Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Ni kwanini Jina la YESU linafukuza mapepo tofauti na Jina Allah au Yehova?

Issu wala siyo Wakristo, kuna kundi tu la watu wachache wanaojiita Walokole ndio wanaleta bangi hizi.
Almost vikundi vyote vya dini wanaamini Yesu ndie Mungu, kitu ambacho si kweli.

SDA, LUTHERAN, ROMAN, PROTESTANT, PENTECOSTAL...
 
Biblia iko sahihi, ila wewe ni Mwongo unatafsiri aidha unavyopendelea wewe au Ulivyofundishwa ..

Kosa wanalofanya wakristo wengi , kazi ya kutafakari neno wanawaachia wachungaji naviongizi wao wan dini...
Mimi mwongo sio🤔

Mimi nina andiko zaidi ya Moja lenye kusema Mungu ana NAFSI Moja.

Wewe nionyeshe Mahali popote palipoandikwa kuwa Mungu ana NAFSI tatu.

Karibu 🙏
 
Mimi mwongo sio🤔

Mimi nina andiko zaidi ya Moja lenye kusema Mungu ana NAFSI Moja.

Wewe nionyeshe Mahali popote palipoandikwa kuwa Mungu ana NAFSI tatu.

Karibu 🙏
Mkuu siamini katika Utatu Mtakatifu..

Nahisi unausingizi hebu zipitie coment zangu tena ..

Hebu nikurudishe kwenye njia , Tunachojaribu kuwekana sawa hapa ni kwamba Yesu sio Mungu mweza yote ila Yehova ndiye .

Unaposoma uwe unajaribu kufeel like yo're listening someone, kama hapa tu hauko makini; How are you sure huwa unasoma biblia kwa umakini ..
 
Punguza hasira .

Kwani baba wa Yesu kimwili aliitwa nani vile?🤔
Yesu ndiye Melkizedeki, Hana baba wala mama.

Yeye ni Mungu Mfalme wa Wafalme, Hana mwanzo Wala mwisho.
Hapa walokole ndipo mnakuwa hamueleweki.
Yesu ni mungu sawa, kwakuwa alitumika ktk uumbaji na pia ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe wote. Yesu sio Mungu mkuu YEHOVA

Wakolosai 1:12-23
[12]mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.
Giving thanks unto the Father, which hath made us meet to be partakers of the inheritance of the saints in light:
[13]Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Who hath delivered us from the power of darkness, and hath translated us into the kingdom of his dear Son:
[14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins:
[15]naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Who is the image of the invisible God, the firstborn of every creature:
[16]Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
For by him were all things created, that are in heaven, and that are in earth, visible and invisible, whether they be thrones, or dominions, or principalities, or powers: all things were created by him, and for him:
[17]Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
And he is before all things, and by him all things consist.
[18]Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote.
And he is the head of the body, the church: who is the beginning, the firstborn from the dead; that in all things he might have the preeminence.
[19]Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;
For it pleased the Father that in him should all fulness dwell;
[20]na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni.
And, having made peace through the blood of his cross, by him to reconcile all things unto himself; by him, I say, whether they be things in earth, or things in heaven.
[21]Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatanisha sasa;
And you, that were sometime alienated and enemies in your mind by wicked works, yet now hath he reconciled
[22]katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama;
In the body of his flesh through death, to present you holy and unblameable and unreproveable in his sight:
[23]mkidumu tu katika ile imani, hali mmewekwa juu ya msingi, mkawa imara; msipogeuzwa na kuliacha tumaini la Injili mliyosikia habari zake, iliyohubiriwa katika viumbe vyote vilivyo chini ya mbingu; ambayo mimi Paulo nalikuwa mhudumu wake.
If ye continue in the faith grounded and settled, and be not moved away from the hope of the gospel, which ye have heard, and which was preached to every creature which is under heaven; whereof I Paul am made a minister;
 
Mkuu siamini katika Utatu Mtakatifu.. Nahisi unausingizi hebu zipitie coment zangu tena ..
Umeniambia Mimi mwongo, ninatafsiri maandiko tofauti.

