Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Hebu tujikumbushe kwa Unabii wa Nabii Isaya.
........
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
1. Mshauri wa ajabu,
2. Mungu mwenye nguvu,
3. Baba wa milele,
4. Mfalme wa amani.
........
Hapo Isaya anasema Jina lake na sio Majina yake.
Hapo anamaanisha huyo ni mmoja tu.
Naona hapa wa upande wa pili Wana maswali mengi sana.
Swali moja wapo ni
1. Mtoto wa kiume anawezaje kuwa Mungu.
2. Halafu awe Baba
Huu Unabii hawawezi kabisa kuuelewa, ndio maana wanakimbilia kusema. Biblia imetiwa mikono na Waandishi na kuiharibu.
........
Isaya 9:6
Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
1. Mshauri wa ajabu,
2. Mungu mwenye nguvu,
3. Baba wa milele,
4. Mfalme wa amani.
........
Hapo Isaya anasema Jina lake na sio Majina yake.
Hapo anamaanisha huyo ni mmoja tu.
Naona hapa wa upande wa pili Wana maswali mengi sana.
Swali moja wapo ni
1. Mtoto wa kiume anawezaje kuwa Mungu.
2. Halafu awe Baba
Huu Unabii hawawezi kabisa kuuelewa, ndio maana wanakimbilia kusema. Biblia imetiwa mikono na Waandishi na kuiharibu.