Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Ila kiukweli hili "Jina la YESU" lina nguvu isiyo ya kawaida.
Nimelitumia mara kadhaa kwenye sala zangu peke yangu na nikiwa na wengine na majibu yakawa ndio.
Ni hatari,mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa waboshi sana kuhusu sala.
Nakuhakikishia kwa imani fanya sala kwa siku 3,nuia jambo utakalo utaona matokeo.
Kama una mashaka njoo tuombe pamoja
Note: Si kila mtu ana karama ya kulitumia jina hili la Yesu.🙏
Nimelitumia mara kadhaa kwenye sala zangu peke yangu na nikiwa na wengine na majibu yakawa ndio.
Ni hatari,mimi ni miongoni mwa watu waliokuwa waboshi sana kuhusu sala.
Nakuhakikishia kwa imani fanya sala kwa siku 3,nuia jambo utakalo utaona matokeo.
Kama una mashaka njoo tuombe pamoja
Note: Si kila mtu ana karama ya kulitumia jina hili la Yesu.🙏