Ni kwanini kitabu cha Henoko kilifichwa/ kiliondolewa kwenye Biblia? Je, ilikuwa ni mpango wa shetani??*

Ni kwanini kitabu cha Henoko kilifichwa/ kiliondolewa kwenye Biblia? Je, ilikuwa ni mpango wa shetani??*

IMG-20241222-WA0002.jpg
Nimeweza kukishusha.

Hiki hapa!

Shukrani zote zimwendee min -me ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ๐Ÿ™๐Ÿฟ
Safi sana mkuu , kwenye hiki nimezingatia hili ila biashara ya ndugu yetu inaweza endelea kwa sababu kila mtu anaweza kuwa na tafsiri yake๐Ÿค”๐Ÿค”
 
NI KWANINI KITABU CHA HENOKO KILIFICHWA/ KILIONDOLEWA KATIKA BIBLIA?

Je! Ilikuwa ni mpango wa shetani??

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ

ยฉ Mwl. Makungu Ms
0743781910

Ndugu mpendwa, watu wengi hawajui ya kuwa wakati Biblia inaandaliwa/ inakusanywa ili iwe mjumuiko wa vitabu vya pamoja, kuna vitabu vingine havikuingizwa. Na vingine viliingizwa halafu baadae vikatolewa tena.

Vitabu hivi ambavyo ni mafundisho ya kidini / kiimani ya zamani vipo 15 na walivipa jina la pamoja la Apoclipha.

Katika vitabu hivi vya Apoclipha, wakatoliki wakaamua kuvichukua vitabu 6 kati ya 15 wakaviingiza kwenye Biblia ya Kikatoliki. Lakini madhehebu mengine yaliviacha.

Apoclipha ni neno la kigiriki lililo na maana ya SIRI. Kwahiyo vitabu hivi viliamuliwa kufanywa Siri. Vikapigwa marufuku kuwekwa kwenye Biblia na hata kusomwa.

Je! Ni SIRI gani hiyo iliyofichwa???

Moja ya vitabu vya Apoclipha vilivyoondolewa kwenye Biblia ambacho ni maarufu kuliko vyote ni kitabu cha HENOKO. Kitabu hiki mpaka leo kipo na kinaendelea kutumika kwenye Biblia ya Wakristo wa Dhehebu la Orthodox la nchini Ethiopia na Syria.

Ambacho wengi hawajui ni kuwa kitabu hiki cha Henoko kilikuwemo katika Biblia ya kawaida ya mwanzoni inayoitwa King James version ya mwaka 1611. Lakini baadae kitabu hiki kiliondolewa na kikapigwa marufuku kusomwa. Kikafichwa ,kikapotea kabisa. Sababu pekee iliyotolewa ya kukiondoa kitabu hiki ilisemwa kuwa " hakieleweki, kinachanganya".

Lakini ni ajabu sana kuwa, ukisoma kitabu hiki unajifunza vitu vingi sana ambavyo havijaelezewa kwa kina kwenye Biblia ya kawaida tunayotumia.

Ndani ya kitabu cha Henoko pameandikwa;

1. Asili ya Uchawi na aina zake duniani ulianzaje. Jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
2. Wameelezewa malaika kwa upana sana, yametajwa majina ya malaika wengi sana na kazi zao, jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
3. Imeelezwa asili ya mapepo na majini duniani walianzaje / walitokea wapi. Huwezi kukuta hili kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
4. Imeelezwa kwa kina habari ya malaika waliozaa na wanadamu ambayo kwenye Biblia ya kawaida imeandikwa kwa kificho kidogo Sana Mwanzo sura ya 5.
5. Maarifa ya Uumbaji wa anga na unajimu yameandikwa kwa mapana Sana.
6. Maarifa ya elimu ya nyota na habari za mamajusi zimeandikwa pia.
7. Ugunduzi wa teknolojia ya kutengeneza silaha duniani ulianzaje na ni malaika gani aliyewafundisha wanadamu Hilo.
8. Ameelezewa shetani habari zake kwa undani sana.
9. Habari za wanefili( majitu) yaliyozaliwa na malaika na binadamu zimeandikwa vizuri.

Sasa mwandishi wa vitabu, George Charles Lukindo , amekitafsiri kitabu hiki kutoka katika lugha yake ya asili kabisa ya Kiaramu ( Aramaic) kuja katika Kiswahili. Ikumbukwe kitabu hiki kiliandikwa katika lugha ya Kiaramu na ndiyo lugha aliyokuwa akiitumia Yesu..

