachokitaka kutoka kwako. NINAWAJUA VIZURI kwakua nimekutana nao sana kwenye Engineering activities.

Mweusi ni mbwa tu mbele ya Mwarabu.
 
Kwanini nyie msiweke pesa??
Kwani Yanga toka inaanzishwa wafadhili ni waarabu? Hakuna weusi waliokwisha weka pesa hapo mara kibao? We jamaa unaongea nini?

Ni muda wake, itafika muda watakuja wengine.
 
Nimetaja Germany, Italy ,Russia na Arabs nikizungumzia ubaguzi kiujumla, ila wewe umeona uniulize kuhusu waarabu tu?

Ninauhakika pamoja na kuwaiga dini bado wewe huwezi kukaa na mwarabu akakupa thamani ileile anayowapa waarabu wenzie wakiwa nacho au wasipokuwa nacho, unless uwe na kitu anachokitaka kutoka kwako. NINAWAJUA VIZURI kwakua nimekutana nao sana kwenye Engineering activities.

Mweusi ni mbwa tu mbele ya Mwarabu.
Hao wengine sifahamu mambo yao, lakini Waarabu tupo nao kutwa kucha.
 
Kwani Yanga toka inaanzishwa wafadhili ni waarabu? Hakuna weusi waliokwisha weka pesa hapo mara kibao? We jamaa unaongea nini?

Ni muda wake, itafika muda watakuja wengine.
Taja majina ya weusi walioifadhili Yanga.Nikukumbushe kidogo Shiraz Sharif,Abas Gulamali,Yusuf Manji,Ghulam Said Mohamed(GSM).Hao wafadhili wako walinunua mabox ya maji???
 
KIHISTORIA & KIIMANI.
HAO NI JAMII YA WATU KATILI, WATU WA VISASI NA UMWAGAJI WA DAMU.
NI UZAO WA KINA ISHAMAEL..
HATA IMANI YAO NI YA VISASI NA VITISHO TU.
 
Kwa wazungu ndoa za waafrika na wazungu zipo nyingi tu, ni kawaida.

Shida inakuja kwa kina waarabu, yani hata uwe muislam uliekariri aya nyingi za korani na sauti nzuri ya kuzinukuu hawawezi kukupa binti yao labda kama utaweza kutumika kimaslaho aidha uwe na cheo kikubwa ama uwe na pesa nyingi sana.

Na hapa navomaanisha waafrika ni hadi wazanzibari ambao hufanana na wasomali, hali ni hivyo hivyo tu, japo wao hupenda kujiweka kundi moja na waarabu ila waarabu huwatolea nje.
Zenji na chogoless wanatolewa nje?
 
Wenye akili na elimu niambie wa Iran ambao sio arabs, elimu ya uwekezaji hujui lolote, kwani Musk ana elimu gani kuwa na shares kubwa kwenye spaceX na EVs za Tesla? Kina Jay Z kununua hisa Uber ana elimu gani? Kina Dre kuingia mikataba na kampuni za simu na products zake dre beats, kina Kanye West kuongia mikataba ya mabilioni na kampuni za viatu na nguo.. hao ni wahuni wa kitaa na hustlers.

Acha uzwazwa elimu ya uwekezaji unaweza usiwe nayo na ukapata ushauri toka kwa wataalamu ukawaajiri wakasimamia biashara zako,
Chuki yako ungepeleka kwa viongozi wako na sio Waarabu, mmezidi ujinga ndio maana mnapelekwa kama Nyumbu
 
KIHISTORIA & KIIMANI.
HAO NI JAMII YA WATU KATILI, WATU WA VISASI NA UMWAGAJI WA DAMU.
NI UZAO WA KINA ISHAMAEL..
HATA IMANI YAO NI YA VISASI NA VITISHO TU.
Watu wenye asili ya ukatili mnawajua.Adolf Hitler aliua watu milioni 10 chini ya uongozi wake,King Leopold aliua wakongo milioni 10.
Hao wote ni wazungu lakini kwa sababu mnawalamba magoti mnakubali utumwa wa kizungu.USA chini ya wazungu wamewaua na wanaendelea kuwaua weusi lakini mnanyamaza kimya.Anabaguliwa mchezaji mweusi wa Real Madrid anabaguliwa na wazungu na kutupiwa ndizi mnashangilia.
 
Taja majina ya weusi walioifadhili Yanga.Nikukumbushe kidogo Shiraz Sharif,Abas Gulamali,Yusuf Manji,Ghulam Said Mohamed(GSM).Hao wafadhili wako walinunua mabox ya maji???
Unajua historia ya Yanga? Toka 1935? Tuanze hapo..
 
KIHISTORIA & KIIMANI.
HAO NI JAMII YA WATU KATILI, WATU WA VISASI NA UMWAGAJI WA DAMU.
NI UZAO WA KINA ISHAMAEL..
HATA IMANI YAO NI YA VISASI NA VITISHO TU.
Tupe ushahidi kama u mkweli.
 
Chuki yako ungepeleka kwa viongozi wako na sio Waarabu, mmezidi ujinga ndio maana mnapelekwa kama Nyumbu
Mi mtoto wa kiume siwezi kuwa na chuki, mi nna hasira tu, chuki mnazo wanawake, kama tunapelekeshwa kama nyumbu na wewe si miongoni mwetu au kisa we mwarabu koko..
 
Kwa mambo kama haya 👇🏾 kwanini tusibaguliwe 👇🏾
 
Unajua historia ya Yanga? Toka 1935? Tuanze hapo..
Timu zilianza kupata lini wafadhili?Wacha enzi za mpira wa kucheza kwa ridhaa.Wachezaji walikuwa wana kazi za kuajiriwa -Bandari,Urafiki,Bima na mashirika mengine ya umma.
 
Timu zilianza kupata lini wafadhili?Wacha enzi za mpira wa kucheza kwa ridhaa.Wachezaji walikuwa wana kazi za kuajiriwa -Bandari,Urafiki,Bima na mashirika mengine ya umma.
Yanga imeanza 1910 ikaja tambulika kama club 1935, Club gani haina mfadhili? Tanzania Premier League 1968 mara ya kwanza wanachukua, unafahamu kulikuwa na Nyerere cup? Toka hio miaka wafadhili ni wa arab? Umekariri kina GSM, rudi google kasome..
 
Yanga imeanza 1910 ikaja tambulika kama club 1935, Club gani haina mfadhili? Tanzania Premier League 1968 mara ya kwanza wanachukua, unafahamu kulikuwa na Nyerere cup? Toka hio miaka wafadhili ni wa arab? Umekariri kina GSM, rudi google kasome..
Karume aliwafadhiki jengo wanalotunia mpaka leo na uwanja na mengi mengine.

Karume ni Mzanzibari kama mama Samia.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Karume aliwafadhiki jengo wanalotunia mpaka leo na uwanja na mengi mengine.

Karume ni Mzanzibari kama mama Samia.
Ni sawa, Yanga hao ilikuwa timu ya Freedom Fighters, Karume ni mmoja wapo sasa ulitaka wakatae?
 
Back
Top Bottom