Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ongeza na hii:

Yohana 14:6-7
KJV

Yesu akasema, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu;

Yn 14:7 Yesu akasema, “Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.” Lakini wanafunzi wake hawakumwelewa anamaanisha nini, hivyo Filipo akamwambia tuonyeshe Baba. Na Yesu akawaambia “Aliyeniona mimi amemwona Baba”, kisha akafafanua zaidi kwamba, ni kwa sababu “mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Yn 14:10, Akaweka wazi kwamba, “la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.” Yn 14:11
YOHANA 12:49

Mimi sikunena kwa mamlaka yangu mwenyewe,ila Baba aliyenituma ndiye aliyeniamuru niseme nini na niongee nini.

Hivi Mungu anaweza kupewa amri?
 
Sasa masheikh msikitini wanakwama wapi kutafuta mamlaka Ili kulitumia Jina la YESU huko msikitini?

Cc: FaizaFoxy
Nadhani jibu linaweza kuwa hili hapa.
Marko 9:38
Yohana akamjibu, akamwambia, Mwalimu, tulimwona mtu akitoa pepo kwa jina lako, ambaye hafuatani nasi; tukamkataza, kwa sababu hafuatani nasi.
39 Yesu akasema, Msimkataze, kwa kuwa hakuna mtu atakayefanya mwujiza kwa jina langu akaweza mara kuninenea mabaya;
40 kwa sababu asiye kinyume chetu, yu upande wetu.
 
Tatizo ni kwamba unajibu lako kichwani.
Nimefanya Utafiti.

Umewahi ona shehe akikenea Pepo Kwa Jina la Allah au Mudi na Pepo likatoka?

Kuhusu matumizi ya Jina la YESU Kutoa mapepo ushahidi ni dhahiri.

Sasa tatizo liko wapi kuwa na jibu litokanalo na tafiti?
 
Jina linalopita majina yote.
The name above all names.

Jina lenye mamlaka kupita yote Mbinguni na duniani. Sasa ikiwa Jina Lina mamlaka yote Mbinguni na duniani, huyo mwenye Jina Hilo ndiye Mungu, maana kamwe Mungu hawezi share mamlaka na utukufu na mtu🤔

MUNGU Ni mmoja na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Nimefanya Utafiti.

Umewahi ona shehe akikenea Pepo Kwa Jina la Allah au Mudi na Pepo likatoka?

Kuhusu matumizi ya Jina la YESU Kutoa mapepo ushahidi ni dhahiri.

Sasa tatizo liko wapi kuwa na jibu litokanalo na tafiti?
Uliwahi kuona Mabudha wanatumia jina la yesu kutoa mapepo? Ama wao hawapatwi ma mapepo?
 
Mmeamua Mbongo zenu zikae hivyo, kwani jina Yehova ni more viral kuliko hilo la Yesu na bahati mbaya zaidi hata yeye hajui kama ndo huwa mnamuita Yesu.
Siku hiz hata jina la Mwamposa linafukuza mapepo haya twambie ulikua na maana gani kufukuza mapepo ndio utukufu kwako?
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Yesu KRISTO ndiye BWANA hakuna jina jingine litupasalo kuokolewa kwalo, na kila goti LITAPIGWA na kila ULIMI UTAKIRI YAKUWA YESU KRISTO ni BWANA hili jina limekirimiwa kupita majina yote
 
Uliwahi kuona Mabudha wanatumia jina la yesu kutoa mapepo? Ama wao hawapatwi ma mapepo?
Mabudha hawatoki Pepo, wanapunga Pepo na kuwabembeleza mapepo kuhama Toka sehemu Moja kwenda ingine au kuongeza mapepo yenye nguvu Kwa mtu Ili kutuliza yaliyomo.

Jina linalofukuza mapepo ni Jina la YESU pekee.

Karibu 🙏
 
Wayahudi wanajua sana mambo ya ulimwengu wa roho, ndio maana wakaandaa huu mfumo wa Ukristu.
Haya maneno huwa yanawakera watoto wa kiroho na wanaitazama biblia kama philosophical book

Ila ukijua kwamba biblia ni kitabu kilicho hai na inahitaji uwe hai kiroho ili kukisoma basi hutapata shida
 
Mabudha hawatoki Pepo, wanapunga Pepo na kuwabembeleza mapepo kuhama Toka sehemu Moja kwenda ingine au kuongeza mapepo yenye nguvu Kwa mtu Ili kutuliza yaliyomo.

Jina linalofukuza mapepo ni Jina la YESU pekee.

Karibu 🙏
Na wayahudi wantoaje mapepo?

Kwanini Waafrika mnakua wajinga kiasi hiki?
 
Yesu KRISTO ndiye BWANA hakuna jina jingine litupasalo kuokolewa kwalo, na kila goti LITAPIGWA na kila ULIMI UTAKIRI YAKUWA YESU KRISTO ni BWANA hili jina limekirimiwa kupita majina yote
Islam na makundi mengine wastuke na kuliamini na kuanza kulitumia Jina la YESU huko huko msikitini maana hata katika vitabu vyao, limetajwa!!
 
Islam na makundi mengine wastuke na kuliamini na kuanza kulitumia Jina la YESU huko huko msikitini maana hata katika vitabu vyao, limetajwa!!
Na mapepo yamejaa makanisani
 
Nimefanya Utafiti.

Umewahi ona shehe akikenea Pepo Kwa Jina la Allah au Mudi na Pepo likatoka?

Kuhusu matumizi ya Jina la YESU Kutoa mapepo ushahidi ni dhahiri.

Sasa tatizo liko wapi kuwa na jibu litokanalo na tafiti?
Sheikh apigi kelele kama nyinyi vichaa
 
Na wayahudi wantoaje mapepo?

Kwanini Waafrika mnakua wajinga kiasi hiki?
Tofautisha Kutoa Pepo na kupunga Pepo.

Jina la YESU pekee ndilo lenye mamlaka ya kufukuza mapepo yakatoka.

Litumie uone mabadiliko!!
 
Hivi hiyo miujiza ipo kwenye jina kama jina au haijalishi ni jina gani unatumia ilimradi tu ni huyo unayemkusudia? Maana mie naona kuna majina mengi tofauti, huyu anasema Jesus linamiujiza na yule anasema Yesu lina miujiza n.k
 
Back
Top Bottom