Kitabu hiki kitaingizwa katika mtandao wa vitabu wa Amazon hivi karibuni.

Ili kupata kitabu hiki wasiliana na Mwl. Makungu Ms
0743781910
JP 22 Dec 2024


KINAUZWA
Tuwekee hicho kitabu
 
Ndio maana ile ikaitwa hadithi mkuu, ila kuna visa vya mule vipo kwenye vitabu karibu vya dini๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Nimekuja kuona karibu kila jamii inahadithi au rituals za ibada zinazofanana na za Mungu wa Israel. Hii inaonyesha chanzo chetu ni kimoja. Kuna siku bila kujali rangi watu wote walikiwa mahala pamoja.
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Nimekuja kuona karibu kila jamii inahadithi au rituals za ibada zinazofanana na za Mungu wa Israel. Hii inaonyesha chanzo chetu ni kimoja. Kuna siku bila kujali rangi watu wote walikiwa mahala pamoja.
Mila na tamaduni nyingi zinafanana tu , ndio maana wayahudi walitoa kafara ya nafaka, mikate, divai na njiwa hivyo ni vyakula na vinywaji vyao vya asili , sisi wachaga tulitoa kafara ya maziwa , mbege, na nyama , ila leo wamatumbi wanatumia divai na mkate kwa ukumbusho, wakati divai na mikate sio asili yetu๐Ÿ˜…

Note: hizi ni imani tu za tamaduni mbalimbali na hazina uthibitisho wa ukwel juu yake, just imani tu.
 
Mtu akiandiks matukio aliyoshuhudia anakiwa upande upi
Inategemea sasa kwa sababu Bibilia inayo matukio ya kihistoria ambayo ni fact kama utawala wa kirumi dhidi ya wayahudi , na mengne ni ya kiimani tu hayana uthibitisho.
 
NI KWANINI KITABU CHA HENOKO KILIFICHWA/ KILIONDOLEWA KATIKA BIBLIA?

Je! Ilikuwa ni mpango wa shetani??

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ

ยฉ Mwl. Makungu Ms
0743781910

Ndugu mpendwa, watu wengi hawajui ya kuwa wakati Biblia inaandaliwa/ inakusanywa ili iwe mjumuiko wa vitabu vya pamoja, kuna vitabu vingine havikuingizwa. Na vingine viliingizwa halafu baadae vikatolewa tena.

Vitabu hivi ambavyo ni mafundisho ya kidini / kiimani ya zamani vipo 15 na walivipa jina la pamoja la Apoclipha.

Katika vitabu hivi vya Apoclipha, wakatoliki wakaamua kuvichukua vitabu 6 kati ya 15 wakaviingiza kwenye Biblia ya Kikatoliki. Lakini madhehebu mengine yaliviacha.

Apoclipha ni neno la kigiriki lililo na maana ya SIRI. Kwahiyo vitabu hivi viliamuliwa kufanywa Siri. Vikapigwa marufuku kuwekwa kwenye Biblia na hata kusomwa.

Je! Ni SIRI gani hiyo iliyofichwa???

Moja ya vitabu vya Apoclipha vilivyoondolewa kwenye Biblia ambacho ni maarufu kuliko vyote ni kitabu cha HENOKO. Kitabu hiki mpaka leo kipo na kinaendelea kutumika kwenye Biblia ya Wakristo wa Dhehebu la Orthodox la nchini Ethiopia na Syria.

Ambacho wengi hawajui ni kuwa kitabu hiki cha Henoko kilikuwemo katika Biblia ya kawaida ya mwanzoni inayoitwa King James version ya mwaka 1611. Lakini baadae kitabu hiki kiliondolewa na kikapigwa marufuku kusomwa. Kikafichwa ,kikapotea kabisa. Sababu pekee iliyotolewa ya kukiondoa kitabu hiki ilisemwa kuwa " hakieleweki, kinachanganya".

Lakini ni ajabu sana kuwa, ukisoma kitabu hiki unajifunza vitu vingi sana ambavyo havijaelezewa kwa kina kwenye Biblia ya kawaida tunayotumia.

