Ni kwanini Hayati Magufuli alipata Mental na Spiritual Immortality?

Ila Lissu hayupo kama mwanzo ana ulemavu wa kudumu kwa sasa na lile tukio bado lina limeacha akilini mwake hivyo bado hayupo sawa.
 
Kuna watu huwa wanadakia
chorus bila kujua mtunzi ni Nani. Huwezi kupoteza raia
wako mwenyewe ukaitwa
shujaa. Alikuwa muoga ndio
maana katumia nguvu nyingi
kuiba kura Ila akuambulia
chochote zaidi ya kukaa miezi
mitatu tu madarakani.
Kabla ya Magu, ccm imekuwa ikiiba kura miaka yote hivyo alichofanya Magu ni muendelezo tu wa kuitumia serikali ya ccm kuiba kura. Tofauti tu ni kwamba Magu hakutaka kubalance kama kuwaachia nafasi wapinzani kuingia huko bungeni angalau kuwadanganya wazungu kuwa kuna ushindani hali ya kuwa ukweli wa mambo ccm ndio mchezaji na ni refa pia.
 
Shetani ana wafuasi wengi kuliko Mungu,sasa huko kutajwa anatajwa kwa malengo yapi ikiwa bado yeye ndio wafuasi wengi?

Imekuwa tabia sasa kwamba kila jambo kusingiziwa shetani hata yale asiyohusika.
 
Alikuwa tapeli muongo muongo katili sana.
 
hata shetani kila siku lazima
akemewe
Sent from my Infinix X683 using
JamiiForums
mobile app
Kama shetani anatajwa sana(kukemewa) kuliko mitume na malaika basi kuna tatizo ni wazi huyo shetani ndio mwenye nguvu kwenu amewatawala.
 
Sikuwa mfuasi wa yule bwana ila undoubtably alikuwa one of the greatest leaders behind JK the first and BWM
 
Aliwagusa Sana wananchi
negatively. Aliua, aliteka na kuuwa. Kwa haya maovu yake
kamwe hatasahaulika kama
ilivyo kwa Hitler, Idd Amin,
Bokasa na Mobutu
Nitajie wananchi watano tu aliyowauwa ambao wewe unawajua katika hao wananchi wengi waliyouwawa
 
Tatizo hao waliyouliwa hatuwajui sasa tunawezaje kusema kuwa waliuliwa kwa sababu ya kukosoa ili tumuhusishe Magu na hivyo vifo?
 
Utouh amesema 1.2t imepigwa kipindi cha dhalimu. Sasa hizo Njozi na uchu na raslimali unatoka wapi? Yule alikuwa mzalendo wa mdomoni, lakini kiuhalisia alikuwa mumiani.
Kunayo hata Document moja inayodhihirisha hayo madai ya kina Utouh na Yule mwingine?

Au unamuamini Utouh kama Yesu?
 
Ni kwa sababu alikuwa na mental illness
 

Mkuu una matatizo ya matumizi ya herufi H, huko kwenye bold. Fanyia kazi kwanza hapo kisha uje.
 
Kunayo hata Document moja inayodhihirisha hayo madai ya kina Utouh na Yule mwingine?

Au unamuamini Utouh kama Yesu?

Niache kumuamini CAG mstaafu nitamuani nani labda?
 
Kuhaminika

Kuhamini!!

Kiswahili hiki nilikisikia nilivyoenda Bujumbura. Na wewe ni wa huko? Maana maneno hayo siyo ya Kiswahili, lakini Warundi hutumia ha badala ya a kwenye maneno mengi ya Kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…