Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Kwamba unaweza kumkemea Pepo Kwa Jina la Allah na Pepo likatoka🤔
Huko kukemea ni mbwembwe tu anapigwa kisomo anakuwa safi, nachokuhakikishia hakuna mkristo mwenye mafanikio asiyekuwa na shekhe wake ,chunguza utakuja kuniambia, wao wenyewe wameshtuka kuwa kukemea ni uzushi tu, wakitoka pale pepo lipo pale pale
 
Labda nikuulize vizuri jina la muhusika mwenyewe kabisa ni Nani? Maana kila inchi wanajina lake wakati mtu ni mmoja
 
Huko kukemea ni mbwembwe tu anapigwa kisomo anakuwa safi, nachokuhakikishia hakuna mkristo mwenye mafanikio asiyekuwa na shekhe wake ,chunguza utakuja kuniambia, wao wenyewe wameshtuka kuwa kukemea ni uzushi tu, wakitoka pale pepo lipo pale pale
Kisomooooo😀
 
Vitu vya kuletewa munachanganyikiwa.......WAJINGA NDO WALIWAO
 
Wewe una akili sana.
 
Hili ndio jibu sahihi kama hajaelewa hapa hakuna siku ataelewa.

God bless you
 
Nikiangalia ile mikutano ya wale Wananchi masikini na mafukara 99% wamejazana wanalalamika magonjwa na mapepo nawahurumia sana maana hata hiyo mia 500 aliyokua nayo akiba anaipeleka hapo kwa nabii kwenda kuombewa. Huu mnyororo wa umasikini unawaumiza sana watanzania.
 
Mleta mada ndio hao manabii,ameanzisha huu uzi ili kupromote hiyo biashara ya kuwakamua masikini kwa kusingizio cha mapepo.
 
Ukitaka kufanya sample chukua wawili au watatu wape fedha kiasi cha shilingi milioni 10 Kila mmoja uone kama wataenda kuombewa Tena mapepo yatoke. Umasikini ni ugonjwa dawa yake fedha tu.
Mbona swali hapo juu halijibiwi?


Una Elimu Gani?
 
Mkuu wajinga ndo waliwao

Naumia sana kuona muumini anatoa ela ili aombewe na kutoa sadaka kwa nabii mfano mkubwa watu wa kwamwamposa

Wazungu walileta dini ili kusoften our mind tuwe wapole na obedient kwenye misingi yao ya kikoloni lakini till now days kuna wajinga wanapigwa na hizi dini😁😁

@ The icebreaker
#wajinga ndo waliwao
 
Mkuu. Wew ni miongoni mwa wapiga kelele nini?
 
Unaposema Yesu unamaanisha Mungu aliye hai kwa hiyo lazima mapepo majini na vyote vya giza vitii jina hilo maana kwanza vimeumbwa na yeye ila baadae viliasi. allah ni shetani ibilisi kwa hiyo shetani hawezi kufukuza majini, mapepo ila anaweza yatuliza kwa muda. Ndiyo maana aliyepagawa na mapepo akienda kwa sheikh, sheikh anachokifanya ni kumtupia huyu aliyepagawa na mapepo mapepo mengine yenye nguvu zaidi yatakayoweza kuyatuliza hayo yaliyopo awali kwa aliyepagawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…