matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Nimeona vitabu vingi vya tanakh torah na naviism, etc ni hivihivi vya OT. Wakati wa Yesu kulikuwa na Septugiant ambayo nayo haikuwa na vitabu vile. Kama niko tofauti sitapisha.Yapo maandishi mengi yanahusiana na hivyo vitabu japo majina ni tofauti ngoja nikisake cha kingereza nitume.