Ni kwanini Mkoa wa Pwani unaongoza kwa kutoa viongozi wa kitaifa?

Ni kwanini Mkoa wa Pwani unaongoza kwa kutoa viongozi wa kitaifa?

Mbona hujamtaja Rais kijana mstaafu ,mwananchi kutoka BAGAMOYO na msoga .Mtoto wa mjini baba Riz 1,Mzee mkwere Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete.Mzee mwenye upendo kwa kila mtu,Mzee anayeruhusu kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
😂😂😂 yeye nimemtaja kwenye namb mbili mkuu. Huyo hawezi kukosa 😂😂
 
Kwema ndugu zangu. I hope kila mtu ni mzima.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mkoa wa Pwani pamoja na kwamba wenyeji wa mkoa huo wengi hawana elimu ya kutosha, lakini ndio unaoongoza kwa kutupa watanzania viongozi wakuu wa kitaifa haswa kwa upande wa ukuu wa nchi.

Toka Tanzania ipate uhuru mkoa wa Pwani umeshatupatia watanzania maraisi watatu nao ni:

1) Rais mstaafu wa awamu ya pili ndugu Ali Hassan Mwinyi (mzanzibara) kutoka Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.

2) Rais mstaafu wa awamu ya nne ndugu Jakaya Mrisho Kikwete kutoka chalinze mkoa wa Pwani.

3) Rais wa Zanzibar ndugu Hussein Ali Mwinyi (mzanzibara) mwenye asili ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.

Hapo sijazungumzia mawaziri kama kina Mchengerwa, Jafo, Ridhiwani, Kawambwa na wengineo.

Lakini pia Mkoa wa Pwani ndio uliokuwa unaongoza kutoa viongozi wengi katika vuguvugu lile la vyama vya kupigania uhuru hapa Tanganyika.

Sasa swali je ni kwa nini mkoa huu huwa na bahati ya kutoa viongozi wengi wakuu wa kitaifa.

a) Kwa sababu ya upendo wao, ucheshi wao, utu wao, huruma yao, ukarimu wao, utanashati wao na usmart wao?

b) Au ni kwa sababu ya uaminifu wao, upole wao, uzoefu wao, umaarufu wao na ujanja ujanja wao?

Naomba tujadili kistaarabu bila matusi, kejeli wala dharau kwa wengine.
Kiongozi alikuwaga Nyerere pekee
 
Angalau wana utu. Marais toka pwani hawajalaumiwa sana. Nchi yetu haihitaji tena mtu toka kanda ya ziwa au kaskazini.
Kwanini unaona nchi yetu haihitaji kiongozi kutoka kanda hizo mkuu?
 
Kwema ndugu zangu. I hope kila mtu ni mzima.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mkoa wa Pwani pamoja na kwamba wenyeji wa mkoa huo wengi hawana elimu ya kutosha, lakini ndio unaoongoza kwa kutupa watanzania viongozi wakuu wa kitaifa haswa kwa upande wa ukuu wa nchi.

Toka Tanzania ipate uhuru mkoa wa Pwani umeshatupatia watanzania maraisi watatu nao ni:

1) Rais mstaafu wa awamu ya pili ndugu Ali Hassan Mwinyi (mzanzibara) kutoka Wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani.

2) Rais mstaafu wa awamu ya nne ndugu Jakaya Mrisho Kikwete kutoka chalinze mkoa wa Pwani.

3) Rais wa Zanzibar ndugu Hussein Ali Mwinyi (mzanzibara) mwenye asili ya Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani.

Hapo sijazungumzia mawaziri kama kina Mchengerwa, Jafo, Ridhiwani, Kawambwa na wengineo.

Lakini pia Mkoa wa Pwani ndio uliokuwa unaongoza kutoa viongozi wengi katika vuguvugu lile la vyama vya kupigania uhuru hapa Tanganyika.

Sasa swali je ni kwa nini mkoa huu huwa na bahati ya kutoa viongozi wengi wakuu wa kitaifa.

a) Kwa sababu ya upendo wao, ucheshi wao, utu wao, huruma yao, ukarimu wao, utanashati wao na usmart wao?

b) Au ni kwa sababu ya uaminifu wao, upole wao, uzoefu wao, umaarufu wao na ujanja ujanja wao?

Naomba tujadili kistaarabu bila matusi, kejeli wala dharau kwa wengine.
Una akili za popo au.?? Yaani hao umeiona ni viongozi. Huyo RiZ1 tangu apewe ZAWADI hiyo ya asali ushamsikia wapi akitatua shida za wananchi.
Kiongozi alikuwa Lukuki.
 
Wapwani ni smart-minded wanazaliwa automatically hawahitaji elimu ya kukariri.

Sio washamba wanajitambua since wadogo hawana shida ya kusoma na kukarir elimu ya mkoloni then wajanja sana ,Wana hekima, wastaarabu, hawanaga ubaguzi, Wana ule ustaarabu wa mwafrika na mtanzania halisi
 
na bado pwani haina maendeleo.
barabara tu shida.
Mpaka Leo wilaya ya kibaha na bagamoyo hawana barabara ya lami inayowaunganisha
 
Angalau wana utu. Marais toka pwani hawajalaumiwa sana. Nchi yetu haihitaji tena mtu toka kanda ya ziwa au kaskazini.
Watu wa Pwani tunajitambua hatunaga sifa sifa kama kule bukoba, wala kukosa utu kama wa kaskazini walijua kingereza kidogo tu wanajiona wajanja kumbe washamba hata ustaarabu bado.
 
Wapwani ni smart-minded wanazaliwa automatically hawahitaji elimu ya kukariri.

Sio washamba wanajitambua since wadogo hawana shida ya kusoma na kukarir elimu ya mkoloni then wajanja sana ,Wana hekima, wastaarabu, hawanaga ubaguzi, Wana ule ustaarabu wa mwafrika na mtanzania halisi
Kumbe ustaarabu wao, utu na hekima huwa vinawabeba eeh!
 
na bado pwani haina maendeleo.
barabara tu shida.
Mpaka Leo wilaya ya kibaha na bagamoyo hawana barabara ya lami inayowaunganisha
Kwahiyo unashauri kila raisi awe anakimbilia kwanza kujenga kwao badala ya ku deal na nchi nzima?
 
Watu wa Pwani tunajitambua hatunaga sifa sifa kama kule bukoba, wala kukosa utu kama wa kaskazini walijua kingereza kidogo tu wanajiona wajanja kumbe washamba hata ustaarabu bado.
Kwanini unaona watu wa kaskazini hawana utu mkuu?
 
Back
Top Bottom