Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Kama ni elimu au ni fikra/mtazamo wako,....Ni laana ya kiwango cha juu.
 
Jina la Mungu Mmoja muumba wa Mbingu na Nchi ni Yesu .

Sasa Majina mengine ya miungu ya nn?
Sasa hilo unaloita jina la Mungu ukienda jamii zisizozungumza kiswahili ukasema "Yesu" hawatojua unamzungumzia nani.
 
Yesu ni Mwana wa Mungu, Allah na majini iko dugu moja....
 
Jesus never existed. It's a myth.
 
Allah hayo ni viumbe vyake ndugu zao watu wake. Why ayafukuze? Yamesilimu yanaswali naye
 
We umfukuze mtu mapepo kwa jina la Allah
wakat huyo Allah mwenyewe ndo mfuga majini😂😂😂Ebu kuwa serious huwezi kuua samaki kwa kumzamisha kwene maji
 
Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospital
wajinga kama hawa huwa hawakosekani! Low IQ
 
Baada ya Yesu kupaa Mbinguni,

Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa?

Fafanua hapo.
Sisi binadamu tumepewa
mamlaka ya kuponya wenye mapepo na kufanya ishara zingine ila hatujitambui kwa sababu hatuna imani kuwa yesu ni mwokozi wetu na alitumwa kuturejesha kwa Mungu.Naweza kusema Yesu haponyi bali imani tuliyonayo kwake.Ukisoma marko 16:17 Yesu alikwisha kasimu mamlaka kwa waaminio .Yule dada aliyeamini akigusa vazi la Yesu tu atapona akambiwa imani yako imekuponya
 
Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospital
Yaani ulijibu Kwa hasira kweli, huku moyo ukidunda dunda, maana unaujua ukweli wake kwa jina lilivyo na nguvu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…