Ikiwa unaamini Yesu Hana baba kimwili, unashindwa vipi kujua kuwa Yesu ndiye Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu ikiwa unaamini Mungu ni MMOJA NAFSI Moja?
 
Hapa walokole ndipo mnakuwa hamueleweki.
Yesu ni mungu sawa, kwakuwa alitumika ktk uumbaji na pia ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe wote. Yesu sio Mungu mkuu YEHOVA

Wakolosai 1:12-23
[12]mkimshukuru Baba, aliyewastahilisha kupokea sehemu ya urithi wa watakatifu katika nuru.
Giving thanks unto the Father, which hath made us meet to be partakers of the inheritance of the saints in light:
[13]Naye alituokoa katika nguvu za giza, akatuhamisha na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wa pendo lake;
Who hath delivered us from the power of darkness, and hath translated us into the kingdom of his dear Son:
[14]ambaye katika yeye tuna ukombozi, yaani, msamaha wa dhambi;
In whom we have redemption through his blood, even the forgiveness of sins:
[15]naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Who is the image of the invisible God, the firstborn of every creature:
[16]Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
For by him were all things created, that are in heaven, and that are in earth, visible and invisible, whether they be thrones, or dominions, or principalities, or powers: all things were created by him, and for him:
[17]Naye amekuwako kabla ya vitu vyote, na vitu vyote hushikana katika yeye.
And he is before all things, and by him all things consist.
[18]Naye ndiye kichwa cha mwili, yaani, cha kanisa; naye ni mwanzo, ni mzaliwa wa kwanza katika wafu, ili kwamba awe mtangulizi katika yote.
And he is the head of the body, the church: who is the beginning, the firstborn from the dead; that in all things he might have the preeminence.
[19]Kwa kuwa katika yeye ilipendeza utimilifu wote ukae;
For it pleased the Father that in him should all fulness dwell;
[20]na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote na nafsi yake akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya nchi, au vilivyo mbinguni.
And, having made peace through the blood of his cross, by him to reconcile all things unto himself; by him, I say, whether they be things in earth, or things in heaven.
[21]Na ninyi, mliokuwa hapo kwanza mmefarikishwa, tena adui katika nia zenu, kwa matendo yenu mabaya, amewapatanisha sasa;
And you, that were sometime alienated and enemies in your mind by wicked works, yet now hath he reconciled
[22]katika mwili wa nyama yake, kwa kufa kwake, ili awalete ninyi mbele zake, watakatifu, wasio na mawaa wala lawama;
In the body of his flesh through death, to present you holy and unblameable and unreproveable in his sight:
[23]mkidumu tu katika ile imani, hali mmewekwa juu ya msingi, mkawa imara; msipogeuzwa na kuliacha tumaini la Injili mliyosikia habari zake, iliyohubiriwa katika viumbe vyote vilivyo chini ya mbingu; ambayo mimi Paulo nalikuwa mhudumu wake.
If ye continue in the faith grounded and settled, and be not moved away from the hope of the gospel, which ye have heard, and which was preached to every creature which is under heaven; whereof I Paul am made a minister;
Hivi unajua Jina YEHOVA tafsiri yake ni Mwenyezi Mungu?

Na kwanini ndugu msabato hamtumii Jina YEHOVA kufukuza mapepo ikiwa ni Jina la Mungu Hilo personal?
 
Hivi unajua Jina YEHOVA tafsiri yake ni Mwenyezi Mungu?

Na kwanini ndugu msabato hamtumii Jina YEHOVA kufukuza mapepo ikiwa ni Jina la Mungu Hilo personal?
Mkuu yakupasa uwe na elimu sahihi kuhusu Kristu Yesu.
Yesu aliwaambia wanafunzi wake anaenda kwa Baba, ni Baba yupi huyo?
Na zaidi akasema anaenda kuwaombea msaidizi. Huoni hapo km Baba ni mkuu kuliko Yesu?
Yesu alipewa mamlaka na Baba, hayo mengine mnayapata wapi?
 
Umeniambia Mimi mwongo, ninatafsiri maandiko tofauti.

