Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Ni hela Yako tu hata nikikemea kwa jina la magufuli yanatoka mkuu. Kama hauamini njoo jumapili nikutoe maana nimeoteshwa unayo manne na yanakuchelewesha sana kufanikiwa katika maisha Yako. Njok inbox kwa maelezo zaidi.Jibu swali hapo juu,
Kwamba, kwann ukikemea Pepo au jinsi Kwa Jina la Allah halitoki?🤔
Mimi personally nimeona wakristo wengi wakiombewa dua kwa mashekhe kwa kusumbuliwa na mapepo baada ya kuhangaika makanisani muda mrefu, sasa sijui unataka kutuambia niniSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Kwamba unaweza kumkemea Pepo Kwa Jina la Allah na Pepo likatoka🤔Mimi personally nimeona wakristo wengi wakiombewa dua kwa mashekhe kwa kusumbuliwa na mapepo baada ya kuhangaika makanisani muda mrefu, sasa sijui unataka kutuambia nini
Acheni ujuha ndio maana mnageuzwa mitaji, wewe hadi mtu anatoka congo huko kuja kuwapiga hela baada ya kujua wakristo wa tanzania wepesi
Muamini mungu wako nenda kasali mengine muachie mungu huko kupenda kwenu miujiza hadi mnaangukia kwa wapigaji
Na stori zinasema mmiliki wa hilo jina alidanja kwa misumari.Jina la yesu lingeponya magonjwa hospital zisingejengwa, hospital zimejengwa kuanzia na wamisionari wageni hadi wazawa,hao wanaojifanya kuombea wakiumwa huenda hospital
Jina la yesu halina nguvu bali wewe ndie mwenye nguvu,jina la yesu unaweza kumpa hata paka nyumbani na bado isiwe tatizoSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Hizo ni stori za jabaSalaam, shalom!!
Mods acheni mjadala huu upate majibu Toka Kwa wadau.
Nimeishi miaka mingi duniani Hadi sasa, na sijawahi kukutana na shehe au pastor akifukuza Roho chafu zilizowapagaa watu Kwa Jina la YEHOVA au Allah!!
Kwanini Jina YESU Lina nguvu kiasi hicho?
Karibuni🙏
Kuna kitu kinakusumbua katika maisha yako.nimeona katika ndoto hupati fedha za kutosha kukidhi mahitaji Yako. Tafadhali fika kanisani kwetu tukuombee.Mm sina hayo aseeh.
Kuwa na aibu basi
Watu wanacheza na fursa mijitu inasonga mbele kama kondoo. Rais kagame wa Rwanda amesema makanisa hasa haya ya kiroho watalipa Kodi maana wanachukua hela nyingi sana kwa Wananchi masikini.Jamaa anawamaliza kweli.Namwamini Mwenyezi Mungu na mwanae Yesu Kristo Ila siyumbishwi kiimani.Yaan nilipo ndio hapahapa.Nikiumwa ni hospital na kujiombea mwenyewe...maana kufa kupo tu hakukwepeki
Nachoamini kipi?Sijawahi kukukashfia unachoamini na kuabudu. Kwa Nini uniandikie hivi aisee?
Jibu swali Ndugu!!Wagalatia kweli hawana akili kha, upuuzi mtupu
Ili kuelewa lazima ujue utatu mtakatifu Mungu Baba, Mungu mwana na Roho mtakatifuMitume kila mmoja alitumwa duniani kwa kazi maalum
Yesu alitumwa duniani kipindi ambacho watu walikuwa wana amini uchawi, na kumuasi Mungu.
Mungu akaona atume mjumbe ampe nguvu ya kufanya zaidi ya wachawi ili wamwani Mungu.
Yesu akapewa uwezo, wa kufukuza mapemo, uchawi na hata kuponya magonjwa ambayo yalikuwa hayana tiba
Na ndio sababu ukitumia jina la Yesu ambaye ndiye mjumbe alipewa hiyo nguvu, unaweza kuponya na kufukuza mapepo.
(Kwa bahati mbaya, watu waka mwamini kuwa Yesu ndiye Mungu badala ya Kumuamini Mungu aliyemtuma)
Swali la kipumbavu haijawahi kuwepo,Swali la kipumbavu sana... Inabidi lijibiwe kipumbavu
Asante sana umeeleza vyema. Wengi wanachanganya sana hawajui jina Mungu ni cheo (nomino ya kawaida) kama kusema Baba ,Rais ,kiongozi, mheshimiwa nk.Wakristo tunamwabudu Mungu Mmoja.
Mungu ni Jina la office kuu yenye mamlaka ya juu kuliko zote Mbinguni na duniani,
Ni kama tu kusema Rais, ni Jina la office, lakini Rais analo personal name .
Mungu pia analo Jina , ndilo YESU.
Ikiwa unamwamini Mungu Mmoja na humwamini Yesu, unaabudu usichokijua.
Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO/YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Hata magufuli wanamuogopa sana. Kumbuka magu alikua akitoa maagizo daslam watu mpaka kigoma wanatetemeka. Lile jina lina nguvu mpaka kesho.Mapepo hayapendi jina la Yesu