Ndani ya kitabu cha Henoko pameandikwa;

1. Asili ya Uchawi na aina zake duniani ulianzaje. Jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
2. Wameelezewa malaika kwa upana sana, yametajwa majina ya malaika wengi sana na kazi zao, jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
3. Imeelezwa asili ya mapepo na majini duniani walianzaje / walitokea wapi. Huwezi kukuta hili kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
4. Imeelezwa kwa kina habari ya malaika waliozaa na wanadamu ambayo kwenye Biblia ya kawaida imeandikwa kwa kificho kidogo Sana Mwanzo sura ya 5.
5. Maarifa ya Uumbaji wa anga na unajimu yameandikwa kwa mapana Sana.
6. Maarifa ya elimu ya nyota na habari za mamajusi zimeandikwa pia.
7. Ugunduzi wa teknolojia ya kutengeneza silaha duniani ulianzaje na ni malaika gani aliyewafundisha wanadamu Hilo.
8. Ameelezewa shetani habari zake kwa undani sana.
9. Habari za wanefili( majitu) yaliyozaliwa na malaika na binadamu zimeandikwa vizuri.

Sasa mwandishi wa vitabu, George Charles Lukindo , amekitafsiri kitabu hiki kutoka katika lugha yake ya asili kabisa ya Kiaramu ( Aramaic) kuja katika Kiswahili. Ikumbukwe kitabu hiki kiliandikwa katika lugha ya Kiaramu na ndiyo lugha aliyokuwa akiitumia Yesu..

Kitabu hiki kitaingizwa katika mtandao wa vitabu wa Amazon hivi karibuni.

Ili kupata kitabu hiki wasiliana na Mwl. Makungu Ms
0743781910
JP 22 Dec 2024


KINAUZWA
Mkuu asante! Naomba bei ya kitabu hiki.
 
Tapeli mkubwa wewe kitabu cha Henoko kinapatikana bure mitandaoni

Na hakuna aliyekificha .Hakijawahi kuwa sehemu ya Biblia yeyote ya agano la kale ya wayahudi yaani Jewish Bible ambao ndio wenye agano la kale
Hahahahaahah
 
Tapeli mkubwa wewe kitabu cha Henoko kinapatikana bure mitandaoni

Na hakuna aliyekificha .Hakijawahi kuwa sehemu ya Biblia yeyote ya agano la kale ya wayahudi yaani Jewish Bible ambao ndio wenye agano la kale
Uzuri JF Kuna watu tofauti tofauti na wenye uelewa ktk Mambo mengi,kwa hiyo km jamaa anadanganya atafunzwa adabu Sasa hivi.
Mimi nasoma comments tuuu
 
Vitabu vinapatikana bure , sema waswahili ni wachoyo katika kugawa maarifa .

Kuna jamaa alinipatia Kazi moja mwaka 2023 nimtafsirie kitabu chake kikichokuwa kimeandikwa Kwa Lugha ya kiingereza

Hiki kitabu kilikuwa kinazungumzia njia za kuita roho zilizokufa Ila huyu jamaa nilipomuomba anaipatie kitabu chote alikataa kabisa.

So na Mimi nilitafsifi vile vipande akanipa mil 1 nikamtumia .

Ila kile kitabu nimekipata hard copy japo kipo Kwa lugha ya kiarabu .

So Wabongo inapokuja katika maarifa hasa ya kiroho huwa hawapo tayari kuyatoa .
 
NI KWANINI KITABU CHA HENOKO KILIFICHWA/ KILIONDOLEWA KATIKA BIBLIA?

Je! Ilikuwa ni mpango wa shetani??

๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ๐Ÿ’ซ

ยฉ Mwl. Makungu Ms
0743781910

Ndugu mpendwa, watu wengi hawajui ya kuwa wakati Biblia inaandaliwa/ inakusanywa ili iwe mjumuiko wa vitabu vya pamoja, kuna vitabu vingine havikuingizwa. Na vingine viliingizwa halafu baadae vikatolewa tena.

Vitabu hivi ambavyo ni mafundisho ya kidini / kiimani ya zamani vipo 15 na walivipa jina la pamoja la Apoclipha.

Katika vitabu hivi vya Apoclipha, wakatoliki wakaamua kuvichukua vitabu 6 kati ya 15 wakaviingiza kwenye Biblia ya Kikatoliki. Lakini madhehebu mengine yaliviacha.

Apoclipha ni neno la kigiriki lililo na maana ya SIRI. Kwahiyo vitabu hivi viliamuliwa kufanywa Siri. Vikapigwa marufuku kuwekwa kwenye Biblia na hata kusomwa.

