FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
K
Kwanini sasa unadanganya?Kwenye Qurani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini sasa unadanganya?Kwenye Qurani.
😆😆😆 Mjinga ni mjinga, atabaki kua mjinga .Asikusumbuwe, huyo ni Muislam aliye asi. Juzi kakiri kwenye uzi huu👇🏾👇🏾👇🏾
Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 1 Ilikuwa ni siku chache kabla sijatimiza miaka 18. Nilipelekwa Tanga, kijiji kimoja kipo karibu sana na mpaka wa kwenda Kenya. Kabla ya kuingia huko kijijini ndani kuna ki mji kinaitwa Duga. Ilikua sio mara yangu ya kwanza kupelekwa huko kwa mambo ya...www.jamiiforums.com
Ukiumwa malaria unakunywa mseto,nyie huwa kondoo,akili hamna
Wewe una wito kwenye nafsi yako.Ungesema mapema kua we ni sheikh..
Sasa unapita njia ndefu za nini?
😆😆
Nimedanganya wapi.K
Kwanini sasa unadanganya?
Kipi kinakufanya ufikiri hivyo? 🤔Wewe una wito kwenye nafsi yako.
Wito wa kuitangaza Habari Njema ya Ufalme wa Mungu.
Sema tu hujapata darasa sahihi.
Kuna vitu vidogo vidogo vinakuchanganya.
Ungekuwa karibu yangu ningekutoa kwenye huo utata unaousoma kwenye Biblia.
Wewe umekuwa Mwislamu wa kurithi toka kwa wazazi wako.Asikusumbuwe, huyo ni Muislam aliye asi. Juzi kakiri kwenye uzi huu👇🏾👇🏾👇🏾
Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho
Nilioyashuhudia nilipofunguliwa macho 1 Ilikuwa ni siku chache kabla sijatimiza miaka 18. Nilipelekwa Tanga, kijiji kimoja kipo karibu sana na mpaka wa kwenda Kenya. Kabla ya kuingia huko kijijini ndani kuna ki mji kinaitwa Duga. Ilikua sio mara yangu ya kwanza kupelekwa huko kwa mambo ya...www.jamiiforums.com
Nimekujua kutokana na maongezi yako.Kipi kinakufanya ufikiri hivyo? 🤔
Big up sana Brother Ibn Unuq, nakutakia mafanikio katika mambo yako yote. Nimefurahi sana unasoma maandiko ya Biblia.Kipi kinakufanya ufikiri hivyo? 🤔
Nakupa ushauri wa bure tu, kama umeshindwa kuchanganuwa vitu vidogo sana ambavyo ni basic knoledge kwenye Biblia basi usiguse kabisa kitabu cha ufunuo.Huo ni Ujasusi mbingu ziliamua kuufanyia Dunia,
Hujiulizi Yesu huyo huyo anatoa dalili za siku ya mwisho ikiwa hajui ni lini?
Soma pia ufunuo wa Yohana, Yohana Alimwona BWANA Mungu na ndiye aliyemwonyesha yote yatakavyokuwa Hadi siku hiyo ya mwisho.
Na Yohana katika kitabu Cha ufunuo amemwona Mungu katika KITI Cha enzi na Mungu huyo ni mtu tena ana matundu ya misumari katika viganja vya mikono yake🤔
Yesu ndiye Mungu aketiye katika KITI Cha enzi.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Amepewa mamlaka yote mbinguni na duniani, sasa kwa akili ya kawaida huoni hapo kuna mkubwa zaidi yake aliyempa mamlaka?Ni kwanini wanafunzi wa Yesu walikuwa wanamsujudia?
Je ni kwakuwa walibaini ya kwamba ni Mungu ?
..............
Mathayo 28
17 Nao walipomwona, walimsujudia; lakini baadhi yao waliona shaka.
18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
..........
Hapa Yesu anathibitisha kuwa ana mamlaka yote Mbinguni na Duniani.
Wajameni Bado hamjagundua tu kuwa Yesu ndiye Mungu Mwenyezi.
.......
Mwenye mamlaka yote ya Mbinguni na Duniani ni nani ?
Kumjuwa Mungu hakuhitaji dini na hata Yesu hakuleta dini, hata Ukristo siyo dini ila imelazimishwa tu kuitwa dini.Nimekujua kutokana na maongezi yako.
Una nia ya dhati ya kumtafuta Mungu ila unakwamishwa na mazingira.
Maswala ya Dini mala nyingi ni ya kujitolea, na hayana wadhamini wa wazi.
Kusoma Dini kunahitaji muda na raslimali za kutosha.
Katika BibliaAmepewa mamlaka yote mbinguni na duniani, sasa kwa akili ya kawaida huoni hapo kuna mkubwa zaidi yake aliyempa mamlaka?
Vijana wengi wa leo wanamjuwa Mo Dewji, lakini sisi tunamjuwa Ghullum Dewji ndiye amemuachia mtoto wake ambaye ni Mo Dewji aendeshe makampuni ya Metl lakini Ghullum Dewji mwenyewe yupo.
🤣🤣🤣Nimefanya Utafiti.
Nawe jaribu kumfuata mtu aliyepagawa na mapepo, tumia Jina la Babu Yako uone kama Pepo halijakutimua mbio!!
Hata wazungu wanafanya excorism kwa kutumia jina la yesuNa kwa nini ni waafrika tu ndiyo wenye hayo mapepo yanayofukuzwa na Yesu?