Ikiwa unaamini Yesu Hana baba kimwili, unashindwa vipi kujua kuwa Yesu ndiye Mungu aliyekuja katika mwili wa mwanadamu ikiwa unaamini Mungu ni MMOJA NAFSI Moja?
Screenshot_20240828-011118~2.png



Wewe acha kuruka ruka, nachokuelekeza Yesu sio Mungu anaetajwa hapo..

Huyo mmoja alie juu ya wote ni Yehova na ndie Mungu wa pekee wa kweli na Yesu ni mwanae mpendwa ..
 
Hivi unajua Jina YEHOVA tafsiri yake ni Mwenyezi Mungu?

Na kwanini ndugu msabato hamtumii Jina YEHOVA kufukuza mapepo ikiwa ni Jina la Mungu Hilo personal?
Yohana 20:17
[17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Jesus saith unto her, Touch me not; for I am not yet ascended to my Father: but go to my brethren, and say unto them, I ascend unto my Father, and your Father; and to my God, and your God.
 
View attachment 3081031


Wewe acha kuruka ruka, nachokuelekeza Yesu sio Mungu anaetajwa hapo..

Huyo mmoja alie juu ya wote ni Yehova na ndie Mungu wa pekee wa kweli na Yesu ni mwanae mpendwa ..
Ndipo tunarudi kwenye swali la mada hapo juu,
Kwamba ikiwa YEHOVA ndilo JINA personal la Mungu, iweje ukikemea Pepo Kwa Jina YEHOVA halitoki,

Ila ukikemea Pepo Kwa Jina YESU, Pepo linatii na Kutoka?

Una jibu Gani hapo ndugu msabato?
 
YOHANA 5:36

Mimi siwezi kufanya kitu kwa uwezo wangu mwenyewe,mimi nina hukumu kama ninavyosikia kutoka kwa Baba,nayo hukumu yangu ni ya haki,nia yangu si kufanya nipendavyo mwenyewe bali apendavyo yule aliyenituma.
Ongeza na hii:

Yohana 14:6-7
KJV

Yesu akasema, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi. Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba yangu;

Yn 14:7 Yesu akasema, “Kama mngalinijua mimi, mngalimjua na Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.” Lakini wanafunzi wake hawakumwelewa anamaanisha nini, hivyo Filipo akamwambia tuonyeshe Baba. Na Yesu akawaambia “Aliyeniona mimi amemwona Baba”, kisha akafafanua zaidi kwamba, ni kwa sababu “mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Yn 14:10, Akaweka wazi kwamba, “la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.” Yn 14:11
 
Yohana 20:17
[17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.
Jesus saith unto her, Touch me not; for I am not yet ascended to my Father: but go to my brethren, and say unto them, I ascend unto my Father, and your Father; and to my God, and your God.
(Yohana 14:8-12)
Anionaye Mimi, amemwona Baba🤔
 
Ndipo tunarudi kwenye swali la mada hapo juu,
Kwamba ikiwa YEHOVA ndilo JINA personal la Mungu, iweje ukikemea Pepo Kwa Jina YEHOVA halitoki,

Ila ukikemea Pepo Kwa Jina YESU, Pepo linatii na Kutoka?

Una jibu Gani hapo ndugu msabato?
Kaka unanikosea sana , Mimi sio msabato, Hivi unatambua kua Moja ya misingi 28 ya kanisa sabato ni Utatu Mtakatifu..

Nitakuaje msabato na siamini utatu mtakatifu, Usikariri..

Ila kwasasa nimekuelewa tatizo lako, unajaribu kusema Mungu wa pekee wa kweli ni Yesu kwasababu jina la Yesu linamamlaka si ndio?
 
Kaka unanikosea sana , Mimi sio msabato, Hivi unatambua kua Moja ya misingi 28 ya kanisa sabato ni Utatu Mtakatifu..

Nitakuaje msabato na siamini utatu mtakatifu, Usikariri..

Ila kwasasa nimekuelewa tatizo lako, unajaribu kusema Mungu wa pekee wa kweli ni Yesu kwasababu jina la Yesu linamamlaka si ndio?
Naona umeanza kunijelewa.