Je! Ni SIRI gani hiyo iliyofichwa???

Moja ya vitabu vya Apoclipha vilivyoondolewa kwenye Biblia ambacho ni maarufu kuliko vyote ni kitabu cha HENOKO. Kitabu hiki mpaka leo kipo na kinaendelea kutumika kwenye Biblia ya Wakristo wa Dhehebu la Orthodox la nchini Ethiopia na Syria.

Ambacho wengi hawajui ni kuwa kitabu hiki cha Henoko kilikuwemo katika Biblia ya kawaida ya mwanzoni inayoitwa King James version ya mwaka 1611. Lakini baadae kitabu hiki kiliondolewa na kikapigwa marufuku kusomwa. Kikafichwa ,kikapotea kabisa. Sababu pekee iliyotolewa ya kukiondoa kitabu hiki ilisemwa kuwa " hakieleweki, kinachanganya".

Lakini ni ajabu sana kuwa, ukisoma kitabu hiki unajifunza vitu vingi sana ambavyo havijaelezewa kwa kina kwenye Biblia ya kawaida tunayotumia.

Ndani ya kitabu cha Henoko pameandikwa;

1. Asili ya Uchawi na aina zake duniani ulianzaje. Jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
2. Wameelezewa malaika kwa upana sana, yametajwa majina ya malaika wengi sana na kazi zao, jambo ambalo halijaelezwa kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
3. Imeelezwa asili ya mapepo na majini duniani walianzaje / walitokea wapi. Huwezi kukuta hili kwa uwazi kwenye Biblia tuliyonayo.
4. Imeelezwa kwa kina habari ya malaika waliozaa na wanadamu ambayo kwenye Biblia ya kawaida imeandikwa kwa kificho kidogo Sana Mwanzo sura ya 5.
5. Maarifa ya Uumbaji wa anga na unajimu yameandikwa kwa mapana Sana.
6. Maarifa ya elimu ya nyota na habari za mamajusi zimeandikwa pia.
7. Ugunduzi wa teknolojia ya kutengeneza silaha duniani ulianzaje na ni malaika gani aliyewafundisha wanadamu Hilo.
8. Ameelezewa shetani habari zake kwa undani sana.
9. Habari za wanefili( majitu) yaliyozaliwa na malaika na binadamu zimeandikwa vizuri.

Sasa mwandishi wa vitabu, George Charles Lukindo , amekitafsiri kitabu hiki kutoka katika lugha yake ya asili kabisa ya Kiaramu ( Aramaic) kuja katika Kiswahili. Ikumbukwe kitabu hiki kiliandikwa katika lugha ya Kiaramu na ndiyo lugha aliyokuwa akiitumia Yesu..

Kitabu hiki kitaingizwa katika mtandao wa vitabu wa Amazon hivi karibuni.

Ili kupata kitabu hiki wasiliana na Mwl. Makungu Ms
0743781910
JP 22 Dec 2024


KINAUZWA
Wewe kama unataka kudakwa utapeli ondoa haraka hiyo namba yako kujitia unauza kitabu cha henoko hicho kitabu mtandaoni ni bure hujipendi au? Hilo namba la simu lako katupe jalalani bwege wewe

Haibiwi mtu humu
 
Vitabu vinapatikana bure , sema waswahili ni wachoyo katika kugawa maarifa .

Kuna jamaa alinipatia Kazi moja mwaka 2023 nimtafsirie kitabu chake kikichokuwa kimeandikwa Kwa Lugha ya kiingereza

Hiki kitabu kilikuwa kinazungumzia njia za kuita roho zilizokufa Ila huyu jamaa nilipomuomba anaipatie kitabu chote alikataa kabisa.

So na Mimi nilitafsifi vile vipande akanipa mil 1 nikamtumia .

Ila kile kitabu nimekipata hard copy japo kipo Kwa lugha ya kiarabu .

So Wabongo inapokuja katika maarifa hasa ya kiroho huwa hawapo tayari kuyatoa .
Nani muanzilishi wa kusema vitabu hivi vimefichwa sijui ni vya siri. Maana tangu naingia JF ndio kauli mbiu, nikiingia mitandao hadi ya wazungu watakwambia ni vitabu vya siri.

Au ni Buzzword ya kufanya watu wawe na umakini navyo
Hasa Enoch na Jubilee
 
Back
Top Bottom