Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Agano jipya n kitabu Cha kisiasa,mweny KUSOMA atafahamu ,ukisoma pasina ushabiki utaona kuna kampeni za kisiasa kati ya Dola(Rumi) na wayahudi,tena kuhusu suala la masihi , wayahud waliamin kuja kwa masihi atayewaondoa watesi wao(Rumi) hii imani iliwafanya wafanye uasi...
Kama ni elimu au ni fikra/mtazamo wako,....Ni laana ya kiwango cha juu.
 
Jina la Mungu Mmoja muumba wa Mbingu na Nchi ni Yesu .

Sasa Majina mengine ya miungu ya nn?
Sasa hilo unaloita jina la Mungu ukienda jamii zisizozungumza kiswahili ukasema "Yesu" hawatojua unamzungumzia nani.
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
Yesu ni Mwana wa Mungu, Allah na majini iko dugu moja....
 
Mitume wote (kila mmoja) alitumwa Duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini Uchawi/Ushirikina, na kumuasi Mungu.
Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.

Yesu akapewa uwezo, wa kufukuza mapepo, kuponya waliorogwa na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba, kufufua na mengine mengi ambayo wachawi hawakuyaweza.
Na ndio sababu ukitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe aliyepewa hiyo nguvu, unaweza kuponya na hata kufukuza mapepo nk.
(Kwa bahati mbaya sana, watu waka mwamini Yesu kuwa ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma)
Jesus never existed. It's a myth.
 
Allah hayo ni viumbe vyake ndugu zao watu wake. Why ayafukuze? Yamesilimu yanaswali naye
 
Salaam, shalom!!

Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.

Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!

Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?

Karibuni🙏
We umfukuze mtu mapepo kwa jina la Allah
wakat huyo Allah mwenyewe ndo mfuga majini😂😂😂Ebu kuwa serious huwezi kuua samaki kwa kumzamisha kwene maji
 
Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospital
wajinga kama hawa huwa hawakosekani! Low IQ
 
Baada ya Yesu kupaa Mbinguni,

Mbona Jina lake Hadi Leo Lina mamlaka ya kufukuza mapepo na kuponya magonjwa?

Fafanua hapo.
Sisi binadamu tumepewa
mamlaka ya kuponya wenye mapepo na kufanya ishara zingine ila hatujitambui kwa sababu hatuna imani kuwa yesu ni mwokozi wetu na alitumwa kuturejesha kwa Mungu.Naweza kusema Yesu haponyi bali imani tuliyonayo kwake.Ukisoma marko 16:17 Yesu alikwisha kasimu mamlaka kwa waaminio .Yule dada aliyeamini akigusa vazi la Yesu tu atapona akambiwa imani yako imekuponya
 
Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospital
Yaani ulijibu Kwa hasira kweli, huku moyo ukidunda dunda, maana unaujua ukweli wake kwa jina lilivyo na nguvu.
 
Back
Top Bottom