Jina lenye mamlaka ya kimungu iliyo kuu kuliko Majina yote, lazima Jina Hilo litakuwa Jina la Mungu.

Hiyo HOJA vipi, haijakufikirisha?

Kwamba ikiwa Jehovah ndilo JINA la Mungu, why halina mamlaka kufukuza Pepo?

Je lipi Jina personal la Mungu kati ya Jehovah na YESU?
 
Ndipo tunarudi kwenye swali la mada hapo juu,
Kwamba ikiwa YEHOVA ndilo JINA personal la Mungu, iweje ukikemea Pepo Kwa Jina YEHOVA halitoki,

Ila ukikemea Pepo Kwa Jina YESU, Pepo linatii na Kutoka?

Una jibu Gani hapo ndugu msabato?
Naomba ufafanuzi hapa

Marko 13:32
[32]Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
But of that day and that hour knoweth no man, no, not the angels which are in heaven, neither the Son, but the Father.
 
Naona umeanza kunijelewa.

Jina lenye mamlaka ya kimungu iliyo kuu kuliko Majina yote, lazima Jina Hilo litakuwa Jina la Mungu.

Hiyo HOJA vipi, haijakufikirisha?

Kwamba ikiwa Jehovah ndilo JINA la Mungu, why halina mamlaka kufukuza Pepo?

Je lipi Jina personal la Mungu kati ya Jehovah na YESU?
Unafikiri Yehova angetaka pepo
Zitolewe Kwa jina lake, Mchango wa damu ya Yesu msalabani ungeonekana vipi?

Kwani ukipewa mamlaka unakua cheo cha juu zaidi ya aliyekupa cheo?
 
Naomba ufafanuzi hapa

Marko 13:32
[32]Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba.
But of that day and that hour knoweth no man, no, not the angels which are in heaven, neither the Son, but the Father.
Huo ni Ujasusi mbingu ziliamua kuufanyia Dunia,

Hujiulizi Yesu huyo huyo anatoa dalili za siku ya mwisho ikiwa hajui ni lini?

Soma pia ufunuo wa Yohana, Yohana Alimwona BWANA Mungu na ndiye aliyemwonyesha yote yatakavyokuwa Hadi siku hiyo ya mwisho.

Na Yohana katika kitabu Cha ufunuo amemwona Mungu katika KITI Cha enzi na Mungu huyo ni mtu tena ana matundu ya misumari katika viganja vya mikono yake🤔

Yesu ndiye Mungu aketiye katika KITI Cha enzi.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
 
Naona umeanza kunijelewa.

Jina lenye mamlaka ya kimungu iliyo kuu kuliko Majina yote, lazima Jina Hilo litakuwa Jina la Mungu.

Hiyo HOJA vipi, haijakufikirisha?

Kwamba ikiwa Jehovah ndilo JINA la Mungu, why halina mamlaka kufukuza Pepo?

Je lipi Jina personal la Mungu kati ya Jehovah na YESU?
Hapa yesu anasema kupewa mamlaka.
Ni nani huyo aliyempa Yesu mamlaka?

Mathayo 28:18-19
[18]Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.
[19]Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;
Go ye therefore, and teach all nations, baptizing them in the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Ghost:
 
Huo ni Ujasusi mbingu ziliamua kuufanyia Dunia,

Hujiulizi Yesu huyo huyo anatoa dalili za siku ya mwisho ikiwa hajui ni lini?

Soma pia ufunuo wa Yohana, Yohana Alimwona BWANA Mungu na ndiye aliyemwonyesha yote yatakavyokuwa Hadi siku hiyo ya mwisho.

Na Yohana katika kitabu Cha ufunuo amemwona Mungu katika KITI Cha enzi na Mungu huyo ni mtu tena ana matundu ya misumari katika viganja vya mikono yake🤔

Yesu ndiye Mungu aketiye katika KITI Cha enzi.

Mungu ni MMOJA na YESU KRISTO YESHUA HAMASHIACH ndilo JINA lake. Amen
Duuuh.....
 
Back
Top Bottom