Ni kwanini licha ya kuwa na Watanzania zaidi ya million 60 bado sura za viongozi wa upinzani ni zilezile?

Ni kwanini licha ya kuwa na Watanzania zaidi ya million 60 bado sura za viongozi wa upinzani ni zilezile?

Kwa
Kwahiyo wewe unafurahia utawala wa kifalme, una akili mbovu na nakuomba usinijibu tena, fullstop fokofu.
Kweli siupendi kabisa huo utawala wa kifalme ila naona ufalme ulioko ccm unazikdiwa na ulioko upinzani
 
Hili swali huwa najiuliza sana pasi na kupata majibu. Niwaombe wanabodi kwa utulivu kabisa mnisaidie kujua nini kiini cha hali hii!

Ni takrinani kwenye majimbo mengi yaliyowahi kuongozwa na wapinzani, ni walewale walioongoza huko nyuma wana nafasi kubwa sana ya kugombea tena hizo nafasi na pengine hata kushinda.

Mf. Msigwa , Sugu , Lema , Mbowe , Kiwanga , Wenje , Zito ,Bwege , Mnyika , nk hapo nimeacha tu wale wadada waliojichanganya ambao hawatabiriki Kwa sasa ingawa nao bado wangekuwa hawajajivuruga walikuwa na nafasi kubwa sana za kushinda kwenye majimbo yao.

Hali Iko hivyo pia Kwa baadhi ya vyama juu ya wagombea urais unakuta mgombea ni huyohuyo mihula yote.

Sababu yaweza kuwa nini hasa?
Je
Vyama havina mkakati wa kuibua viongozi wapya?

Je ni Kwa sababu ya ubora wahao viongozi Kwa maana ya kwamba ni bora hawana mbadala?

Je ni Kwa sababu ya kukandamizwa wanaoibukia?

Je ni Kwa sababu ya uwekezaji wao mkubwa ndani ya vyama Kwa hiyo wako hapo kulipwa fadhila?

Au ni jambo la kawaida tu hamna shida.
Hushangai kuona watawala wa ccm , kuwa sura ni zile zile pia ?
 
Angalau huko tunaona watoto wao lkn huku ni walewale
Watoto wao kwa kuwa wanarithisana yaani imekuwa ni aina fulani ya ufalme, kwa hiyo hata opposition parties unaona ni bora watoto wa akina Lissu, Mbowe na wengineo wachukue madaraka pindi wao watakapozeeka kama ilivyo kwa CCM?
 
Watoto wao kwa kuwa wanarithisana yaani imekuwa ni aina fulani ya ufalme, kwa hiyo hata opposition parties unaona ni bora watoto wa akina Lissu, Mbowe na wengineo wachukue madaraka pindi wao watakapozeeka kama ilivyo kwa CCM?
Yaani mimi sitaki kotekote nataka sura mpya ila sasa wanabodi wanataka kuhalalisha hii tabia Kwa kutumia kigezo cha ccm. Hili ni kosa ambalo ccm wanafanya nilitegemea wapinzani wangekuja na kitu tofauti badala yake nao wamecopy na kupest
 
Back
Top Bottom