- Thread starter
- #181
Hujiulizi kwanini mamlaka ya Jina YESU lisingeishia duniani pekee na Mbinguni mamlaka ya we Kwa Jina YEHOVA?Unafikiri Yehova angetaka pepo
Zitolewe Kwa jina lake, Mchango wa damu ya Yesu msalabani ungeonekana vipi?
Kwani ukipewa mamlaka unakua cheo cha juu zaidi ya aliyekupa cheo?
Unafikiri kwanini Kila goti Mbinguni na duniani lipigwe Kwa Yesu?
Kwamba ikiwa Yesu Si Baba, kwamba Mungu Baba atampigia Yesu goti huko Mbinguni?
Stuka, Yesu ndiye huyo huyo Baba, Neno, mwana na Roho mtakatifu.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen